kambiko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 356
- 308
Ongea Kiarabu we Shoga Wa DubaiSo,what the hell are you trying to say...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea Kiarabu we Shoga Wa DubaiSo,what the hell are you trying to say...
Ni Mstari Gani Katika Biblia Unaoujua Unafundisha Kuoana Wanaume kwa Wanaume.Eti eeh,and how about hiyo ya kuambiwa muingie KWENYE Sodomy wenyewe Kwa wenyewe??
Sounds good??teh teh teh...
We utakuwa naelimu ndogo sana unashinda madrasa tuu, kanisa lisitoe ujinga kwakujenga shule bora,lisijenge hospitali zinazosaidia hata waislamu? Kwamba ni ubaguzi? Ninyi mnafanya Nini kwajamii??Anapaswa kuwaambia pia wakatoliki wenzie nao waache udini kwenye maisha ya Kila siku pamoja na ndugu zake wa kaskazini nao waache ukabila.
Udini nchi hii umeanzia kanisani na bahati nzuri mmefanikiwa kweli kiasi cha kuiaminisha jamii mambo mengi sana.
Wote ni watanzania, lakini kanisa ndio taasisi iliyoanza kuanzisha shule zake za kidini, mahospitali yake yakidini, nk. Na hata Rais wa awamu ya nne alipoamua kuzinyima ruzuku na kutaka kuboresha hospitali za mikoa na kuzipa hizo ruzuku aliingia kwenye ugomvi mkubwa sana.
Hivi unajua sababu ya kuanzishwa kwa shule na hospital za kanisa 🤔🤔 ushahidi wa kuthibitisha kwamba wakristo ni wana udini uko wapi 🤔🤔 unakurupuka tuu huko unakuja kuandika pumba ambazo hazifai kuliwa hata na ngurue 😡 taka taka kabisaAnapaswa kuwaambia pia wakatoliki wenzie nao waache udini kwenye maisha ya Kila siku pamoja na ndugu zake wa kaskazini nao waache ukabila.
Udini nchi hii umeanzia kanisani na bahati nzuri mmefanikiwa kweli kiasi cha kuiaminisha jamii mambo mengi sana.
Wote ni watanzania, lakini kanisa ndio taasisi iliyoanza kuanzisha shule zake za kidini, mahospitali yake yakidini, nk. Na hata Rais wa awamu ya nne alipoamua kuzinyima ruzuku na kutaka kuboresha hospitali za mikoa na kuzipa hizo ruzuku aliingia kwenye ugomvi mkubwa sana.
Usimtishe nwenye akili kuliko wewe.Pumzi inakupa kibri, umauti ukikufika ndio utaongea vizuri
Nasema hivi, tunza hiki nilichoandika hapa, kisha hiyo siku tukutane huko ulipoaminishwa hicho kitabu chako kitakuwa Kinga dhidi yetu tusioamini hayo mavitabu yenu. Au unadhani ukiandika kwa kiarabu ndio nitatishika? Kama umeamua kuamini, acha sisi tuliomua kufikiri tuseme hakuna kiongozi anapingwa kwa kuwa ni hayo madini ya kutungwa.
Usimtishe nwenye akili kuliko wewe.
Sasa hizo dini zilizoletwa Na Majahazi Zitamsaidia Nini Akishakufa
Huu sasa umeuleta kwenye njia yake maana uchotaka ni ligi ya kidiniYes ofcoz we are very special...
Uislam ni dini pekee ambayo hakuna yoyote mwenye kuamrisha chochote na tukatii isipokuwa Allah pekee na Mtume wake Muhammad Rehma na Amani ziwe juu yake.
Tuje kwenu Sasa makafiri,mzungu mmoja zee zee hivi limelewa zake wanzuki wa kiitaliano huko anakuja kuwapa amri nyote muwe mashoga na wote mnatiii unaionaje hiyo muimba kwaya.
Tutakuwa kunanuka kama danguroDini yenyewe ndo hii ya kudanganya vijana wetu eti Kuna ngono kule mbinguni!! Upuuzi mtupu
Hii kauli ni Mujarab TUSIMCHAGUE MTU KWA DINI,KABILA,JINSIA,na TABAKA.Kauli ya Lema kwenye mkutano wake wa hadhara alivyosema kwamba eti sisi waislam tusiingie kwenye mtego wa kumchagua MTU au chama eti kisa tuh kiongozi alieopo madarakani ni muislam
We utakuwa naelimu ndogo sana unashinda madrasa tuu, kanisa lisitoe ujinga kwakujenga shule bora,lisijenge hospitali zinazosaidia hata waislamu? Kwamba ni ubaguzi? Ninyi mnafanya Nini kwajamii??
Sisi tunatakaCHADEMA ni chama kilichokosa mwelekeo. Huyo Lema ni kama vile ana agenda ya siri kukiharibia chama chake kwa kauli zake za kishenzi dhidi ya makundi mbalimbali kwenye jamii. Bodaboda, kina mama na waislamu ni wahanga wa kauli za kuudhi za Lema. Ndugu THE BIG SHOW usijali.. hiki chama cha Mbowe tutakiadhibu kwenye sanduku la kura.
Acha kulia lia hapa JF. Hakuna babako hapa.Sisi tunataka
Maji
Umeme
Sukari
Ajira
Nyinyi wapuuzi mnatuingiza kwenye hoja za kipuuzi za udini. Dini ni nini kama siyo ukoloni? Jibuni hoja za watu. Wewe ukiona neno chadema kinyeleo kina kupwita. Mbona husemi kuhusu kupanda kwa gharama za maisha huku mitaani? Yamepanda kwa sababu ya dini??
Nimenukuu huyo muongo ibilisi shetani aliyeandila kuwa Malasusa kagoma kutumika kisiasa.Kwahiyo mlitaka asapoti agenda za CHADEMA kwa lazima? Tulieni dawa iwaingie