Siasa ni uvumilivu Mwambe, kauli ya Halima haikua nzuri lakini ungeikemea palepale maisha yakaendelea.
Na aende , sasa mtu kama huyu angeiua Chadema! Mungu ni mwema!Mwambe bado yupo sana........ Rombo kuchele!
Kwa kauli kama hii ni wazi hawezi kuendelea kuwa CHADEMA. Tayari anarudi kwao...... Mission failed!!'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Rombo - Ndanda - MboziNa aende , sasa mtu kama huyu angeiua Chadema! Mungu ni mwema!
Ccm mnavomchukia mbowe na cdm Leo mnasubiri watu wachonge ndio mtoe huo ushahidi?maviiiiiiiiiMh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Rombo - Ndanda - MboziNa aende , sasa mtu kama huyu angeiua Chadema! Mungu ni mwema!
acha waende wale hela za kutoka kwenye gari la matangazo! Lakini damu zao ni Chadema. kwenye ballot box (kama ipo anyway) wanajua watatick wapiRombo - Ndanda - Mbozi
Arudi chama dume kuliko kukaa kwenye saccos ya wahuni. Kila mwanachama ni kambale!
Chadema ni zaidi ya unavyodhani , viongozi wenu washamba wa makao makuu hakuna wanachopanga kisichofahamikaRombo - Ndanda - Mbozi
"Anarudi home. Kumenoga"'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Mwambe huns jipya huna shukrani CCM walikubwaga,Chadema wakakuinua wakakupigania ukapata ubunge,hivi ni lazima uwe Mwenyekiti wa Chadema Taifa? Kwa kuwa unataka sana Uenyekiti Taifa nenda CCM utaupata tu ila kumbuka Fadhila za Chadema'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
MBONA WESHACHONGA MWAGA MBOGA MAANA UGALI TAYARI UPO MCHANGANIMh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.