Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Hakuna tofauti baina ya Mwambe na Mathew kwa kuwa wote wana kadi za ccm na walihamia CHADEMA si kwa mapenzi ya dhati ya chama hicho bali ni kutokana na hasira za kunyimwa fursa kwenye chama chao! Kiufupi chadema hawajapata viongozi wa kanda madhubuti wa kukivusha chama hicho kwa sababu hata huyo makamu mwenyekiti Baruhani pia hasomeki.

Wanachadema wa Kusini wanadhani wataivusha CHADEMA kwa kumkataa Mwambe eti kwavile ni "mpinzani" wa uwenyekiti wa chama wa Mbowe wasijue kuwa wote Mathew na Mwambe wako njiani kurejea ccm.

K
 
Freeman Mbowe ndiye aliyeuwa CHADEMA. Itachukua muda mrefu sana kwa CHADEMA kufikia nguvu waliyokuwa nayo mwaka 2008-2014
 
Waswahili wengi waanmini Taasisi imara zinajengwa kwa muda mfupi hawataki kuamini hasa hizi taasisi za kisiasa huku Africa chama kinachotawala kinaamini kina hatimiliki ya Nchi na watu wake...Cdm imekumbwa na inaendelea kukumbwa na dhoruba Kali sababu mbinu nyingi za kuiua zimeshindikana unaweza kuacha kujadili vyama vyote Ila usiiache Cuf ukowapi leo! so povu za watawala kwa Mbowe nisababu wamekosa bei yake nawashauri waunga mageuzi wote wasijiingize kwenye mkumbo wa gambaz unamlalamikia Mbowe aliekaa madarakani miaka 15 Ila hulalamiki cccm kutawala tangu Uhuru mpaka sasa nadhani tuwasamehe tu iko siku wataelewa vyama vya upinza vinamamluki wengi yaani leo Mwenyekiti angekuwa Waitara unaweza kuelewa nini kingetokea Mbowe ni MTU makini ataiacha Chadema kwenye mikono salama ni habari ya muda tu
Very objective opinion
 
Nimeamini kweli kuwa yeyote atakaye jaribu na aliyejaribu kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti taifa kuna figisu lazima afanyiwe.
Na naamini yale maneno ya sumaye kuwa sababu ni kutangaza nia ya kugombea kiti ndio maana kura za hapana zilimiminika kama njugu.
Kwahiyo ndugu zangu yeyote atakayejaribu kusimama na mbowe ni pandikizi si ndio?
Aya bhana uwanja ni wenu pambaneni.
Siyo kila MTU anaweza kuwa mwenyekiti hata kama ni demokrasia
 
Kama membe Leo anaandamwa Na bashiru kisa kutaka kumpinga magu hivi vyama basi tu.
Kwani anampinga Magu Kwenye uchaguzi upi?
CCM Imeitisha uchaguzi wa mwenyekiti?
Ulishawahi kumuona MWANACHADEMA anampinga Mbowe hadharani huku akitaka yeye kuwa mwenyekiti na muda wa uchaguzi ukiwa bado kabisa na akabaki salama?
Ukianza kumsumbua mtu aliyepewa majukumu na uchaguzi ni bado sana maana yake unataka asitekeleze majukumu yake.
Kama unataka kugombea na uko serious kwanini usitulie ukasubiri uchaguzi utanganzwe ukachukue fomu ugombee?
Mimi naona haya ni maigizo ya Membe ili akikatwa kwa kutofuata taratibu aanze kulalamika maana anajua ubavu wa kushinda Hana la sihivyo ni mpango wa CCM kuwapatia CHADEMA au moja ya Chama kikubwa awe mgombea wao azigawe kura za upinzani.
 
Ni kweli Mbowe ni kiongozi mzuri sana, lakini miaka 15 ni tosha sana kwake. Sina shaka na hili.
Your not successful until your successor is more successful than you.
Sasa huwezi kusema mtu nikiongozi Mzuri na hawezi hata kutengeneza taasisi na kuandaa viongozi hio inakua sio taasisi tena..
Maana itakufa haraka Sana Hiyo taasisi Huyu mtu akipatwa na Maradhi au akifariki.
Mafanikio ya kiongozi ni kuweza kuifanya tasisi irun bila yeye kuwepo asipokua hivyo huyu ni mtawala sio kiongozi
 
