Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Mshamba huyo ananitolea povu kisa nimemchana ukweli.
Msamahe basi hapa JF tunatuliza ball.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msamahe basi hapa JF tunatuliza ball.
Keshachokonolewa, siyo kuguswa tu, lakini harufu hata kwa mbaaaali hakuna!Niguuse ninuke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ni kama walipokuwa wanasema nguvu ya Membe,H
huwa nafikiria wanaposema nguvu ya kinana.Ni ipi hasa?
Hahahaha, kama Mzee Lowasa alishindwa mchana kweupe, sembuse huyu Mzee wetu membe hata hajulikani kwa watu. Hahahaha, mnachekesha sana wapinzani. Ila uzuri kizazi chenu cha waongo na wazandiki kinapukutika chote.CCM wamefeli sana kumfukuza Bernad Membe, ni bora wangefanya maamuzi magumu ya kumtoa jiwe 2020 ili wajikomboe kwenye balaa litakalowakuta uchaguzi mkuu.
halafu eti kuna demokrasia....... waache watu wachuane...Utamaduni wa CCM ni miaka 10 bwashee.
Mwaka huu mgombea wetu ni Dr Magufuli hilo liko wazi!
Nadhani hauko serious na issues au hujui nchi inavyoongozwa...yaani kuchukulia kuwa rais ' amechanganykiwa' kuwa ni kitu Cha kawaida then nadhani bado ni mchanga kwa Mambo ya nchi...Hivi unayajua makosa ya uhaini ,usaliti na uchochezi wewe? Yaani kusema rais amechanganyikiwa ? Hebu kuweni serious bana.
2015-LowasaLabda nikusaidie mkuu, si kwamba Chadema ina sera nzuri sana za kuja kumkomboa mwananchi kuliko ccm au chama kingine cha siasa, mapenzi ya wananchi kwa chadema yanatokana na Wananchi wengi kutoipenda/kuichoka ccm. Waweza maliza Chadema wote lakini huwezi maliza upinzani wote ambao uko ndani ya mioyo ya wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Udikteta uko Chadema mwenyekiti miaka 20+.....kuanzia enzi za Mkapa!
Hujui kitu dogo....urais in taasisi..Where is azory first kabla ya kumsifia Rais, Rais rais. Wewe inavyoonekana hata rais akija nyumbani kwako utampa ......chochote akitakacho......, maana unavyomtukuza mpaka inatia kinyaa!
Rais ni human being kama wewe amepewa kazi na wewe na mimi, atufanyie kazi zetu, ni udikiteita wa binadamu kujipa nguvu ya mapolisi , majeshi kuonea watu! anakunya mavi yananuka kama yako, mbona unamuona kama ni alien kutoka wapi sijui!
Nimesema maji. Sijasema ziwa wala bahari. Main factor hapa ni maji.Mku samaki yaweza kutoka baharini ikaishi ziwani. Muache mze wa watu achague pakwenda vyama viko vingi sana Tz. Chadema watupe ndowano sasa!!!
Wewe unaijua Demokrasia?!halafu eti kuna demokrasia....... waache watu wachuane...
Hizi siasa bana. Bora ufight kivyako mkono uende kinywani. Huwezi kupambana na aliyeshika mpini ambaye ana absolute power na above the law.King'ora cha Membe mmekisikia, akenue meno tena kibwengo toka CCM eti nataka Urais
Nimefanya summary ya habari nzima... Kimsingi hizo ndio points tatu kuuMshana
Umeanza mambo yako.
Ngoja tusubiri maamuzi ya kamanda wa angaHivi hao wanaowapokea na kuwapa Ugombea URAIS Hawakomi na hizi drama za Washindani wao. Anyway mpeni huyo tena, atarud kundini 2024.