CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

Sijaona tatizo Kwa kauli ya Lema!!

Tusichague mtu kutokana na Dini yake kuwa muislam au mkristo Bali kutokana na uwezo was kiuongozi na kutatua changamoto za wananchi!!

Udini ni ujinga uliokita mizizi kwa watz wengi sana na haujawahi kutatua changamoto za umaskini na maendeleo Kwa jamii,zaidi ya kutugawa makundi na chokochoko kibao!!
Akatoe huo ushuzi kwenye uchaguzi wa chama chake na si kuteletea uyahuni wake kwenye nchi yetu
 
akili kubwa Lema. Wakati wa JPM hawa walikuwa Mwiba ila sasa kwakuwa aliyepo wanaendana kiimani huwaskii hao wachumia tumbo. Kwa mantiki hiyo usemi wa Lema ni sahihi 100%
Wacha ufala wewe! Ishi kwa akili yako, unaabudu maneno ya mpumbavu Lema, endeleeni kumjaza ujinga huyo Mpuuzi wenu mropokwji Lema maokeo mtayaona.
 
Lete Ushahidi na mimi nikupe ushahidi kuwa Mtume Mudy alimbaka Mtoto Aysha mwenye miaka 9
Ishi humo Mzee,huamini kuwa bikra maria alipata ujauzito akiwa na miaka Tisa?
 
Mwajuma Tako bovu ni wewe uliepewa permit ya Sodomy na PAPA....
Mimi sio mfuasi wa Papa ewe Mnafiq, kwanza huyo Fatma ana Uislam gani....mwajuma tako bovu wewe...kutwa kutuvalia Hijab mchana huku ucku kusasambua kiuno
 
Akatoe huo ushuzi kwenye uchaguzi wa chama chake na si kuteletea uyahuni wake kwenye nchi yetu
Udini hauna maana!!

Kauli ya Lema no thabiti!!

Tuchague Kwa uwezo sio uislam Wala ukristo!!

Binafsi Sina Mpango was kuchagua ujinga!

Bora asimame Kasim majaliwa nitamuelewa!!

Au hata shamsi vuai nahodha nitamchagua lakini huyu hapana!amefeli !Hana sauti ya kukemea ujinga ujinga mwingi ninaouona Kila siku!!
 
Siafikiani na sera za chadema kutokana na baadhi ya sera zenyewe kutokuwa na uhalisia (huo ni mtazamo wangu kila mtu wake) ila kuna baadhi ya vipengele kama hiki najiuliza tatizo liko wapi ndipo napokuja kugundua kuna baadhi ya akili ndogo ambazo nazo zinaparamia kila mada na hata kuvuruga wenzao ambao wapo kwenye dini yao

Ni akili ndogo tu ndio itaongea pumba na kuendelea kulalamika kuhusu DP World awe mwislamu au mkristo wakati kila mmoja aliona jinsi lilivyokuwa limkataba libovu (kuna miwatu mijinga kweli)

Sasa Kupinga ule mkataba kuna Islamophobia gani, kueleza mtu atazame sera na asiangalie dini ya mtu kuna ubaya gani?, mara ngapi tunasisitizana kuwa tusizingatie dini, kabila au kanda kwenye kufanya jambo fulani je huwa tuna hiyo phobia??


Sijaona mahali alipozua taharuki au kuchochea ugomvi baina ya waislamu na wasio ni mtu mwenye upungufu wa fikra tu ndio atang'ang'ania hiyo issue na huu ujinga ndio uliokikwamisha chama cha CUF baada ya porojo za watu kukishikamanisha na dini fulani ilhali sio


Tuache pumba tuongee facts
Ujinga huo huo ambao uliizamisha CUF na ndiyo huo huo unaizamisha Chadema...

Chadema visiwani imekufa,CUF imekufa...CuF bara imekufa likewise chadema inaenda kufa pia...
 
Uislam na ukristo unahusika na nini kamanda?
Nimesema sio kila wanapotajwa waislamu au wakristo basi ni masuala yenye kuhusika moja kwa moja na dini uislamu au ukristo, unaweza kukuta tabia za waislamu au wakristo wa nchi moja ni tofauti na nchi nyengine japo kidini wote ni waislamu/wakristo.
 
Back
Top Bottom