Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kusanyiko la majangili ya mali za umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya matapeli yanajivunia wizi tupuMkono muungwe na yale mabox ya kura za wizi ni ya nini?
Naam, ndo anaenda kupatikana makamo wa chamaNdugu zangu Watanzania ,
Chama cha Mapinduzi chini ya uwenyekiti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Samia Suluhu Hasssan kitakuwa na kikao maalumu na kizito sana cha Kamati kuu.
Ikumbukwe ya kuwa hiki ni kikao cha juu kabisa na chenye kutoa mstakabali wa Masuala mbalimbali ya chama na Taifa kwa ujumla wake.ni kikao ambacho maamuzi yake hutoa Dira na muelekeo wa mambo mbalimbali.
Ndio sababu vikao vya namna hiyo hufautiliwa sana na vyombo mbalimbali vikubwa vya kitaifa na kimataifa.ni vikao ambavyo hata vyama vya upinzani husimamisha shughuli zake zote kwa ajili ya kutenga muda wa kutosha kufuatilia vikao hivi na maamuzi na maazimio yake.
Ni vikao ambavyo huteka anga la siasa za Tanzania pamoja na kuitetemesha nchi,ni vikao ambavyo huteka mijadala yote ya siasa za nchi hii. Ni vikao ambavyo husubiriwa Na watanzania wote. Tukae kwa utulivu tusubiri nini kitajili kutoka huko. Tulizeni mioyo na wala msiwe na presha.View attachment 3083087
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hili la utekaji na wanaojulikana wakaendelea kuto julikana limekaaje huko mlio jirani na CCMHaya matapeli yanajivunia wizi tupu
CCM ni zaidi ya shetaniHili la utekaji na wanaojulikana wakaendelea kuto julikana limekaaje huko mlio jirani na CCM
Majangili yanakutana kupanga kuimba mali za ummaChama cha wezi wa kura hamjiulizi kwanini kila uchaguzi mnatuondolea intanet? Hata imani za dini zenu ni batili.
PS wa UWT anaenda kufanya nini hapo?Utakuwepo kwenye kikao hicho 😄
Ova
Kwanini wabubujike machozi kuna nini nyuma ya pazia je kuna mboga/ugali, eti nani kamwaga ugaliWatabubujikwa na machozi kwenye kikao.?
Umesoma vibaya rudia tena, japokuwa leo ni tarehe 31 Augusti 2024, vuta taswira
💪👊🙏 ComradeNakuunga Mkono Mheshimiwa Mbunge na naamini pia na Mwakani lazima uwepo Mjengoni.
Hata Ma CHADEMA yakiweka mgombea wao bado utapita kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Tanzania Nzima.💪👊🙏 Comrade
Mungu ni mwema sana comrade, asanti sana kwa baraka hizo muhimu sana za ushindi 👊💪🙏Hata Ma CHADEMA yakiweka mgombea wao bado utapita kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Tanzania Nzima.
Ok let us not dwell on this, what about the knowns ones to remain unknown indefinitely yaani wanao julikana kuendelea kuto julikana, (watekaji), itakuwa moja ya ajenda?
Mungu ni mwema sana aise dah 🐒Utakuwepo naona
Ova
Aise kweli hamlali mnajitolea kwa chama shuguli back 2 back hampowi 😄Mungu ni mwema sana aise dah 🐒