Tulishawazoea kwa kulalamika! Umesema hujui sababu badala ya kwenda kuwauliza sababu tayari eti unasema UNAMTAKA IGP .... Who are you?? Mnaanza kuleta sababu za kushindwa! Kama Polisi wanataka kuwajua wagombea wenu ili waimarishe ulinzi kwenye maeneo yao. Kila wakati kuwaza negativity tuuuu!!
Wajinga wanapeana mavyeo unategemea niniHivi jeshi la Polisi Tanzania mbona linetawaliwa na ujinga wa hali ya juu hivyo?
Ili ionekane kuwa Polisi hawana "Sinister Reason Behind Their Request" waandike barua kwa vyama vyote kuomba majina ya watia nia wa nafasi mbambali. Tena kwa kuwa CCM kuna mafuriko ya watia nia, waanze na orodha ya CCM kwanza!
Kiki ya nini wewe Mama, miaka 5 mnafanya Siasa wenyewe na bado hamjiamini .
Chadema inafutika Octoba labda ACT wataibuka nao kwa muda wa miaka mitano baada ya hapo nao wanafia mbali
Hiyo ni mikakati au uhuni tu ?Kuna mtu nilimwambia humu kwamba November watakuwa humu wakilaumu Polisi,NEC na Wakurugenzi.
Hayo matumaini hewa ya ushindi wanayojipa sasa kwa mazingira tuliyonayo ni kichekesho.
Jimbo kama Bukene toka uhuru halijawakilishwa na upinzani bungeni lakini tayari mikakati inaandaliwa,vipi yale yenye strong opposition?
Peleka la shangazi yako.simpeleke tu majina kwani watayafanya nini
Wote hao ni wamoja; NECCCM, TAKUKURUCCM, POLICCM. Wote wametumwa hayo majina na Yesu wa BurigiWanataka majina ya nini hawa polisi CCM.?
Wamechukua majukumu ya Tume ya Uchaguzi ya CCM.
We shall overcomeuvumilivu umepitwa na wakati! failure of peaceful approaches welcomes violence!
Kwa akili yako police wanahusika na kuchunguza rushwa tukiwaambie nyie ni mabashite mnatokwa povu mapoyoyo kabisa.Jamani wapeni Ili wachunguzwe nyendo zao, hatutaki kabisa rushwa.
Wenzao?Chadema wanatakiwa wachukue Hizo barua kisha kuwafungulia kesi OCD wote kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague watazinduka na kuacha kuwasaidia wenzao CCM
Tulishawazoea kwa kulalamika! Umesema hujui sababu badala ya kwenda kuwauliza sababu tayari eti unasema UNAMTAKA IGP .... Who are you?? Mnaanza kuleta sababu za kushindwa! Kama Polisi wanataka kuwajua wagombea wenu ili waimarishe ulinzi kwenye maeneo yao. Kila wakati kuwaza negativity tuuuu!!
Peleka la shangazi yako.
Jenga hoja basi acha vioja!Acha kuwa zumbukuku ww
Kazi imeanza...