Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Kwani wewe ndiye mpanga nani awe waziri mkuu, wa fedha au wa afya?

Pia wewe ndiyo mwenye vipimio kuona kama nchi inaenda sawa?

Mbona vichwa vyenu mnavitumia kwa kazi zisizo?

Ni matumizi mabovu kutumia kichwa kufagia nywele.

hilo hailiitaji maelezo ni wide open
 
Amini nakwambia CCM imechokwa kwelikweli. Hata unaowaona wako humo ni wale kwa maslahi binafsi ila sio kwa mapenzi ya itikadi kweli.
Nafikiri hujajua Kwa nini watanzania wamefikia hatua hata ya kusema hizo barabara si lolote si chochote!! Sababu kuu mnafanya hayo yote huku mkiumiza wengine tena wengi vibaya sana. Mbaya zaidi mnaumiza na kutesa wengi alafu ikitokea kitu kama fly-over mnakitangaza Kama mmefika mbinguni vile na hapo ndo watu wanafanya comparison na nchi nyingine ambapo Kuna nzuri na za kisasa zaidi ya hizi zenu na kuishia kuwakejeli.

Mbaya zaidi tena mnaharibu kwingine kama kwenye kilimo, biashara alafu mnataka bado msifiwe

hapo ndo mnahribu sana, mm ni mmoja wa watu tuliokerwa na foleni ubungo unakaa kwenye daladala mwezi mzima kuvuka tu upande wa pili, hatimae inabidi ushuke uchukue boda boda, sasa unavosema barabara sio lolote, tuishie tu apo
 
hapo ndo mnahribu sana, mm ni mmoja wa watu tuliokerwa na foleni ubungo unakaa kwenye daladala mwezi mzima kuvuka tu upande wa pili, hatimae inabidi ushuke uchukue boda boda, sasa unavosema barabara sio lolote, tuishie tu apo
Foleni ilikuwa inachosha ndio sasa kama mmejenga fly-over ndo mpige risasi watu na kubambikia makesi??? Ndo muharibu uchumi na kuua biashara??? Mmetengeneza taifa la wachuuzi tu huku mkiharibu walipa kodi genuine???

Kuna umaana gani wa hizo flyover sasa??
 
BAVICHA MLICHOBAKISHA NI KUJIFARIJI MBONA HAMJAINGIA BARARANI KAMA TL AMEONEWA HAHAHHA MLIKUWA MNATAMBA HUMU OOH WAMFUNGIE WAONE YAKO WAPI
Kama hujajua madhara ya kufungiwa kwa Tundu Lissu kufanya kampeni kwa Chama Chako na serikali yake basi wewe ni kilaza ulietukuka
 
Amini nakwambia CCM imechokwa kwelikweli. Hata unaowaona wako humo ni wale kwa maslahi binafsi ila sio kwa mapenzi ya itikadi kweli.
Nafikiri hujajua Kwa nini watanzania wamefikia hatua hata ya kusema hizo barabara si lolote si chochote!! Sababu kuu mnafanya hayo yote huku mkiumiza wengine tena wengi vibaya sana. Mbaya zaidi mnaumiza na kutesa wengi alafu ikitokea kitu kama fly-over mnakitangaza Kama mmefika mbinguni vile na hapo ndo watu wanafanya comparison na nchi nyingine ambapo Kuna nzuri na za kisasa zaidi ya hizi zenu na kuishia kuwakejeli.

Mbaya zaidi tena mnaharibu kwingine kama kwenye kilimo, biashara alafu mnataka bado msifiwe
Huku mitaani hali ni ngumu balaa ambae halioni Hilo basi Yuko meza kuu na ubaya WA meza kuu wanakaa wachache, wamama wanaungua na jua kutembeza vichana viwili vya ndizi na parachichi 10 kwenye jua halafu unawaambia ndege?,acheni dharau.
 
Laiti ungeomba CHADEMA ikiingia madarakani ishughilikie mageuzi ya kiuchumi ili kutokomeza maadui watatu (umaskini, maradhi na ujinga) maombi yako yangesikilizwa.

Kwakuwa hamjui hao ndio maadui wakubwa wa Watanzania, usingeomba uhuru wakati ni uhuru na haki waliyo nayo wataenda kupiga kura. Uhuru na haki waliyo nayo wagombea ndio wanatumia kufanya kampeni. Uhuru na haki uliyo nayo ndio umetumia kuleta bandiko hilo.

Unajitambua kweli kushabikia CHADEMA chenye viongozi wenye kila sifa ya uovu, ili wakabidhiwe nchi?
Yaani nyie mnaoshabikia CCM huwa mnaishi nje ya Tanzania au?

Hamuoni mabaya yote ya CCM au mmefumba macho kutetea matumbo yenu.
 
Nyie mnadhani CCM ni kama chama chenu kile kiongozi anaamka tu anawachangisha wabunge akiwa na kiu ya konyagi, kuitoa CCM madarakani ni vita kuu ambayo uchumi utaporomoka, watu watapoteza maisha, of which ni very un-nesseary, sasahivi CCM is doing a very good job na watu wanaiunga mkono 100 kwa 100
Wapi huko ccm inaungwa mkono 100%

Au nchi ya kusadikika, hebu zibueni hayo masikio na mfumbue macho hali si nzuri mtaani, CCM imeharibu safari hii
 
Mungu wa Israeli amesikia kilio cha Watanzania cha miaka mingi.

Mungu wa Israel ameona mateso ya watu wake na sasa ameshuka mwenyewe kuja kutukomboa.

Mungu kampiga upofu wa fikra na ufahamu adui. Nguvu na manlaka yao siyo kitu tena. Havina msaada kwao. Haviwezi kuwaokoa na anguko kuu la kushindwa.

CHADEMA na Tundu Lissu ni zana tu za ukombozi wa nchi hii anazotumia Mungu. Lakini ukweli ni kuwa yeye mwenyewe Kristo simba wa Yuda yuko kazini anaokoa!

Adui ameshaona na amenusa kushindwa kwake. Yuko so desparate.

CCM na Magufuli ni kama simba aungurumae kumtafuta yeyote aliyekaa kihasara na mwenye hofu ili amle.

Lakini kiukweli ni kuwa, CCM na Magufuli wala siyo simba bali wanaigiza usimba.

Kama hujagundua kuwa unachosikia sio sauti ya simba, bali ni ya kumuigiza simba, basi unaweza kuanza kutimua mbio kumkimbia simba - mbuzi.

Sisi tuko serikalini. Ni wazalendo katika kambi ya adui. Tunawahakikishia kuwa adui kwa ndani ameshakwisha habari yake. Mnavyomwona kwa nje ni fabrication tu, MSIOGOPE. Songeni mbele!

Mungu yuko pamoja nanyi. Sisi huku tunawapa habari zote kwa kadiri tunavyozipata na zilivyo. Tu wadogo sana, lakini tunajua kila kitu.

Mna siku zisizozidi 23 kuanzia leo ku - revisit mikakati yenu ya ushindi. Nawahakikishia tena robo tatu (3/4) ya machinery za kidola zinawaunga mkono tukiwemo 99% ya watumishi wa umma.

Tuko upande wenu. Nasi tunahitaji kuwa huru. Tuko tayari kusaidia kumwangusha Farao wa Misri iwe kwa kutaka ama bila kutàka.

Mpango mzima uko kwenye vituo vya kupigia kura. Angazieni uko. Mikakati na nguvu zote zielekezwe huko. Ishu haiko kwenye kampeni na nyomi.

Tundu Lissu hata asipofanya kampeni, anashinda unless mshindwe kuweka mikakati thabiti kwenye vituo vya kupigia kura.

Njooni na mkakati wa kudhibiti kura za kila kituo cha kupigia kura ili kuhakikisha kuwa kura zinakuwa halisi zilezile zilizopigwa.

Hakikisheni mnaweka mawakala kila kituo, wanaapishwa kwa wakati, wanaingia vituoni na wanapata nakala ya matokeo kwa kila kituo cha kupigia kura.

Msifikiri sana kuhusu fedha kwa sababu fedha haiwezi na haijawahi kufanya kila kitu kwa mwanadamu.

Tazameni, wao wana fedha nyingi kuliko maelezo. Lakini mbona haziwapatii upendo na kila kitu wanachokihitaji? Fedha kwao imeleta uhasama na mgawanyiko kuliko kufikia lengo lao.

Wekezeni kwenye kile watu wanachohitaji. Watu wako tayari kwenda kwenye vituo kuwa mawakala wenu hata bila malipo ili mradi waufikie ukombozi wao.

Watu wamechoka. Watu hawako huru. Watu wamefungwa na wako gerezani. Watu wanahitaji kufunguliwa.

Mungu mwenyewe yuko kazini kujibu kilio cha watu.

Pokeeni heshima hii ya pekee aliyowapa Mungu kupitia mja wake Tundu Lissu ili kuwatoa watu wake kwenye utumwa wa Misri wa zaidi ya miaka 57.

Hili ndilo jukumu alilopewa Tundu Lissu.
Chadema wakitoa tangazo la lazi ya uwakala watapata nyomi Kama la Wasimimizi wa NeC leo ubungo
 
mmebadilisha tena? sema we jamaa unajitolea sana kwa chadema! inafaa uwe recognized na cheo hapo ufipa maaana umekua mstari wa mbele sana kwenye ishue znahusiana na chadema ingawa znakuaga pumba
Kama wewe ulivo na mafisiem wenzako
Madiluu
 
We madiluu Acha ujinga wako kwa nini upeleke wanyama huko? ?Paruaneni mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza nikirudi nikute hali shwari Jitahidini mparuane vzr
kwan hujui kuna mbuga ya wanyama imeanzishwa chato? unadhan watenda na nn watalii?
 
Ubua una uzito kdg wepesi kama karatasi au pamba
Tumeshafika, adui Yuko mbendembende anamtegemea Diamond na Zuchu ndio watu wasogee Kwa dakika chache kwenye mikutano yake.Ilibaki Tume Tu nayo tunaikusanyia ushahidi. Kama alivyotabiri Polepole CCM ni wepesi kama ubua
 
We madiluu Acha ujinga wako TL angesema neno unafikir wangeshidwa kuingia? ?
Acha u pumbavu wako phd yenyewe umenunua
Mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza nikirudi nikute hali shwari Jitahidini mparuane vzr
BAVICHA MLICHOBAKISHA NI KUJIFARIJI MBONA HAMJAINGIA BARARANI KAMA TL AMEONEWA HAHAHHA MLIKUWA MNATAMBA HUMU OOH WAMFUNGIE WAONE YAKO WAPI
 
Umeandika vizuri sana,hasa upande wa watumishi wamesahaulika sana,MTU ana miaka saba 7 kazini hajawahi pandishwa daraja wala kuongezewa mshahara,watumishi wengi kwa kweli watampigia Lissu kura regardless of outcomes, We are tired of this dictatorship regime of Stone
 
Mungu wa Israeli amesikia kilio cha Watanzania cha miaka mingi.

Mungu wa Israel ameona mateso ya watu wake na sasa ameshuka mwenyewe kuja kutukomboa.

Mungu kampiga upofu wa fikra na ufahamu adui. Nguvu na manlaka yao siyo kitu tena. Havina msaada kwao. Haviwezi kuwaokoa na anguko kuu la kushindwa.

CHADEMA na Tundu Lissu ni zana tu za ukombozi wa nchi hii anazotumia Mungu. Lakini ukweli ni kuwa yeye mwenyewe Kristo simba wa Yuda yuko kazini anaokoa!

Adui ameshaona na amenusa kushindwa kwake. Yuko so desparate.

CCM na Magufuli ni kama simba aungurumae kumtafuta yeyote aliyekaa kihasara na mwenye hofu ili amle.

Lakini kiukweli ni kuwa, CCM na Magufuli wala siyo simba bali wanaigiza usimba.

Kama hujagundua kuwa unachosikia sio sauti ya simba, bali ni ya kumuigiza simba, basi unaweza kuanza kutimua mbio kumkimbia simba - mbuzi.

Sisi tuko serikalini. Ni wazalendo katika kambi ya adui. Tunawahakikishia kuwa adui kwa ndani ameshakwisha habari yake. Mnavyomwona kwa nje ni fabrication tu, MSIOGOPE. Songeni mbele!

Mungu yuko pamoja nanyi. Sisi huku tunawapa habari zote kwa kadiri tunavyozipata na zilivyo. Tu wadogo sana, lakini tunajua kila kitu.

Mna siku zisizozidi 23 kuanzia leo ku - revisit mikakati yenu ya ushindi. Nawahakikishia tena robo tatu (3/4) ya machinery za kidola zinawaunga mkono tukiwemo 99% ya watumishi wa umma.

Tuko upande wenu. Nasi tunahitaji kuwa huru. Tuko tayari kusaidia kumwangusha Farao wa Misri iwe kwa kutaka ama bila kutàka.

Mpango mzima uko kwenye vituo vya kupigia kura. Angazieni uko. Mikakati na nguvu zote zielekezwe huko. Ishu haiko kwenye kampeni na nyomi.

Tundu Lissu hata asipofanya kampeni, anashinda unless mshindwe kuweka mikakati thabiti kwenye vituo vya kupigia kura.

Njooni na mkakati wa kudhibiti kura za kila kituo cha kupigia kura ili kuhakikisha kuwa kura zinakuwa halisi zilezile zilizopigwa.

Hakikisheni mnaweka mawakala kila kituo, wanaapishwa kwa wakati, wanaingia vituoni na wanapata nakala ya matokeo kwa kila kituo cha kupigia kura.

Msifikiri sana kuhusu fedha kwa sababu fedha haiwezi na haijawahi kufanya kila kitu kwa mwanadamu.

Tazameni, wao wana fedha nyingi kuliko maelezo. Lakini mbona haziwapatii upendo na kila kitu wanachokihitaji? Fedha kwao imeleta uhasama na mgawanyiko kuliko kufikia lengo lao.

Wekezeni kwenye kile watu wanachohitaji. Watu wako tayari kwenda kwenye vituo kuwa mawakala wenu hata bila malipo ili mradi waufikie ukombozi wao.

Watu wamechoka. Watu hawako huru. Watu wamefungwa na wako gerezani. Watu wanahitaji kufunguliwa.

Mungu mwenyewe yuko kazini kujibu kilio cha watu.

Pokeeni heshima hii ya pekee aliyowapa Mungu kupitia mja wake Tundu Lissu ili kuwatoa watu wake kwenye utumwa wa Misri wa zaidi ya miaka 57.

Hili ndilo jukumu alilopewa Tundu Lissu.

Lissu anafanya siasa kwa level ya mbali sana
 
Huyo kibaraka wa mabeberu akishinda mi nahama nchi
Huna hata passport we sema utahama kutoka DSM unakoishi bila kazi isipokuwa ukuwadi na umbea na utarudi huko MTIMBWILIMBWI Kwa Bibi yako ukamsaidie kuendesha ungo wa usiku nyambafu
 
Kwa staili hii ya kuua watu, chadema wakaze na maka**** maana huyo Amsterdam atawadai pesa zake alizowapa kufanyia kampeni, halafu hawatopata ushindi hivyo ataenda kuwauza kwa wanaume zake wengine ili kulipa fedha hizo.
 

Attachments

  • Screenshot_2020-10-05-19-09-47-1.png
    Screenshot_2020-10-05-19-09-47-1.png
    43.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom