CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

Kwenye Nini labda, au hiyo pumzi inatolewa na hayo mavitabu ya watu weupe? Mmelishwa hofu za kijinga kwa mambo msiyo na ushahidi nayo. Hizo hofu ndio mnataka Kila mtu aziamini. Fanya hivi, tunza hiki nilichoandika hapa, siku ukifika huko unakoaminishwa utaenda ww unayeamini hayo mavitabu, unishitakie kuwa nilikufuru.
Narudia tena, pumzi inakupa kibri, wala hujui ni nani anaekufanya upumue.

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 2:170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Alichosema Lema kina ukweli, Proff Asad, Zito Kabwe and the like ni taswira halisi ya alichosema akili kubwa Lema. Wakati wa JPM hawa walikuwa Mwiba ila sasa kwakuwa aliyepo wanaendana kiimani huwaskii hao wachumia tumbo. Kwa mantiki hiyo usemi wa Lema ni sahihi 100%
Sera za mama zimefungua nchi hata leo lissu unamuona amelisifia hilo ndio maana hata hao chadema wanaandamana kila siku, kipindi cha magufuli si walihama nchi? Huwezi kufaninsha sera na uongozi wa samia hata kidogo ni mbingu na ardhi, watu waliporwa mali zao kuwa tajiri ilikuwa kosa la jinai sasa nchi gani inaweza kuendelea namna hiyo
 
Hiyo kauli ya Lema niliisoma vizuri kule X. Alikuwa sahihi kwa zaidi ya asilimia mia moja.

Kimsingi alichokisema Lema kinakuhusu wewe na wajinga wenzio, ambao mmezoea akiwepo kiongozi wa imani yenu ikulu, huwa hamumpingi kwa jambo lolote, nyie mtasimama nae tu hata kwenye ujinga wake.

Miongoni mwenu ni wewe, The Boss faiza foxy na wajinga wengine....

Lema akaenda mbali na kuwauliza, mbona wale mashekh ambao yeye alikuwa akipiga kelele waachiwe huru waliwekwa ndani na muislamu mwenzenu?

Amsheni akili zenu msitumike kama watoto wadogo, taifa haliwezi kujengwa kwa kukumbatia ujinga wa "mwenzenu katika imani".

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hakuna hata moja la maana hapo ulilozungumza, bali chuki tu mlizonazo na ndio zinaendelea kuwaponza wanachadema 😁
 
Lema haendekezi imani za mavitabu ya kuletwa na wakoloni, ww unayeona ni vya maana ndio Lema anasema acheni ukhanithi.
Aendekeze au asiendekeze atajua kwenye sanduku la kura. Jiandaeni kisaikolojia kwa kipigo mtakachokipata kwenye sanduku la kura
 
Amini unachokiamini,amini unaemuamin, wewe una dini yako na sisi tuna dini yetu,heshimu dini yetu na sisi tuiheshimu dini yako,soon after death tutajua who was right and who was wrong...
Siendekezi dini, nilishazipotezea muda mrefu baada ya kuona ni utapeli wa mchana kweupe. Nakushangaa ww unayekaza fuzu kwa mambo yasiyo na proof. Alichosema Lema kiko wazi, achaguliwe mtu kutokana na uwezo wake, na sio hayo madini ya kubrainwash watu. Labda ungewaambia hao wanaopita huko mitaana wakiitumia hiyo dini yako kupotosha kuhusu kupingwa kwa kiongozi. Hakuna anayemshutumu kiongozi kwa ajili ya hizo dini za kukaririshwa, Bali kutokana na matokeo duni ya kiutendaji full stop.
 
Dini, kabila, rushwa kwa, Afrika ni shida Sana, ukigusa dini tu, kila MTU ana panick! Sasa, hv hatusikii kelele za wazenj kutaka zenj Yao, maana rais, aliyepo ni kabila Lao.
Na mauaji, yote yanayotokea Palestine, huwezi, sikia wa Islam wakiitaka serikali, Samia atoe msimamo, subiri aingie raisi mkristo, CCM wanatumia Sana kadi ya, u dini, kikwete, Mkapa aliitumia, kukibomoa chama cha CUF!
Huo ndio ukweli,
 
Narudia tena, pumzi inakupa kibri, wala hujui ni nani anaekufanya upumue.

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 2:170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
Nasema hivi, tunza hiki nilichoandika hapa, kisha hiyo siku tukutane huko ulipoaminishwa hicho kitabu chako kitakuwa Kinga dhidi yetu tusioamini hayo mavitabu yenu. Au unadhani ukiandika kwa kiarabu ndio nitatishika? Kama umeamua kuamini, acha sisi tuliomua kufikiri tuseme hakuna kiongozi anapingwa kwa kuwa ni hayo madini ya kutungwa.
 
Hata kanisa la KKKT majuzi lilishambuliwa sana na CHADEMA kisa hawamtaki Askofu mkuu Malasusa ambaye kagoma kutumika kisiasa kama mtangulizi wake Askofu Shoo. Huyu Askofu Shoo alinunuliwa V8 la kifahari na kina Mbowe.

