Pasco, bila kujali itikadi zako za kisiasa, umezungumza ukweli mtupu. Kwa hali ilivyo kwa sasa, hata mimi nimekata tamaa na CDM. Napata hisia kuwa 2015 ni CCM tena, sadly! Natamani mtu aniambie kwa nini nisikate tamaa na CDM kuchukua dola 2015; mtu aniambie kama hali ndo ilivo sasa chamani kwa nini tuamini kuwa itabadilika na kuleta ushindani wa kweli 2015.
2015 bado ntapigia kura CDM lakini si kwa sababu ni chama bora bali kwa sababu CCM ni chama kibaya zaidi. Heri zimwi lisilotujua, kwani litujualo linatumaliza.
Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu Msengapavi, I've loved this!.
Kuna thread niliweka humu nikawapa Chadema data kuwa tulipokuwa watu milioni 42, eligible voters walikuwa ni milioni 30!, waliojindikisha kupiga kura ni milioni 20!, waliopiga kura ni milioni 8!, JK akachaguliwa na watu milioni 6!, hao milioni 2 ndio wakachagua opposition!.
Kwenye website ya CCM, inajitapa ina wanachama milioni 6!, na JK kachaguliwa na kura milioni 6!. The gap between eligible voters, milioni 30!, na walioichagua CCM, milioni 6!, ni milioni 24!, that should have been ndio owe target ya Chadema!.
Reseach zimeishafanyika kwa nini watu wenye umri wa kujiandikisha kupiga kura, hawajiandikishi!, kwanini watu wanajiandikisha, halafu hawapigi kura?!, ukifanikiwa tuu kuyashika haya makundi mawili, CCM Gone!. Hivyo Chadema wakashindwa kupanga vipaumbele vyake kati ya visibility na reaching out the masess!, badala ya ku concentrante on reaching out, Chadema wakajikita zaidi kwenye visibility, kuonekana, kuandamana, kushout kwa loud voice rushwa, ufisadi, CCM hiki, CCM kile, as if hiki ndicho Watanzania wanalichotaka!.
Baada ya ushindi mnono wa 2010, Chadema sasa inapata ruzuku ya kutosha kabisa to operate its mass media!, kuwa na redio yake, kuwa na TV yake na kuwa na magazeti yake!, (TZ Daima ni la Mbowe). Wakati CCM ikitumia TV ya Taifa, Redio ya taifa na redio yake, Magazeti ya serikali, magazeti ya wapambe wao, na gazeti lao, priority ya Chadema ikawa ni kununua magari ya M4C, kununua PA, kukodisha chopa za Ndesa, na kufanya mikutano!. Watu wenye time ya kuhudhuria mikutano ndio wale wale kundi la wale milioni 8 waliojitokeza, hao milioni 22 have never been reached!. Kama Chadema inge invest kwenye mass media ingewafikia wengi zaidi kuliko washangaa chopa!.
Nilipowaambia hawajipanga, na kuwaeleza wajipange wapi, wenzetu wako bize kufanya yale ya kuonekanika!. Hata hivyo kupanga ni kuchagua!, Chadema made its choices na lazima kuyakubali matokeo ya priorities zao and ether live with it and be doomed forever, or change for the better and make a diference!.
Kuendelea kuisupport Chadema despite all the odds is the most paromount thing to do!.
Nakubaliana na wewe!.
Pasco.
Pasco