share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Sisi Watanzania tunamsikiliza rais wetu Magufuli
Wataalamu wetu wamepima sample za papai likakutwa na Corona!, hivyo ni kweli zile testing kits ni defectives
P
Testing kits ni defective kivipi? Science ya wapi hiyo? Tangu lini a validated device for human sample ikatumika kwa mapapai, fenesi, mbuzi, nk., ambazo si human being? Mpumbavu hapo ni huyo aliyeipa hiyo device ambayo haikuwa validated kwa tests aina hizo. Ni ujinga wa kiwango cha Flyover kumpandisha beberu kwa mbwa jike kisha ukategemea azaliwe mbogo!!! Hata mimba haitakuwepo, badala yake unaweza kuzua balaa lingine la kiafya. Ni mpumbavu tu atakayeshabikia majibu ya "indeterminate, inconclusive, positive or negative" kutoka kwenye device ya kupima samples za binadamu lakini muhuni fulani anayejiita mwanasayansi akazi"feed" samples za mimea na oil za magari. Shame on him. Ni vema angeificha aibu yake kwa kukaa kimya.