Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Moja ya mambo muhimu yaliyoanishwa, na kukubaliwa na vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki katika Uchaguzi Mkuu, 2020, katika MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343), ni

2.1 (f) kutumia vyombo vya habari vya umma kutangaza sera zao kwa kuzingatia Sheria ya Vyombo vyaHabari Sura ya 229, Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343, Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, na maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Vyombo hivyo vinaweza kutumiwa na Wagombea wa Urais na kugharamiwa na Serikali.

Je, una uhakika wagombea wamenyimwa fursa hiyo? Naamini hawavitumii vyombo hivyo kwa sababu wanazozijua wenyewe.
 
Wakina nani?
 
Hongera kwa chapisho zuri lenye upako. Binafsi Lissu nilimwelewa kitambo sana na kumchangia pale alipohitaji msaada. Wale wote waliomchangia kuanzia 2017 HD juzi tu kuwatoa Viongozi gerezani kura hizi HAZINA vikwazo
Kitendo cha kuitega Kamati Kuu ya Chama chake kufanya maamuzi, naye kukubali maamuzi ya Kamati kuu kimemuinua sana na kumuongezwa sifa zaidi. Ni dhahiri kaonyesha kwa vitendo yeye ni Mtii na msikifu, sifa kubwa sana hii.
 
Maradhi ,ujinga na umaskini vimeumbwa na CCM
 
Labda wewe na mkeo,mamako na babako
 
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.
Your English is just as poor as you are
 
Huwezi kufunga mjadala...

Mjadala unaendelea. Wewe ndiye lala maana "mnapendwa" lakini cha ajabu kutwa nzima, mnapiga propaganda ku neutralize mambo ...

sasa mjadala unaendelea aje wakati mna gap la kucover apo ndo mue na sauti, nyie hulka yenu ni ubishi wa konyagi always
 
Magufuli ni takataka hata mke wake na wanaye hawata mpigia kura. hata yeye mwenyewe a ajuwa ila linazimisha tu kwakuwa bado lina mamraka ya kutumia majeshi ila ukweli halina ujaja wala akili ya kutawala hata kijiji.
 
Ok.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…