Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Ni kweli Magufuli Ni Simba -mbuzi, Ni 'walamba miguu' tu akina polepole bado hawajafumbua macho kumtazama huyo mbuzi.
 
Mungu wa Israeli amesikia kilio cha Watanzania cha miaka mingi.

Mungu wa Israel ameona mateso ya watu wake na sasa ameshuka mwenyewe kuja kutukomboa.

Mungu kampiga upofu wa fikra na ufahamu adui. Nguvu na manlaka yao siyo kitu tena. Havina msaada kwao. Haviwezi kuwaokoa na anguko kuu la kushindwa.

CHADEMA na Tundu Lissu ni zana tu za ukombozi wa nchi hii anazotumia Mungu. Lakini ukweli ni kuwa yeye mwenyewe Kristo simba wa Yuda yuko kazini anaokoa!

Adui ameshaona na amenusa kushindwa kwake. Yuko so desparate.

CCM na Magufuli ni kama simba aungurumae kumtafuta yeyote aliyekaa kihasara na mwenye hofu ili amle.

Lakini kiukweli ni kuwa, CCM na Magufuli wala siyo simba bali wanaigiza usimba.

Kama hujagundua kuwa unachosikia sio sauti ya simba, bali ni ya kumuigiza simba, basi unaweza kuanza kutimua mbio kumkimbia simba - mbuzi.

Sisi tuko serikalini. Ni wazalendo katika kambi ya adui. Tunawahakikishia kuwa adui kwa ndani ameshakwisha habari yake. Mnavyomwona kwa nje ni fabrication tu, MSIOGOPE. Songeni mbele!

Mungu yuko pamoja nanyi. Sisi huku tunawapa habari zote kwa kadiri tunavyozipata na zilivyo. Tu wadogo sana, lakini tunajua kila kitu.

Mna siku zisizozidi 23 kuanzia leo ku - revisit mikakati yenu ya ushindi. Nawahakikishia tena robo tatu (3/4) ya machinery za kidola zinawaunga mkono tukiwemo 99% ya watumishi wa umma.

Tuko upande wenu. Nasi tunahitaji kuwa huru. Tuko tayari kusaidia kumwangusha Farao wa Misri iwe kwa kutaka ama bila kutàka.

Mpango mzima uko kwenye vituo vya kupigia kura. Angazieni uko. Mikakati na nguvu zote zielekezwe huko. Ishu haiko kwenye kampeni na nyomi.

Tundu Lissu hata asipofanya kampeni, anashinda unless mshindwe kuweka mikakati thabiti kwenye vituo vya kupigia kura.

Njooni na mkakati wa kudhibiti kura za kila kituo cha kupigia kura ili kuhakikisha kuwa kura zinakuwa halisi zilezile zilizopigwa.

Hakikisheni mnaweka mawakala kila kituo, wanaapishwa kwa wakati, wanaingia vituoni na wanapata nakala ya matokeo kwa kila kituo cha kupigia kura.

Msifikiri sana kuhusu fedha kwa sababu fedha haiwezi na haijawahi kufanya kila kitu kwa mwanadamu.

Tazameni, wao wana fedha nyingi kuliko maelezo. Lakini mbona haziwapatii upendo na kila kitu wanachokihitaji? Fedha kwao imeleta uhasama na mgawanyiko kuliko kufikia lengo lao.

Wekezeni kwenye kile watu wanachohitaji. Watu wako tayari kwenda kwenye vituo kuwa mawakala wenu hata bila malipo ili mradi waufikie ukombozi wao.

Watu wamechoka. Watu hawako huru. Watu wamefungwa na wako gerezani. Watu wanahitaji kufunguliwa.

Mungu mwenyewe yuko kazini kujibu kilio cha watu.

Pokeeni heshima hii ya pekee aliyowapa Mungu kupitia mja wake Tundu Lissu ili kuwatoa watu wake kwenye utumwa wa Misri wa zaidi ya miaka 57.

Hili ndilo jukumu alilopewa Tundu Lissu.

Mkuu heshima kwako. Nakazia kwa kupigia mstari:

"Tundu Lissu hata asipofanya kampeni, anashinda unless mshindwe kuweka mikakati thabiti kwenye vituo vya kupigia kura."

"Njooni na mkakati wa kudhibiti kura za kila kituo cha kupigia kura ili kuhakikisha kuwa kura zinakuwa halisi zilezile zilizopigwa."
 
Kwa nini uwanja wa ndege usingekuwa Katoro?? Au hata Biharamuro??? Ambako sehemu kubwa ya mbuga iko maeneo hayo??

na kwanini pia usiwepo chato? kwann unawatenga watu wa chato? because ndo katokea magu uko ama? si ni wananchi pia na wanahitaji biashara zichangamke pia apo chato
 
Huyo kibaraka wa mabeberu akishinda mi nahama nchi
Jamani jamani sasa nimemuelewa aliyesema: wengine wanaenda shule kusoma ujinga. Huyu binti akiandika tu akapost ukasoma utajua alikwenda kusoma ujinga. Hii mwanzo ilikuwa balaa. Kuna mtu kamsaidia kuedit. Ahsante Yarabi!
 
Tumeshafika, adui Yuko mbendembende anamtegemea Diamond na Zuchu ndio watu wasogee Kwa dakika chache kwenye mikutano yake.Ilibaki Tume Tu nayo tunaikusanyia ushahidi. Kama alivyotabiri Polepole CCM ni wepesi kama ubua
Wapo kwenye 18 kwa zaidi ya 100%
 

Attachments

  • VID-20201005-WA0006.mp4
    2.6 MB
Hahahaha hapana comrade. Nipo sehemu sahihi kabisa. CCM inatakiwa kubadirika sana na haiwezi kubadirika bila kuwekwa pembeni angalau hata miaka 5-10.

huo mda ulikua 2015, nadhan kama watu ni kuichoka ccm waliichoka kweli, lile vibe la kujiandikisha sio poa, upinzani ni muhimu sana ila mnachofanya kwa watanzania sio poa kabisa! yaani mlivoanza tu kusema sjui tule izo barabara, sjui tule ndege! wacha ninyamaze tu, kwanza nmefurahi sana hii flyover imekuja apa ubungo, sio kwa kusubiri kule aisee alafu mnakuja kusema kweli hazina kazi, mnachofanyia watanzania sio poa kabisa, bora mngekazia ajira, nyongeza ya mshahara na mengine mengi ambayo yalikua kero alafu muongee kwa kushawishi watu sasa sio mnapsha watu, watu wana shida nyingi kwenye haya maisha vita za mtu binafsi na mtu mwingine kiukweli tunampa pole lakini hata mm nna matatizo yangu binafsi pia sipo tayar kuskiliza matatizo mengine, but npo tayar kuskiliza utatuzi
 
"Sisi tuko serikalini. Ni wazalendo katika kambi ya adui. Tunawahakikishia kuwa adui kwa ndani ameshakwisha habari yake. Mnavyomwona kwa nje ni fabrication tu, MSIOGOPE. Songeni mbele!"

Hii kauli imenipa Faraja sana.
 
Buti lenyewe kalivaa lisu uzitowake ni kama kg2 hivi na ushee.
bonge la buti kama la jeje.
 
Hakika Bwana yule na wenzake wamelegea..na ishara ya awali ni uondoaji wa madiwani na wabunge ktk maeneo yao ya uchaguzi. Pili ni matamko ya Tume na Msajiri wa vyama..matamko yao ni kulilinda kundi lao lililokata tamaa. Siasa mfu ni kipimo cha anguko kuu.!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom