Hakuna tofauti baina ya Mwambe na Mathew kwa kuwa wote wana kadi za ccm na walihamia CHADEMA si kwa mapenzi ya dhati ya chama hicho bali ni kutokana na hasira za kunyimwa fursa kwenye chama chao! Kiufupi chadema hawajapata viongozi wa kanda madhubuti wa kukivusha chama hicho kwa sababu hata huyo makamu mwenyekiti Baruhani pia hasomeki.
Wanachadema wa Kusini wanadhani wataivusha CHADEMA kwa kumkataa Mwambe eti kwavile ni "mpinzani" wa uwenyekiti wa chama wa Mbowe wasijue kuwa wote Mathew na Mwambe wako njiani kurejea ccm.
K
Wanachadema wa Kusini wanadhani wataivusha CHADEMA kwa kumkataa Mwambe eti kwavile ni "mpinzani" wa uwenyekiti wa chama wa Mbowe wasijue kuwa wote Mathew na Mwambe wako njiani kurejea ccm.
K