Waswahili wengi waanmini Taasisi imara zinajengwa kwa muda mfupi hawataki kuamini hasa hizi taasisi za kisiasa huku Africa chama kinachotawala kinaamini kina hatimiliki ya Nchi na watu wake...Cdm imekumbwa na inaendelea kukumbwa na dhoruba Kali sababu mbinu nyingi za kuiua zimeshindikana unaweza kuacha kujadili vyama vyote Ila usiiache Cuf ukowapi leo! so povu za watawala kwa Mbowe nisababu wamekosa bei yake nawashauri waunga mageuzi wote wasijiingize kwenye mkumbo wa gambaz unamlalamikia Mbowe aliekaa madarakani miaka 15 Ila hulalamiki cccm kutawala tangu Uhuru mpaka sasa nadhani tuwasamehe tu iko siku wataelewa vyama vya upinza vinamamluki wengi yaani leo Mwenyekiti angekuwa Waitara unaweza kuelewa nini kingetokea Mbowe ni MTU makini ataiacha Chadema kwenye mikono salama ni habari ya muda tu
utaelewa baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba aliyeiua CHADEMA ni Mbowe na alifanya hivyo mwaka 2015 makusudi Kabisa.
Ninamashaka pia kama huyu Mbowe sio Mrema namba 2.
Uzuri wa waTanzania kufikiri huwa tunaahirisha na tunasahau haraka.
 
Hoja ya msingi sana hii.

Kushiriki uchaguzi ni haki ya kikatiba ya kila mwanachadema na kila mwanachama anapokuwa karibu na wanachama wa vyama vingine siyo pandikizi wala msaliti.

Tunaposhangilia ushindi tukumbuke kutokuwapaka mavi wagombea wengi kwa hoja za kitoto za pandikizi la chama fulani.

Kama wameshindwa kwa uhalali tuwatie moyo na kuwaunganisha ili wasilete migogoro ya ndani kwa ndani.

Ni muhimu sana kuwa na wanachama wanaoheshimiana na kuaminiana vinginevyo kinapoteza hadhi ya kuwa chama na kugeuka kuwa genge la wahuni tu.
Ila pia tukubaliane na hoja vyama tawala vinapandikiza vibaraka wao kwenye vyama vya upinzani ili kuvisambaratisha na ushahidi upo
 
utaelewa baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba aliyeiua CHADEMA ni Mbowe na alifanya hivyo mwaka 2015 makusudi Kabisa.
Ninamashaka pia kama huyu Mbowe sio Mrema namba 2.
Uzuri wa waTanzania kufikiri huwa tunaahirisha na tunasahau haraka.
Porojo hizi zungumza pale mitaa ya Lumumba utashangiliwa sana
 
Your not successful until your successor is more successful than you.
Sasa huwezi kusema mtu nikiongozi Mzuri na hawezi hata kutengeneza taasisi na kuandaa viongozi hio inakua sio taasisi tena..
Maana itakufa haraka Sana Hiyo taasisi Huyu mtu akipatwa na Maradhi au akifariki.
Mafanikio ya kiongozi ni kuweza kuifanya tasisi irun bila yeye kuwepo asipokua hivyo huyu ni mtawala sio kiongozi
Nyie CCM kinawauma nini Mbowe kuongoza CDM?
 
Hamia CCM, kule hutakiwi kukohoa nbele ya mwenyekiti, nadhani panakufaa zaidi, huku chadema wewe waachie wenyewe
Huo utetezi wa kwamba cdm inamuhitaji sana Mbowe wakati huu hata hauniingii akilini, akifa kesho basi jumanne asubuhi chama kinakufa? Siko na ccm kabisa kuhusu nafasi ya Mbowe, huenda ccm wanataka Mbowe aondoke kwa sababu zao, na mimi nina sababu zangu hata kama wote tumetaka hilo sasa. Mbowe ajilaumu mwenyewe kushindwa kuandaa succesion plan, kwani alipaswa kujua hiyo ni taasisi. Chama kinachomtegemea mtu mmoja kuwaongoza na sio mifumo ya uongozi, hicho sio chama bali kundi la wajanja linalofanya siasa. Naamini kwenye cdm taasisi na sio kwa cdm mtu.
 
Nashangaa, utafikiri mbowe kapiga kura za maruhani kama ccm, hawa watu wa lumbumba kicwani zero, badala wakaendelee kulamba kende za mwenye kiti wao, wapo humu wanamjadili mbowe
Huyo mbowe anawaingia wapiga kura moyoni? Anayejua atuambie.
 
