Wape salaaaaam mataga wa lumumba.Kwani maandamano yanazuia msiba???? Kuna mtu kakwambia uache kuomboleza uende kumpokea Lissu????
CCM Embu acheni kujidhalilisha humu. Mbona mnamuogopa sana raisi Mtarajiwa??? Maisha yenu yataendelea tu kuwepo hata baada ya Lissu kuapishwa kuwa Raisi hapo November 2020.
Tulieni jamani CCM.
Watu mmekuja kuwaje? kwami maandamano yanazuia kuomboleza
Swali ni je Lissu alipokewa kwa maandamo au na watanzania wengi Hilo linamaanisha kuwa hakuna maombolezo???Sio lazima mtu ambaye kwako wewe ni muhimu basi ukataka na wengine wote wawe wana umuhimu kwao....
Mkapa ni binadamu kama wengine,kuna watakosikitika na watakaokua hawana habari nae basi usilazimishe wote waombeleze...
Mkapa kama kongozi mstaafu alikaa kimya hata pale TL aliposhambuliwa
Mkapa siyo kiongozi wa Taifa, alikuwa ! na atapewa heshima hizo kama ilivyo
Katika nchi huru watu hutenda kwa uhuru wakiongozwa na busara zao.
Hakuna sheria inayoongoza nini watu wafanye katika maisha yao ilimradi hawakiuki sheria za nchi
ingawa hii imetokea kama bahati mbaya,ila kiukweli lissu ana bahati mbaya.
hiyo jtatu tunaiingiza kwenye siku za maombolezo kitaifa,jifanye unawashwa nyanyua kongoro zako nyumbani kwenu[emoji38][emoji38][emoji38].
Hata baada ya kifo maisha ya kawaida lazima yaendelee.
CCM ina laana.Wakati Lissu anapambania uhai nyie mlisitisha shughuli zenu?so ndio kwanza mlikuwa bize mkifurahi na kugawana vyeo?
Leo mnataka watu waache ratiba zao kwa ajili ya mtu aliyewaita wapinzani wapumbavu na malofa
hakutakiwa afe mtu,kimsingi.
ila aliyekufa ni kiongozi wa kitaifa.
au wewe.Ungekufa wewe
"Hatutaki"
Hii kauli inawakilisha wakina nani?
Au inakuwakilisha wewe?
Jisemee nafsi yako
Naomba iwe hivyo!Jibu ni hakuna shida yeyote na Lissu atapokewa na watanzania wote na pia mkapa ataendelea kuombolezwa na watanzania wote
RIP Mzee. Umetuachia watu ambao ni woga na hawajielewi. Wanataka kutumia umauti wako kunyanyasa wengine. RIP Mzee. Busara zako zitaendelea kudumu.Kwani maandamano yanazuia msiba???? Kuna mtu kakwambia uache kuomboleza uende kumpokea Lissu????
CCM Embu acheni kujidhalilisha humu. Mbona mnamuogopa sana raisi Mtarajiwa??? Maisha yenu yataendelea tu kuwepo hata baada ya Lissu kuapishwa kuwa Raisi hapo November 2020.
Tulieni jamani CCM.
Hakuna tabu mkuu hatutafanya maandamano, bali tutakwenda kimya kimya huku tukiwa na barakoa zetu maana kinga ni bora kuliko tibandio sababu nikaandika kama asingekuwa mtu maarufu wala isingekuwa tatizo na ujio wa lissu,but ndio hivyo
Kifo ni kifo tu mkuu na watu wanakufa kila siku.
Kuna matukio mengine hayahitaji kuhusisha na vitu vingine.
Kwa nini basi usiseme mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM unamkosi, au uchaguzi mkuu kwa CCM safari hii umekuja na bahati mbaya watashindwa kwa sababu wamefiwa na mkiti wao mstaafu.
Rais wa TFF au TLC
ni mimi niliandika kuhusu bahati mbaya kwa ujio wa mh lissu,kuhusu mchakato wa kura za maoni sikutaja, lakini haina maana kwamba huko ni saf kabisa.nako kuna madhara yatatokea.
Ndiyo bwana. Maisha yanaendelea pamoja na Corona kuwepo.Hata baada ya kifo maisha ya kawaida lazima yaendelee.