Nelly Mtengwa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 371
- 415
Nani kawapa mamlaka ya kufanya kazi ya serikali? Kwani wahusika hawapo? Au huo mkopo watapewa na CCM?Habari hii ni kweli ila pia chumvi imejazwa uvccm wanaandikisha majina kwa watoto wenye kundi maalum waliokosa mkopo tena napinga kabsa swala la eti ili uandikwe lazima uwe na kadi ya ccm kuna vijana wameandika majina yao ni yatima tena hawajaulizwa suala la kadi
Na wewe tunga uongo wako uandike kwani bei gani mkuuVijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Viongozi wa uvccm wameagizwa na viongozi wa ccm kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa ccm
Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa ccm wasijue kinachoendelea
Ili uorodheshwe unatakiwa uonyeshe kadi ya ccm na registration number ya chuo
Zoezi hili limeanza wiki iliyopita mpaka mwishoni mwa juma
Rafiki yangu wakaribu ambaye ni uvccm ameniambia wamehakikishiwa watapata mkopo
Nikarejea waziri wa elimu alisema atatoa mkopo kwa mwanafunzi wasiozid 25, 000 na hadi sasa wametoa kwa wanachuo 20, 000 tu
Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, licha ya bwana mkubwa kuhubiri usawa but he doesn't walk his talk
Vijana wenzangu ambao sio makaada wa ccm wakipolisikia hili walitaharuki na kuanza kutafuta kadi za ccm ili mradi tu wawepo kwenye orodha ya ccm inayoratibiwa lumumba
Poleni ndugu wanachuo msio ccm...
Ni kweli kabisa sio propagandaMnafikiri mtashinda kura kwa kutumia propaganda hizi za kitoto? Subirini tu 2020 mzungushe mikono na kuchagua jiwe. Hamna namna.
Chuo chenyewe hakina jina. Chuo hewa, ha ha ha.Ni kweli kabisa sio propaganda
Chuo chenyewe hakina jina. Chuo hewa, ha ha ha.
Uongo wako hautakufikisha mbali.Umesoma ukaelewa?? Sio chuo kimoja ni vyuo karibu vyote
Uongo wako hautakufikisha mbali.
"Siwezi kuwapa watoto wa jirani chakula mpaka wangu washibe kwanza" ubaguzi wa wazi wazi ndani jamii inayojiita wamojaKwa utawala huu hili linawezekana kabisa.
Ha ha ha, yaani umetembelea vyuo vyote na kujionea huo uongo? Wadanganye makamanda wenzako akina Yericko Nyerere na Ben Saanane.Kuna watu waongo zaidi ya ccm!!!!!! Nyie nyekundu yaweza kuwa nyeupe
Tumia uelewa kidogo, kwani uvccm wanahusikaje na ufatiliaji wa wanafunzi wenye makundi maalum? Bodi ya mikopo inakazi gani? Kama ni kweli wanaafatilia na kuandika watu bila shaka yeyote wametumwa kuorodhesha CCM wenzao.Habari hii ni kweli ila pia chumvi imejazwa uvccm wanaandikisha majina kwa watoto wenye kundi maalum waliokosa mkopo tena napinga kabsa swala la eti ili uandikwe lazima uwe na kadi ya ccm kuna vijana wameandika majina yao ni yatima tena hawajaulizwa suala la kadi
Point..Mnafikiri mtashinda kura kwa kutumia propaganda hizi za kitoto? Subirini tu 2020 mzungushe mikono na kuchagua jiwe. Hamna namna.
Sio ukawa tena..tehtehCCM tulipieni mikopo ila tutaichagua chadema
Viongozi wa UVCCM wameagizwa na viongozi wa CCM kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa CCM
Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa CCM wasijue kinachoendelea
Ili uorodheshwe unatakiwa uonyeshe kadi ya CCM na registration number ya chuo
Zoezi hili limeanza wiki iliyopita mpaka mwishoni mwa juma
Rafiki yangu wakaribu ambaye ni UVCCM ameniambia wamehakikishiwa watapata mkopo
Nikarejea waziri wa elimu alisema atatoa mkopo kwa mwanafunzi wasiozid 25, 000 na hadi sasa wametoa kwa wanachuo 20, 000 tu
Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, licha ya bwana mkubwa kuhubiri usawa but he doesn't walk his talk
Vijana wenzangu ambao sio makaada wa CCM wakipolisikia hili walitaharuki na kuanza kutafuta kadi za CCM ilimradi tu wawepo kwenye orodha ya CCM inayoratibiwa Lumumba
Poleni ndugu wanachuo msio CCM...
Lakin hata wewe pia una haki ya kukanusha sio kutisha.Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.