stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Hayo ni mawazo yako ingekuwa Bora ungeheshimu yangu pia
mawazo uchwara yanaheshimiwa vp sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yako ingekuwa Bora ungeheshimu yangu pia
Lissu ni Rais.Lissu anashinda Kwa kishindo kikubwa.
Kwa iyo kumbe unakiri CCM mmeshindwa kuwateketeza maadui wakati ujinga, maradhi na umasikini??? Safi sana!!Laiti ungeomba CHADEMA ikiingia madarakani ishughilikie mageuzi ya kiuchumi ili kutokomeza maadui watatu (umaskini, maradhi na ujinga) maombi yako yangesikilizwa.
Kwakuwa hamjui hao ndio maadui wakubwa wa Watanzania, usingeomba uhuru wakati ni uhuru na haki waliyo nayo wataenda kupiga kura. Uhuru na haki waliyo nayo wagombea ndio wanatumia kufanya kampeni. Uhuru na haki uliyo nayo ndio umetumia kuleta bandiko hilo.
Unajitambua kweli kushabikia CHADEMA chenye viongozi wenye kila sifa ya uovu, ili wakabidhiwe nchi?
Habari ya Tanzania sasaivi ni Uhuru, haki ná Maendeleo ya watu
A very good job ya kusababisha umasikini kwa wakulima kuwakataza kuuza mazao yao sehemu wanazotaka huku nyie mkienda kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato kwa kodi za watanzania ??
Asante Baba🙏🙏🙏Lissu ni Rais.
Wewe hujui sera ya Chadema mwaka huu??mmebadilisha tena? sema we jamaa unajitolea sana kwa chadema! inafaa uwe recognized na cheo hapo ufipa maaana umekua mstari wa mbele sana kwenye ishue znahusiana na chadema ingawa znakuaga pumba
Hapana ni Tanzania ila hapakuwa na haja ya kuweka uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa!!kwan chato ni congo ama
Wewe hujui sera ya Chadema mwaka huu??
😂😂😂😂😂 Mkuu mie sitaki cheo wala nafasi Chadema hata Lissu akiwa Raisi. Natumia karama aliyonibarikia Mungu katika kusimamia ukweli na haki tu.
Tanzania yenye maendeleo ya kweli ya watu na vitu inawezekana endapo tutakuwa na mtu sahihi kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Na dhamira yangu inaamini Lissu ni mtu sahihi tuliyenae kwenye uchaguzi huu!!
Hapana ni Tanzania ila hapakuwa na haja ya kuweka uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa!!
Hapana ni Tanzania ila hapakuwa na haja ya kuweka uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa!!
Tumeshafika, adui Yuko mbendembende anamtegemea Diamond na Zuchu ndio watu wasogee Kwa dakika chache kwenye mikutano yake.Ilibaki Tume Tu nayo tunaikusanyia ushahidi. Kama alivyotabiri Polepole CCM ni wepesi kama ubua
Hahahaha hapana comrade. Nipo sehemu sahihi kabisa. CCM inatakiwa kubadirika sana na haiwezi kubadirika bila kuwekwa pembeni angalau hata miaka 5-10.we jamaa una msimamo sana . sema sehem ulipoweka msimamo wako sio kabisa
Mcopy na polepole.sawa basi tusubiri tuone huo ubua
Kwa nini uwanja wa ndege usingekuwa Katoro?? Au hata Biharamuro??? Ambako sehemu kubwa ya mbuga iko maeneo hayo??kwan hujui kuna mbuga ya wanyama imeanzishwa chato? unadhan watenda na nn watalii?
Huyu hata kuandika hajui bado anajifanya mwandishi wa habari mpotezee tuuKajifunze Kiswahili.