CHADEMA hawana ushawishi kwa Watanzania kuchukua Dola, ni ndoto na kujidanganya

Umeshamaliza zamu ya kulinda kaburi la mungu wenu wa sukuma gang?? Chadema wanastaili kuchukiwa maana walimsulubu sana mungu wenu ikawa kila baada ya mwezi anakwenda gereji
 
Sasa wewe ungekuwa na mtu makini ungekuwa mateka wa Mbowe elimu yake kidato cha nne tena DJ akili za Bavicha bana.
Mbana wewe mfuasi wa musukuma na kibajaji na hatuongei au unafkiri hatujui
 
Usitafute pakukimbilia mimi sijataja dini ya mtu naomba ujibu swali.

Kati ya vyama vya siasa ni vyama vipi vina wenyeviti waliodumu kwenye nyadhifa hizo kwa zaidi ya miaka 5, 10, 15 au 20?
Hujawahi kumzungumzia Lipumba kabisa wewe shida yako ni mbowe tu basi
 
Kumbe inakuuma? Mbona kina polepole walikua wanaenda viwanjani na sare za kijani tena anakua mgeni rasmi
Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Utopolo wa Katiba Mpya na matisheti ya CDM ni siasa. Maandishi kifuani eti watu wasome.

Kumbe ndiyo maana Mbowe kwa miaka 22 mwenyekiti CHADEMA.

-Chama kina wanachama na wafuasi wapumbavu hadi inatia huruma yaaani.
 
Umeshamaliza zamu ya kulinda kaburi la mungu wenu wa sukuma gang?? Chadema wanastaili kuchukiwa maana walimsulubu sana mungu wenu ikawa kila baada ya mwezi anakwenda gereji
Wakati mwingine nakubaliana na Mbowe aliposema wafuasi wa Chadema silaha zao
Kubwa ni matusi wote tunaonekana wavuta bangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…