CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

acha unafiki mkataba wenyewe haujausoma, watanzania wanapenda kudandia vitu kutafuta kiki utafikiri wanajua kila kitu kumbe nothing, Samia twende wasikucheweshe
 
shida ya mtu ambaye hajafika hata Kenya, huna exposure yoyote utashauri nini weye?
 
Uwekezaji wa DPW ni mkubwa kulinganisha na haya makampuni yetu. DPW kawekeza Uingereza na Marekani kwa teknolojia za kisasa, hawezi akaingia tu Tanzania kama wawekezaji wengine wadogo wadogo.

Kwa kuwa unajua kiasi kikubwa hicho atakachowekeza, ambacho ni nje ya kiwango kilichowekwa kwa Sheria, Kanuni na Taratibu zetu za uwekezaji, ITAPENDEZA ukikitaja humu JF.

Je, unakielewaje KIFUNGU CHA 4: UPEO WA USHIRIKIANO NA VYOMBO VYA UTEKELEZAJI, kifungu kidogo cha 5. DPW na taasisi tanzu zitawajibika kutafuta ufadhili kwa Makampuni ya Miradi husika kwa ajili ya kuendeleza Shughuli za Miradi.?

Kwenye kifungu kidogo hicho, DPW itatumia Makampuni mengine kutekeleza miradi bandarini, Je, JMT haina uwezo na ujuzi wa kutafuta makampuni kwa miradi ya kuboresha bandari, ikiwekeza kupitia wafadhili?

Kutokana na kifungu hicho, na kwa hoja yako kuwa uwekezaji wa DPW utakuwa mkubwa, wakati itahitajika kutafuta wafadhili, Je, ni nani mwenye uhalali wa kufadhiliwa kati ya nchi (JMT) au kampuni (DPW)?

Nawaza pia kwa sauti na kuuliza, Je, nchini hakuna wawekezaji wa nje, km wa madini, ambao pia gharama za uwekezaji ni kubwa?
 
Yaani mwenyekiti wa CCM (ambaye pia ni rais, Samia) amempa baraka rais wa Tanzania (ambaye ndo huyo huyo mwenyekiti wa CCM, Samia) kuendelea na uwekezaji wa hawa DP world pale bandarini.!!!

Yaani kwamba tulitegemea SAMIA amgomee SAMIA kuwakubali hawa DP world..!!!

TANZANIA SIHAMI NG'O..!!
 
Hapo kwenye halmashauri kuu ya chama kuna watalaam wa masuala ya mikataba?
 
Hizo trillion ni ngapi? Ina maana kila mwaka bandari itakuwa inauzwa? Sijitoi ufahamu ni kwamba hueleweki au huo mkataba hujauona unatupigia tu kelele hapa?
ni kutafutie trillions ngapi kwani unanilipa ? huwezi kutafuta mwenyewe serikali itategemea kupata shillingi ngapi kila mwaka kwenye hizo bandari ambayo ndio price watanganyika have to pay!....kama hunielewi tulia, usinipotezee muda na kichwa chako kama cha konokokono...
 
Kwa vile huna uzoefu labda nikupe mfano wa ukaribukaribu. Mwaka 2015 CHADEMA na CUF walikubaliana sera ya UWAKA kumsimaisha mgombea mmoja kutoka CCM jina lake Lowassa. Kama wangeshinda kungelikuwa na Rais wa Muungani Lowassa toka CCM, wa Tanganyika ni mbowe kutoka CHADEMA na wa Zanzibar ni Maalim Seif. Vilao vya kupongezana na kuweka Ilani kisheria vyote vingemtekea Rais Lowassa toka CCM.
 
Hakuna mwenye uwezo wa kutupa majibu ya maswali haya., narudia tena hayuupo. Maana wanafuata irani yao ya chichiem nahawafuati Katiba ya Nchi. Masikio yaliyoziba ipo siku watayafungua tu, time will tell.
 
Sasa ndo umeandika nini..!!?? Umefuka moshi wa kuni mbichi..!!
 
ndo shida ya kofia mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…