Malasusa ni kada wa CCM...!!
 
Sijui huo uislam wenu au ukristo wenu huwa unawapa faida gani maisha haya.
Kutwa mmekumbatia mitego ya dini ,kujishuku shuku , kuitafutizia vikauli vya kuonekana upande flan unabaguliwa, ya nini yote haya maujinga ujinga yenu nyie mafala.
Fu*ck dini zoote. Ujinga tu na upumbavu
Na wote tuseme ameen!
 
Mnaaswa msiweke udini kwenye kuchagua mnalialia Nini sasa?
Naskia mnasemaga kuna majini 'eti' mazuri😭😭😭 tokalini shetani akawa mzuri jamani???

Anapaswa kuwaambia pia wakatoliki wenzie nao waache udini kwenye maisha ya Kila siku pamoja na ndugu zake wa kaskazini nao waache ukabila.

Udini nchi hii umeanzia kanisani na bahati nzuri mmefanikiwa kweli kiasi cha kuiaminisha jamii mambo mengi sana.

Wote ni watanzania, lakini kanisa ndio taasisi iliyoanza kuanzisha shule zake za kidini, mahospitali yake yakidini, nk. Na hata Rais wa awamu ya nne alipoamua kuzinyima ruzuku na kutaka kuboresha hospitali za mikoa na kuzipa hizo ruzuku aliingia kwenye ugomvi mkubwa sana.
 
Kwa Dharau hizi halafu nchi iwe chini ya Chadema?
Hekma hamna anyway mtavuna mnachokipanda subirini.
Chadema si kijambio cha sa100 nani anakitaka hicho kijambio kichafu
 
Hiyo unasema wewe kafiri,

Uislam unaunganishwa na kalima ya Laa illah Illa Allah, Muhammad Rasuul Allah ..

Hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo na kwamba Muhammad ni Mtume wake...
Kungekuwa kuna waislamu saudi arabia isingekuwa toilet paper ya marekani na UK [emoji636]
 
Waislamu wanapenda deka mashoga wakubwa nyie
 
Yes ofcoz we are very special...

Uislam ni dini pekee ambayo hakuna yoyote mwenye kuamrisha chochote na tukatii isipokuwa Allah pekee na Mtume wake Muhammad Rehma na Amani ziwe juu yake.

Tuje kwenu Sasa makafiri,mzungu mmoja zee zee hivi limelewa zake wanzuki wa kiitaliano huko anakuja kuwapa amri nyote muwe mashoga na wote mnatiii unaionaje hiyo muimba kwaya.
**** la Mamako Na Uislam wako.
Usipende kukashfu Imani Za Wenzako Kishoga shoga.Msenge wewe Na Wote Wanaokusapot kwenye Udini.
 
Binafsi naamini kwenye utanzania kwanza, na dini zetu zibaki kuwa kwenye Imani zetu.

Shida inaanzia pale watanzania wenzetu wanapoivuruga mifumo Kwa maslahi ya dini zao na sio kusimamia maslahi ya watanzania kwanza, zipo na dini na taasisi zake zinanufaika sana na kodi.
 
Tipical Galatian block, makafiri mmekosa akili kiasi Cha kudhani wanaouliwa kule Gaza basi woote ni waislam,being brainwashed that all Palestinian ni Muslims ni jambo la hovyo sana ambao makafiri wa bongo wamekuwa wanaishi nalo miaka na miaka, kizazi na kizazi ...very astonishing....
Annika Kiarabu we Mkuda.sasa English Ya Nini Tena.Fala Wewe
 
Acheni hizo, msiokoteze makosa na kuyapamba kwa nakshi za kiarabu, Chadema ni chama na kama ndivyo mnataka tukubaliane matusi na kejeli alizotoa Nape dhidi ya Lowasa zilitolewa na CCM ukiwa ndio msimamo wa chama.
Mnamkana mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kaskazini? CHADEMA huwa haina hata semina ya kuwaelimisha wahuni kama Lema umuhimu wa kutoropoka hovyo? Chama hakina msemaji?
 
Alichosema Lema kina ukweli, Proff Asad, Zito Kabwe and the like ni taswira halisi ya alichosema akili kubwa Lema. Wakati wa JPM hawa walikuwa Mwiba ila sasa kwakuwa aliyepo wanaendana kiimani huwaskii hao wachumia tumbo. Kwa mantiki hiyo usemi wa Lema ni sahihi 100%
Yaani Assad ndo nimekuja kumdharau kabisa.
 
Unafiki ni kitu kibaya sana! Kwa hiyo kupitia haya maelezo yako unataka kusema hakuna watu wa imani yako wanaopigana miti wao kwa wao siyo!!

Umesahau hata mashoga wote maarufu nchini walio wahi kujitangaza hadharani, ni ndugu zako! Unataka nikutajie na majina yao? Na hata sasa wametapakaa maeneo yote ya Pwani ya nchi uetu!!
Mtaani Kwangu Wapo 5 na Wote Ni Wajukuu wa Mudy
 
Back
Top Bottom