CCM yawapiga marufuku ‘Chawa wa Mama’

Utawasikia kesho wanaandamana kuunga mkono tamko
 
Chawa wametumbuliwa
Wakatafute kazi ya kufanya sasa uchawa umebuma.
 
Chawa ndio limekataliwa nawashauri sasa wajiite kunguni wa mama.
Ila kweli mtu unakubali kujiita 'chawa' this is purely stupidity!
Njaaa mbaya sana mzee yaani mtu anamaliza chuo anakuwa na vyeti mkononi kwa zaidi ya miaka 5 kitaa alafu anapata chance ya kujiita CHAWA na KUNGUNI wa mkubwa anaanzaje kukataa wakati anashiba?
 
Chawa Hakai Kwa watu Safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…