Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Siyo lazima kila mstari utaoandikwa ukufurahishe kuna dawa ni tamu na nyingine chachu kikubwa uponeParagraph ya mwisho sijapendezwa nayo kuandikwa kutoka kwako wewe! Nadhani utakuwa umenielewa, acha hayo tuongee sisi
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
Nimeamini kweli kuwa yeyote atakaye jaribu na aliyejaribu kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti taifa kuna figisu lazima afanyiwe.
Na naamini yale maneno ya sumaye kuwa sababu ni kutangaza nia ya kugombea kiti ndio maana kura za hapana zilimiminika kama njugu.
Kwahiyo ndugu zangu yeyote atakayejaribu kusimama na mbowe ni pandikizi si ndio?
Aya bhana uwanja ni wenu pambaneni.
Mbowe kafanya yake tena haa
Kwa mazingira ya sasa bado Mbowe anahitajika cdm kuliko wakati wote hebu siumesikia Lisu anakuwa Makamu mwenyekiti ni maandalizi ya Mbowe kuachia uenyekiti Ila kwa sasa nakushauri usijiingize kwenye porojo za lumumba kumbuka chama cha upinzani kilichobaki kwa sasa ni cdm na Mbowe ndio kisiki hebu niambie leo hii kama si Mbowe labda angekuwa Mwenyekiti Zitto...au Slaa..au Arfi nipe muono wako wa chama kingekuwaje! chama kimejemgwa kwa gharama kubwa haitakiwi kiumizwe eti sababu Mbowe Mwenyekiti wa muda mrefu! ujinga huo wauseme ccm wanasababu zao wamekoa bei ya Mbowe lkn Sisi tunaoangalia siasa za sasa zinavyokwenda Mbowe natakiwa abaki kuhakikisha wakina Lisu wanakamati Uongozi watu ambao chama ndio kimekuwa msaada kwao sio hao waliokuja na mafuriko! thank twice brother
Unaweka mno ushabiki. Hata kama hamumtaki sio lazima mseme. Hamkisaidii hiki chama badala yake mnazidisha makundi na kuzidisha uhasama. Kama mna watu wenu mngewateua tu kama wenyeviti wa mtaa wa ccm ijulikane moja
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
Na hawa wahuni wa CHADEMA ukiwauliza usaliti wa Mwambe hawajui watabaki kukshambulia. Najichukia sana kuwapigia kura 2010, 2015 hawa wahuni walamba viatu vya mbowe.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.
Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.
Nimeamini kweli kuwa yeyote atakaye jaribu na aliyejaribu kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti taifa kuna figisu lazima afanyiwe.
Na naamini yale maneno ya sumaye kuwa sababu ni kutangaza nia ya kugombea kiti ndio maana kura za hapana zilimiminika kama njugu.
Kwahiyo ndugu zangu yeyote atakayejaribu kusimama na mbowe ni pandikizi si ndio?
Aya bhana uwanja ni wenu pambaneni.
Kwa bahati mbaya hata aliyeshinda alikua ccm na alihamia cdm siku moja na Mwambe.
Vip mwenyekiti wenu ambae amekaa 15yrs?Figisu gani, kuna box lolote la kura limetolewa ndani ya chumba cha kupigia kura? Kuna machafuko yoyote yametokea wakati wa upigaji kura? Sumaye kashindwa kihalali na kidemokrasia, akae pembeni kiroho safi. Hakuna anayekunyima kuamini maneno ya Sumaye, ila ukweli ni kuwa Sumaye alizoea siasa za mbeleko za kupita bila kupingwa. Kama alihonga ili abaki mwenyewe kisha apite bila kupingwa, basi ameingizwa mjini. Arudi ccm haraka kwenye siasa za mbeleko na figisu za kishenzi.
Wewe mwenyewe haujipendi utawezaje kuipenda CHADEMA?kaendelee kutumia vidonge vyako vya kupunguza ukichaa
Vip mwenyekiti wenu ambae amekaa 15yrs?
Na hawa wahuni wa CHADEMA ukiwauliza usaliti wa Mwambe hawajui watabaki kukshambulia. Najichukia sana kuwapigia kura 2010, 2015 hawa wahuni walamba viatu vya mbowe.
Anaekosoa chadema wanamuita CCM...ila anaeitukana ccm ni kamanda. WF.
Ngoja Magufuli aendelee kututawala mpaka pale tutakapozinduka na kua na chama imara.
Huyo mbowe anawaingia wapiga kura moyoni? Anayejua atuambie.Mbowe kafanya yake tena haa
Mbowe amekuwa mjanja kumpendekeza lissu, anaweza shughuli nyingi akamwachia yeye akizidiwa Na majukumu mengiKwanini isiwe UENYEKITI?
Kwa sasa kumlaumu mbowe ni kumuonea, Leo mbowe kasema yeyote anayejisikia kuchukua fomu ya nafasi yoyote achukue, wanachadema wataamua.kosa LA mbowe ni niniHuo utetezi wa kwamba cdm inamuhitaji sana Mbowe wakati huu hata hauniingii akilini, akifa kesho basi jumanne asubuhi chama kinakufa? Siko na ccm kabisa kuhusu nafasi ya Mbowe, huenda ccm wanataka Mbowe aondoke kwa sababu zao, na mimi nina sababu zangu hata kama wote tumetaka hilo sasa. Mbowe ajilaumu mwenyewe kushindwa kuandaa succesion plan, kwani alipaswa kujua hiyo ni taasisi. Chama kinachomtegemea mtu mmoja kuwaongoza na sio mifumo ya uongozi, hicho sio chama bali kundi la wajanja linalofanya siasa. Naamini kwenye cdm taasisi na sio kwa cdm mtu.
nani ni Bambo?Chadema zaidi ya kaole
Kwa sasa kumlaumu mbowe ni kumuonea, Leo mbowe kasema yeyote anayejisikia kuchukua fomu ya nafasi yoyote achukue, wanachadema wataamua.kosa LA mbowe ni nini
Watiwe moyo upi. Kwani hawajui katika ushindani Kuna kushinda na kushindwa!!? Kama vipi waishie, Chadema ni imara kama Simba...cdm mnatakiwa mvumiliane.
..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.
..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.