CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

Basi mtavuna kauli ya Lema. Cha muhimu jiandaeni kulia mmeibiwa kura
Hii point yako ndio wanayohitaji kuiona wengi walio madarakani, lengo kubwa ni kuleta sintofahamu then mtu akasirike ajikute anachagua mtu kwa kukasirika, baada ya uchaguzi, nyie mliotofautiana mnaanza kuongea lugha moja dhidi ya ya mliowachagua wenyewe, mtawajasdiri kwa miaka 4 kabla ya uchaguzi mwingine.
Wao hujitahidi sana kuwa wamoja wakati wa kuelekea uchaguzi ili kutuvuruga sisi. Sisi huwa hatuwezi kushikiria kero zinazotukabiri kwa miaka 4 ili zitusaidie kufanya maamuzi mazuri wakati wa uchaguzi.
Wapiga kura, hebu tukaeni chini tujitasmini huwa tunakwama wapi wakati muhimu wa kufanya maamuzi sahihi.
 
Mnamkana mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kaskazini? CHADEMA huwa haina hata semina ya kuwaelimisha wahuni kama Lema umuhimu wa kutoropoka hovyo? Chama hakina msemaji?
Mbona CCM ndio wanaoongoza kwa kila kiongozi kuropoka, SGR kila kiongozi kasema tarehe yake ya kuanza kufanya kazi! Sukari kila kiongozi ametoa sababu zake! Kukatika kwa umeme kila kiongozi ametoa sababu na mwisho wa kukatika umeme.
Tukubaliane CCM kupitia Nape walimtukana na kumkejeri Lowasa na wakatumia kifo chake kujisafisha.
 
Mbona CCM ndio wanaoongoza kwa kila kiongozi kuropoka, SGR kila kiongozi kasema tarehe yake ya kuanza kufanya kazi! Sukari kila kiongozi ametoa sababu zake! Kukatika kwa umeme kila kiongozi ametoa sababu na mwisho wa kukatika umeme.
Tukubaliane CCM kupitia Nape walimtukana na kumkejeri Lowasa na wakatumia kifo chake kujisafisha.
Kwahiyo nyie ni CCM B?
 
Hii point yako ndio wanayohitaji kuiona wengi walio madarakani, lengo kubwa ni kuleta sintofahamu then mtu akasirike ajikute anachagua mtu kwa kukasirika, baada ya uchaguzi, nyie mliotofautiana mnaanza kuongea lugha moja dhidi ya ya mliowachagua wenyewe, mtawajasdiri kwa miaka 4 kabla ya uchaguzi mwingine.
Wao hujitahidi sana kuwa wamoja wakati wa kuelekea uchaguzi ili kutuvuruga sisi. Sisi huwa hatuwezi kushikiria kero zinazotukabiri kwa miaka 4 ili zitusaidie kufanya maamuzi mazuri wakati wa uchaguzi.
Wapiga kura, hebu tukaeni chini tujitasmini huwa tunakwama wapi wakati muhimu wa kufanya maamuzi sahihi.
Maamuzi ya kura wanayo CCM na dola, hatujapiga kura wao tayari wamekwisha panga idadi ya kura za ushindi, kura yako siyo haki yako.
 
usiwalaumu waislamu wengi elimu na dini ndio imewaweka upofu wa ufikiri.
Kwahiyo hadi leo bado umekaririshwa kuwa waislam hawajasoma...?
Chuki Chuki Chuki ni hatari kwa afya yako.

DINI TUMELETEWA, SIYO ZAKWETU NI ZA KWAO, WASITUCHONGANISHE. AMKA AMKA.
 
CHADEMA ni chama kilichokosa mwelekeo. Huyo Lema ni kama vile ana agenda ya siri kukiharibia chama chake kwa kauli zake za kishenzi dhidi ya makundi mbalimbali kwenye jamii. Bodaboda, kina mama na waislamu ni wahanga wa kauli za kuudhi za Lema. Ndugu THE BIG SHOW usijali.. hiki chama cha Mbowe tutakiadhibu kwenye sanduku la kura.
Unanuka udini mshenzi wewe pamoja na dada yako Fayza Foxy
 
Nashukuru Mkuu Kwa pole yako,

Chadema hawajawahi kuonesha Rangi Yao halisi kwetu waislam,wako kwetu kimachale machale na kutaka kucheza na hisia zetu,they are trying to be emotional to us,hizo ni siasa za kifa.la sana wanafanya...

Wafanye siasa, wapinzani wao ni CCM,waache kabisa kututaja taja waislam Wala Uislam wapuuz wakubwa hao.
Tangu lini wewe kenge ukawa muislam?
 
Alichosema Lema kina ukweli, Proff Asad, Zito Kabwe and the like ni taswira halisi ya alichosema akili kubwa Lema. Wakati wa JPM hawa walikuwa Mwiba ila sasa kwakuwa aliyepo wanaendana kiimani huwaskii hao wachumia tumbo. Kwa mantiki hiyo usemi wa Lema ni sahihi 100%
Wamepigwa gundi midomoni maana kama ni kisu nimeingia kwenye ini.
 
Nashukuru Mkuu Kwa pole yako,

Chadema hawajawahi kuonesha Rangi Yao halisi kwetu waislam,wako kwetu kimachale machale na kutaka kucheza na hisia zetu,they are trying to be emotional to us,hizo ni siasa za kifa.la sana wanafanya...

Wafanye siasa, wapinzani wao ni CCM,waache kabisa kututaja taja waislam Wala Uislam wapuuz wakubwa hao.
Usilam kwako ni special kuliko utaifa wako?Puuzi kabisa.Sukari,maji au umeme vinaangalia dini ya mtu?
 
Endelea kumuabudu huyo mropokwaji wenu, nyumbu jike wewe.
 
Kwenye sanduku la kura huwa hawana upofu. Dawa yenu inachemkwWa
Lazima umtetee mchagga mwenzio/mkristo mwenzio, sasa ndio mmeyakoroga na kama ulikua hujui population ya waislamu ndani ya Tanzania na Zanzibar kwa ujumla basi mtaendelea kufelu na kupigiana ninyi kwa ninyi wa imani yenu na kabila lenu huko kaskazini, isipokua waislamu tu!

Hata wasukuma wenyewe wanajitambua hawawezi kukipigia chama chenu cha udini na ukabila.
Shule zinawashinda pumbavu nyie mnasoma shule za wakristo, kazi yenu kuchamba hovyo mnatusababishia uhaba wa maji....
 
Shule zinawashinda pumbavu nyie mnasoma shule za wakristo, kazi yenu kuchamba hovyo mnatusababishia uhaba wa maji....
Wewe mwanangu wa kambo kwanini unanitukana mimi baba yako? Hasira zangu atakutana nazo mama yako leo kitandani.
 
Shule zinawashinda pumbavu nyie mnasoma shule za wakristo, kazi yenu kuchamba hovyo mnatusababishia uhaba wa maji....

Lema anawaponza, na wenzake wenye elements za udini na ukabila wanawaponza.

This time mtaambulia SIFURI
 
Back
Top Bottom