CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

Waislamu kwa kulalamika na kujiona wateule wa Mungu hamjambo.

Ndo maana Myahudi kaamua kuwatwanga Magaidi na Vizazi vyao. Hivi kule mmeshakufa wangapi?
Tipical Galatian block, makafiri mmekosa akili kiasi Cha kudhani wanaouliwa kule Gaza basi woote ni waislam,being brainwashed that all Palestinian ni Muslims ni jambo la hovyo sana ambao makafiri wa bongo wamekuwa wanaishi nalo miaka na miaka, kizazi na kizazi ...very astonishing....
 
Wewe jamaa na yule bibi yako faiza, mlitakiwa kuishi Afghanstan huko na ndugu zenu Taliban.

Nadhani huku Bongo kunatufaa watu kama sisi ambao mara nyingi hatuchukulii kwa uzito mambo ya kipuuzi kama hayo yahusuyo dini.
Dini yenyewe ndo hii ya kudanganya vijana wetu eti Kuna ngono kule mbinguni!! Upuuzi mtupu
 
The same applied Kwa wewe na Jamaa zako Chadema,mngepaswa muishi Vatican na yule babu yenu PAPA anaepropagate mambo yenu ya kipuuzi ya Sodomy...

Huku Bongo kunatufaa sisi ambao hata siku Moja hatuwezi kuingia kwenye mtego wa wanaume Kwa wanaume kupigana mashine...!!
Unafiki ni kitu kibaya sana! Kwa hiyo kupitia haya maelezo yako unataka kusema hakuna watu wa imani yako wanaopigana miti wao kwa wao siyo!!

Umesahau hata mashoga wote maarufu nchini walio wahi kujitangaza hadharani, ni ndugu zako! Unataka nikutajie na majina yao? Na hata sasa wametapakaa maeneo yote ya Pwani ya nchi uetu!!
 
Wewe kama wewe ndio umesema hivyo, na sauti yako sio ya Waislam wote. Mimi Binafsi wala sio CHADEMA na simkubali Lema kwa sababu kadha wa kadha...lakini unasema hivyo wakati wapo Waislam wengi sana wanaomsupport Lema na CHADEMA pia
So,what the hell are you trying to say...
 
Tatizo la makafiri shida yenu kubwa ni usahaulifu.

Ila tutawakumbusha, kipindi kile ambacho JK alikuwa anagombea Urais na chadema mgombea wenu akiwa yule padre mzinz wilbroad slaa mlifiikia hadi hatua ya kugawa vipeperushi makanisani na sehemu zenu zingine za matambiko kuwa Sasa ni zamu yenu na Rais ni Padre wilbroad slaa,guess what happened after that,mbona mliisoma NAMBA??

Sasa,naona Bado hamjajifunza,endeleeni tuh na ufa.la ufa.la wenu Inshallah 2025 siyo mbali.

Mnachokitafuta mtakipata.
Usiandike ujinga kama ulivyozoea, weka hapa ushahidi wa hicho kipeperushi tukione.

Nimekuuliza bado hujajibu, mbona wale mashekhe waliwekwa ndani kipindi cha JK, na wamekuja kuhukumiwa wakati huu wa Samia?

Mna thinking nyepesi ya kipuuzi sana, huwezi kuchanganya mambo ya imani kwenye siasa halafu bado ukategemea kubaki salama, lazima uonekane mjinga tu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Dini yenyewe ndo hii ya kudanganya vijana wetu eti Kuna ngono kule mbinguni!! Upuuzi mtupu
Eti eeh,and how about hiyo ya kuambiwa muingie KWENYE Sodomy wenyewe Kwa wenyewe??

Sounds good??teh teh teh...
 
Usiandike ujinga kama ulivyozoea, weka hapa ushahidi wa hicho kipeperushi tukione.

Nimekuuliza bado hujajibu, mbona wale mashekhe waliwekwa ndani kipindi cha JK, na wamekuja kuhukumiwa wakati huu wa Samia?

Mna thinking nyepesi ya kipuuzi sana, huwezi kuchanganya mambo ya imani kwenye siasa halafu bado ukategemea kubaki salama, lazima uonekane mjinga tu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Siku zote Huwa nacheka sana kafiri anapokuja mbele yangu na kuniita mpuuzi Kisha yeye akajiita smart,nacheka sana...

Kafiri wewe hata means za kujiswafi huna unaenda toilet na kutumia toilet papers unataka kuniambia Nini Mimi??

Kafiri hata unachoabudu hukijui unaabudu sanamu la bikra maria na mtoto wake Kisha unawaita Mungu utaniambia kitu Gani,wewe ni MTU wa kuhurumiwa tuh
 
Eti eeh,and how about hiyo ya kuambiwa muingie KWENYE Sodomy wenyewe Kwa wenyewe??

Sounds good??teh teh teh...
Hii ni sawa na Mtume Muhammad kuwaruhusu kubaka watoto wadogo, Tazama kilichomkuta huyu Bin Mwamedi
 

Attachments

  • Screenshot_20240222_213115_X.jpg
    Screenshot_20240222_213115_X.jpg
    637.2 KB · Views: 2
Kwamba u dont represent the whole Muslims, This is ua claim as an Individual not Tanzanian Muslims...right?
So,ukitaka waislam woote tuje kuanzisha mada Hilo??umeona miislam Gani ananipinga katika hili hapa JF?
 
Alichosema Lema kina ukweli, Proff Asad, Zito Kabwe and the like ni taswira halisi ya alichosema akili kubwa Lema. Wakati wa JPM hawa walikuwa Mwiba ila sasa kwakuwa aliyepo wanaendana kiimani huwaskii hao wachumia tumbo. Kwa mantiki hiyo usemi wa Lema ni sahihi 100%
Ankili ndogo!!! Kwa hiyo mbowe ni muisilamu???
 
Unafiki ni kitu kibaya sana! Kwa hiyo kupitia haya maelezo yako unataka kusema hakuna watu wa imani yako wanaopigana miti wao kwa wao siyo!!

Umesahau hata mashoga wote maarufu nchini walio wahi kujitangaza hadharani, ni ndugu zako! Unataka nikutajie na majina yao? Na hata sasa wametapakaa maeneo yote ya Pwani ya nchi uetu!!
List hii hapa...

James delicious, Noel,Dayon huyu kafikia hadi hatua ya kijibadili jinsia na kuweka uke, Aggrey na kadhalika... waislam hao eeeh?? kafiri wewe...
 
Sijaona tatizo Kwa kauli ya Lema!!

Tusichague mtu kutokana na Dini yake kuwa muislam au mkristo Bali kutokana na uwezo was kiuongozi na kutatua changamoto za wananchi!!

Udini ni ujinga uliokita mizizi kwa watz wengi sana na haujawahi kutatua changamoto za umaskini na maendeleo Kwa jamii,zaidi ya kutugawa makundi na chokochoko kibao!!
 
Back
Top Bottom