CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Hoja hujibiwa kwa hoja
 
Safi sana.

Baada ya hayo, Tunawatakia kila la heri TPA na DP World katika vikao vyenu vya kuunda mikataba.
 
Inauma lakini maendeleo inabidi yafanyike.

Pole sana.
 
Kumbe unaijuwa IGA? sasa subiri HGA.

Kazi iendelee.
 
Ujinga Pro Max ilani ya CCM siyo katiba ya Nchi
Achana na wajinga tu hao, sisi tukawahi vikao vyetu ofisi mpya za masaki.

Siku hizi ukijiandikisha kule wantuma muda wa dat, moja kwa moja kwenye simu, hakuna mambo ya vocha tena. Data kwa kwenda mbele.
 
Safi sana. Wabongo kazi kulia mkabithi hiyo bandari hajui pa kushika nasemaje mwekezaji aje
 
Subiri 2025.

Sisi tunasubiri Khanga na Tshirts za 2025 zifikie bandari mpya ya DPW TPA Dar.
 
Mwenzako anasema ni IGA, kinachofatia ni HGA halafu ndiyo mikataba.


Unawahi sana kufikia mwisho, jizuie kidogo. Kitabu ndiyo kwanza chapter ya kwanza.
I support bandari apewe mwekezaji. Wabongo waachiwe insta wapige umbea hakuna tunachoweza period
 
Mnadai kuwa tupewe elimu. Juu ya nini? Walichochambua wanazuoni mlitakiwa mkijibu kisheria sio kutoa majibu ya juu juu tu.
 
Haya tusubiri tukirudi in-touch.

Kwa sasa tafuta fursa, zitakupita.
Sawa, sitaki kuwa mnafiki mimi ni capitalist naingiza pesa kwenye hali yoyote.
Japo kama Mtanzania łazima niseme ukweli tuna viongozi wasiokuwa na maono na wanajua hilo.
Pia tuna Watanzania wengi sana wapo duniani kula na kufa.
 
Sawa, sitaki kuwa mnafiki mimi ni capitalist naingiza pesa kwenye hali yoyote.
Japo kama Mtanzania łazima niseme ukweli tuna viongozi wasiokuwa na maono na wanajua hilo.
Pia tuna Watanzania wengi sana wapo duniani kula na kufa.
Kwanini hauwi kiongozi ili tupate kiongozi mwenye "maono"?
 
Wamedhamiria kuuza bandari zetu. Najua kamati hiyo ya CCM walio wengi hawaafiki, wanaogopa na kutetea matumbo yao.
Suluhisho pekee ni nguvu ya wananchi. Tunafanyaje ? Mapendekezo:
1. Waandikie DP World na dunia nzima kwa ujumla kuwa watanzania wamekataa upuuzi wao, na hawatakaribishwa.
2. Watakutana na physical confrontation
3. Polisi na majeshi nanyi teteeni nchi yenu Tanganyika na vizazi vyenu vijavyo. Msikubali kuwaumiza watanganyika kwa faida ya wazazibari na matumbo ya watu wachache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…