CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Hahahaaa!
Watoto warembo kama hawa wanapatikana CCM tu!
 
Hii namba 4 na 7 unatoa wapi? Kwanini nyie watu mnapenda kuongopa na kupanikisha watu? Hivi hata kama viongozi wetu wawe mbumbumbu, ndio wakodishe Bandari kwa faida sifuri?
Wewe unaongea nini? Hujui kama tumekopa trillion zaidi ya 1 World Bank? Na hiyo pesa imeshafanya kike kinachodaiwa kitafanywa na DP World, sasa kama sio uwendawazimu huo ni nini?

Pia hawa waty wameridhiana kupewna misamaha ya kodi kwa mapato wanayoingiza wao, sasa si ukausome mkataba..?!
 
Ambacho hawashtuki hii CCM iliyokaa hapo, ipo tofauti kabisa na CCM iliyopo nje, yaani kuna malalamiko makubwa sana kiufupi wanajitafuna wenyewe, wakija kushtuka itakuwa too late sana
Hakuna malalamiko yeyote huku nje sisi tupo tunaendelea na maisha yetu nyie ndio mnayakuza.
 
...
Katika mkutano huo na waandishi, Mjema amesema siyo siku ya kujibu maswali kwani yeye amesoma kile ambacho wamekubaliana na Halmashauri na mambo mengine yasubiri wakati wake. ...
Jibu hilo linatosha kuibua hisia kuwa kikao hicho kilikuwa cha upande mmoja wa kuwaburuza Wajumbe wa Halmashauri Kuu kukubali yaliyofikishwa kwenye Kikao hicho.

Kama uamuzi huo, wa Halmashauri Kuu ya CCM, kuwa IGA haina dosari na Serikali ichukue hatua ya kuelimisha umma, CCM isubiri matokeo ya uelewa wa Wananchi, wapiga kura, kwani 2024 na 2025 ni kesho tu.
 
Haiwezekani chama tawala kikawa na lengo baya kwa nchi nzima. Huwezi kujenga SGR kwa trilioni 14 halafu uikoseshe mzigo kwa hoja nyepesi za kipuuzi za kina Mwabukusi.
 
Wakiona maswali kama haya wanatafuta chaka la kujificha na kubadili mada πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani hawa ni kubadili njia za kuwahoji yayale wanayoyasema maana hawa ni wahuni wajinga wenye interest za kidini na Upwani hakuna lingine zaidi ya hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…