..kweli.

..walioshindwa uchaguzi haimaanishi kwamba hawahitajiki tena ndani ya chama.

..Mzee Mkapa aliwahi kushindwa nadhani ujumbe wa nec ccm. Aliokolewa na kura za " kikapu." Baadaye amekuja kuwa Mwenyekiti wa ccm.

..Mzee JK naye alishindwa kura za kupeperusha bendera ya ccm 1995. Miaka 10 baadaye akaja kuwa Mwenyekiti wa ccm.

..Kushindwa uchaguzi maana yake ni kuwa "kura hazikutosha", haimaanishi kwamba mhusika hatakiwi ndani ya chama.
[/QUOTE
..kweli.

..walioshindwa uchaguzi haimaanishi kwamba hawahitajiki tena ndani ya chama.

..Mzee Mkapa aliwahi kushindwa nadhani ujumbe wa nec ccm. Aliokolewa na kura za " kikapu." Baadaye amekuja kuwa Mwenyekiti wa ccm.

..Mzee JK naye alishindwa kura za kupeperusha bendera ya ccm 1995. Miaka 10 baadaye akaja kuwa Mwenyekiti wa ccm.

..Kushindwa uchaguzi maana yake ni kuwa "kura hazikutosha", haimaanishi kwamba mhusika hatakiwi ndani ya chama.
Ni kweli wanatakiwa kwenye Chama, maana Chama makini kitamhitaji kila mtu. Tatizo ni tabia za wanasiasa uchwara wa Tanzania na siasa zao za kutaka kukomoa. Yaani mtu anashindwa kihalali katika sanduku la kura, bado mtu huyo analaumu na kumtupia lawama mtu mwingine asiyehusika huku moyoni ana nia ya kuhama ili kuwakomoa!!!
Ndipo nikasema waende tu kama ndiyo lengo lao.
 
Hii inamaanisha kwamba chadema kanda ya kusini imechukuliwa na mamluki toka cuf
 
Panapo majaliwa tunasubiri pia kuona hapo mwakani Membe atakapochukua form kugombea nafasi ya kuteuliwa kugombea urais huko kwenu itakuwaje.
We shall see what will happen.

Hata mwaka 2015 alichukua form kugombea hata tatu bora hakufika
 
Ni kweli wanatakiwa kwenye Chama, maana Chama makini kitamhitaji kila mtu. Tatizo ni tabia za wanasiasa uchwara wa Tanzania na siasa zao za kutaka kukomoa. Yaani mtu anashindwa kihalali katika sanduku la kura, bado mtu huyo analaumu na kumtupia lawama mtu mwingine asiyehusika huku moyoni ana nia ya kuhama ili kuwakomoa!!!
Ndipo nikasema waende tu kama ndiyo lengo lao.
Asante sana
 
Sio lazima ww uniunge mkono, ninasimamia ninachoamini kuwa mwisho wa uongozi ni miaka 10, zaidi ya hapo ni utapeli kama utapeli mwingine. Nimependeza njia hiyo sio kwakuwa nakubali kiongozi akae zaidi ya miaka 10, bali ni wangalau kupunguza dhana mbaya ya kuchezea uchaguzi. Lakini kwamba kwangu mwisho wa kiongozi bora ni miaka 10, wala sibadilishi.
Sikukuunga mkono kwa hiyo miaka 10 au 15 na haitatokea niunge mkono hilo.

Ninachounga mkono ni wazo la kufanya kura ziwe halali; na kama unakubali hilo maana yake ni kwamba umefuta hiyo dhana ya miaka 10/15.
 
Saws nakubaliana Na mtazamo wako, lakini haki ya kutogombea ni ya MTU mwenyewe.kama katiba yao haina ukomo shida ni nin kwa mbowe akiamua kugombea? Jambo La msingi kila mwanachama aruhusiwe kuchukua fomu ili wanachadema waamue Siku ya kura.mbona lipumba hadi Leo ni mwenyekiti Wa cuf toka 1995, vipi mrema? VIP mbatia
Na sisi wananchi tumeamua Mh Magufuli awe Rais wa nchi hii mpaka awe kikongwe zaidi ya Mugabe ,kwani ni wananchi tumeamua
 
Back
Top Bottom