residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Astaghafirurah!!!Hii ni sawa na Mtume Muhammad kuwaruhusu kubaka watoto wadogo, Tazama kilichomkuta huyu Bin Mwamedi
Kuoa binti wa miaka nane!!??
Huyo ni shweitani mwenyewe hakika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astaghafirurah!!!Hii ni sawa na Mtume Muhammad kuwaruhusu kubaka watoto wadogo, Tazama kilichomkuta huyu Bin Mwamedi
Lema ametoa angalizo la msingi sana,lakini wale walevi wa dini wasio na akili ya kawaida kabisa ya asili wataona kuwa Lema ni mdini.Sijaona tatizo Kwa kauli ya Lema!!
Tusichague mtu kutokana na Dini yake kuwa muislam au mkristo Bali kutokana na uwezo was kiuongozi na kutatua changamoto za wananchi!!
Udini ni ujinga uliokita mizizi kwa watz wengi sana na haujawahi kutatua changamoto za umaskini na maendeleo Kwa jamii,zaidi ya kutugawa makundi na chokochoko kibao!!
Sijaona tatizo Kwa kauli ya Lema!!
Tusichague mtu kutokana na Dini yake kuwa muislam au mkristo Bali kutokana na uwezo was kiuongozi na kutatua changamoto za wananchi!!
Udini ni ujinga uliokita mizizi kwa watz wengi sana na haujawahi kutatua changamoto za umaskini na maendeleo Kwa jamii,zaidi ya kutugawa makundi na chokochoko kibao!!
Huwa nawaambia vijana wangu waache itikadi kali za kidini!Lema ametoa angalizo la msingi sana,lakini wale walevi wa dini wasio na akili ya kawaida kabisa ya asili wataona kuwa Lema ni mdini.
Dini ni kilevi cha wanadamu.
Ila kuna dini zingine ulevi wao ni hatari zaidi ya hatari yenyewe.
Mmeshindwa Siasa sasa mnaleta Udini. Upuuzi mtupu.Hata kanisa la KKKT majuzi lilishambuliwa sana na CHADEMA kisa hawamtaki Askofu mkuu Malasusa ambaye kagoma kutumika kisiasa kama mtangulizi wake Askofu Shoo. Huyu Askofu Shoo alinunuliwa V8 la kifahari na kina Mbowe.
Hizo dini za kutungwa ukaaminishwa ni za maana ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Maana zimekuingia akilini unaona ni kitu Cha maana wakati hazitatui lolote katika maisha, zaidi ya kulishana hofu zisizo na any scientific proof. Huo ujinga tuliuacha muda mrefu baada ya kufuatilia na kukuta ni vitabu vya waliogoma kutumia akili, na kuamua kuamini story za kusadikika.Asante Sana Mkuu
Kenge wewe huna lolote acha kutisha watu. Lema amesema ukweli, acha ukweli usemweWacha ufala wewe! Ishi kwa akili yako, unaabudu maneno ya mpumbavu Lema, endeleeni kumjaza ujinga huyo Mpuuzi wenu mropokwji Lema maokeo mtayaona.
Alichosema Lema kina ukweli, Proff Asad, Zito Kabwe and the like ni taswira halisi ya alichosema akili kubwa Lema. Wakati wa JPM hawa walikuwa Mwiba ila sasa kwakuwa aliyepo wanaendana kiimani huwaskii hao wachumia tumbo. Kwa mantiki hiyo usemi wa Lema ni sahihi 100%
Pumzi inakupa kibri, umauti ukikufika ndio utaongea vizuriHizo dini za kutungwa ukaaminishwa ni za maana ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Maana zimekuingia akilini unaona ni kitu Cha maana wakati hazitatui lolote katika maisha, zaidi ya kulishana hofu zisizo na any scientific proof. Huo ujinga tuliuacha muda mrefu baada ya kufuatilia na kukuta ni vitabu vya waliogoma kutumia akili, na kuamua kuamini story za kusadikika.
Kuwa msomi ni pamoja na kuamini katika mambo yenye proof, na Yale yasiyo na proof huna haja ya kukaza fuvu. Sasa unakuta mtu anajifanya msomi, kisha analazimisha uamini yasiyo na proof zaidi ya hisia.Huwa nawaambia vijana wangu waache itikadi kali za kidini!
Haziwasaidii zaidi ya kuwabebesha mzigo mkubwa kuliko maisha yenyewe!!
Msomi unakuwaje na itikadi kali za kidini!!?
Siku mkiweza kuwakosoa viongozi wenu mtapiga hatua kisiasa.Mmeshindwa Siasa sasa mnaleta Udini. Upuuzi mtupu.
Tafsiri utakavyoweza ila siku ya uchaguzi ikifika tutaelewana mkiwa mnalia machozi na kusingizia kuibiwa kurauna maanisha kwa sasa tunanza kujua udini kwenye serikali au
Kwenye Nini labda, au hiyo pumzi inatolewa na hayo mavitabu ya watu weupe? Mmelishwa hofu za kijinga kwa mambo msiyo na ushahidi nayo. Hizo hofu ndio mnataka Kila mtu aziamini. Fanya hivi, tunza hiki nilichoandika hapa, siku ukifika huko unakoaminishwa utaenda ww unayeamini hayo mavitabu, unishitakie kuwa nilikufuru.Pumzi inakupa kibri, umauti ukikufika ndio utaongea vizuri
Well,you are wrong Mkuu...Nikishaanza kuona tu mtu analeta habari za dini za watu weupe na kujifanya anazifia sana huwa nampuuza kishenzi. Cha ajabu anayejifanya anafia hizo dini akienda huko zilikobuniwa wanamuona wa kawaida sana.
THE BIG SHOW
Amini unachokiamini,amini unaemuamin, wewe una dini yako na sisi tuna dini yetu,heshimu dini yetu na sisi tuiheshimu dini yako,soon after death tutajua who was right and who was wrong...Kwenye Nini labda, au hiyo pumzi inatolewa na hayo mavitabu ya watu weupe? Mmelishwa hofu za kijinga kwa mambo msiyo na ushahidi nayo. Hizo hofu ndio mnataka Kila mtu aziamini. Fanya hivi, tunza hiki nilichoandika hapa, siku ukifika huko unakoaminishwa utaenda ww unayeamini hayo mavitabu, unishitakie kuwa nilikufuru.
Wapi ww, ukiambiwa utoe scientific proof ya hayo uliyokaririshwa huna. Hayo mavitabu mnayojifanya kuamini yaliletwa kuwapumbaza na waliokuja kama wakoloni. Hakuna popote palipo na mtume wa huko kwenu Mtwara, Bado unajipandisha kama ni kitabu Cha maana kumbe upuuzi mtupu.Well,you are wrong Mkuu...
As for us Muslims,hatupractice Imani yetu Kwa kuangalia rangi ya mtu,uwezo wa mtu,wapi anatokea na kadhalika,awe muarabu,awe mzungu,awe muhindi,awe mchina,awe mwafrika we all mention one word ALLAH,we believe in abrahamic religious point of view of monotheism of god,na yule Alie Bora amongst us ni yule ambae ni best katika kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake