CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

Sijaona tatizo Kwa kauli ya Lema!!

Tusichague mtu kutokana na Dini yake kuwa muislam au mkristo Bali kutokana na uwezo was kiuongozi na kutatua changamoto za wananchi!!

Udini ni ujinga uliokita mizizi kwa watz wengi sana na haujawahi kutatua changamoto za umaskini na maendeleo Kwa jamii,zaidi ya kutugawa makundi na chokochoko kibao!!
Why now,and why kila akiwa kiongozi muislam chadema wanakuja na Agenda hii ya udini?
 
Alichosema Lema kina ukweli, Proff Asad, Zito Kabwe and the like ni taswira halisi ya alichosema akili kubwa Lema. Wakati wa JPM hawa walikuwa Mwiba ila sasa kwakuwa aliyepo wanaendana kiimani huwaskii hao wachumia tumbo. Kwa mantiki hiyo usemi wa Lema ni sahihi 100%
Tundu lisu aliekawa mwiba Kwa magufuli nayeye ni ndugu zake kina zitto na Assad?

Acha kumfananisha Samia na vitu vya ajabu wewe,Leo unaandamana na askari wa kukulinda unapewa basi unajiona mwaamba?herooo kumbe nguchiro tuh
 
Hata wewe mwenyewe ukijiuliza ulichomkosoa Lema ni kipi hukijui. Lema kasema Wazi Arusha kuna viongozi wa dini wanawashawishi waumini wao kwenye nyumba za ibada kuunga mkono kiongozi Fulani sababu ni dini moja na wao. Akasema hii siyo nzuri, akatolea na mfano wa yeye mwenyewe Mkristo akiwa Mbunge alivyowatete Mashehe bungeni bila kujali utofauti wa dini. Haya tuambie wapi kakashifu uislamu Kwa maneno hayo?
Lema anasahau waasisi wa siasa hizo za kupita makanisani uchaguz wa 2010 kikwete vs padre mzinz wilbroad slaa ni wao...

Lema na chadema waache u.fa.la...na kama wanatafuta bwana wa bure kwetu waislam hawawezi kupata,labda waende Vatican Kwa PAPA...
 
Yes ofcoz we are very special...

Uislam ni dini pekee ambayo hakuna yoyote mwenye kuamrisha chochote na tukatii isipokuwa Allah pekee na Mtume wake Muhammad Rehma na Amani ziwe juu yake.

Tuje kwenu Sasa makafiri,mzungu mmoja zee zee hivi limelewa zake wanzuki wa kiitaliano huko anakuja kuwapa amri nyote muwe mashoga na wote mnatiii unaionaje hiyo muimba kwaya.
Hakuna uislam wa aina moja popote pale duniani. Uislam wa Ulaya usiufananishe na uislam wa Uarabuni auwa Afrika. Pia Uislam wa Iran usiufananishe a Uislam mwingine. Story za Uislam ni mmoja utazikuta kwenye vijiwe vya Afrika pekee.
Kilichoi sambaratisha Yemen ni uislam upi utawale pale
 
Hata kanisa la KKKT majuzi lilishambuliwa sana na CHADEMA kisa hawamtaki Askofu mkuu Malasusa ambaye kagoma kutumika kisiasa kama mtangulizi wake Askofu Shoo. Huyu Askofu Shoo alinunuliwa V8 la kifahari na kina Mbowe.
Eti "Askofu mkuu Malasusa ambaye kagoma kutumika kisiasa...", binadamu mwenye akili timamu kuwa muongo ni ushetani.

Malasusa ana mpaka kadi ya CCM, na amekuwa akitumiwa kisiasa kwa ajili ya CCM, ninamfahamu vyema sana.
 
Eti "Askofu mkuu Malasusa ambaye kagoma kutumika kisiasa...", binadamu mwenye akili timamu kuwa muongo ni ushetani.

Malasusa ana mpaka kadi ya CCM, na amekuwa akitumiwa kisiasa kwa ajili ya CCM, ninamfahamu vyema sana.
Kwahiyo mlitaka asapoti agenda za CHADEMA kwa lazima? Tulieni dawa iwaingie
 
Sijui huo uislam wenu au ukristo wenu huwa unawapa faida gani maisha haya.
Kutwa mmekumbatia mitego ya dini ,kujishuku shuku , kuitafutizia vikauli vya kuonekana upande flan unabaguliwa, ya nini yote haya maujinga ujinga yenu nyie mafala.
Fu*ck dini zoote. Ujinga tu na upumbavu
Sio kila wanapotajwa waislamu/wakristo basi moja kwa moja kunahusishwa dini.
 
List hii hapa...

James delicious, Noel,Dayon huyu kafikia hadi hatua ya kijibadili jinsia na kuweka uke, Aggrey na kadhalika... waislam hao eeeh?? kafiri wewe...
Utakuwa ni mtoto wa juzi wewe mvaa kobazi usiye jielewa! Mashoga wote waanzilishi wa huo mchezo ni ndugu zako. Tena enzi hizo walikuwa wanajiita Ma anti! Mfano kulikuwa naAnti Ali, Anti Athumani, Anti Bilal alifikia mpaka hatua ya kujitangaza hadharani kupitia Clouds Tv! Afande Rama naye alifikia mpaka hatua ya kujirekodi na watu kujionea mauza uza!

UKienda Zanzibar, Tanga Mjini, Dar, Mombasa, na Pwani yote ya Afrika ya Mashariki; kila shoga unayekutana naye lazima awe ni ndugu yako katika imaan! Halafu unasema nini hapa!
 
Waislamu wapo wapi tanzania ?....tanzania hakuna muislamu hata mmoja na kama jupo nitajie ni nani? Tanzania kuna WAISIHARAMU TU.
Pia waisiharamu ndiyo wanatuharibia jchi kila wapatapo uongozi... hadi sasa samia kaanza kuwaondoa maofisini baada ya kumkwamisha na kuirudisha nchi shimoni alipo tutoa shujaa na mzalendo mtukufu JPM
Kwa Dharau hizi halafu nchi iwe chini ya Chadema?
Hekma hamna anyway mtavuna mnachokipanda subirini.
 
Waislamu wapo wapi tanzania ?....tanzania hakuna muislamu hata mmoja na kama jupo nitajie ni nani? Tanzania kuna WAISIHARAMU TU.
Pia waisiharamu ndiyo wanatuharibia jchi kila wapatapo uongozi... hadi sasa samia kaanza kuwaondoa maofisini baada ya kumkwamisha na kuirudisha nchi shimoni alipo tutoa shujaa na mzalendo mtukufu JPM
Hiyo unasema wewe kafiri,

Uislam unaunganishwa na kalima ya Laa illah Illa Allah, Muhammad Rasuul Allah ..

Hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo na kwamba Muhammad ni Mtume wake...
 
Back
Top Bottom