Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Unataka kusema kibaraka atashinda?
Atashinda japo mnaweza msimtangaze hadi mbinde.....ila atashinda and this time hata mkimtumia TB Joshua haitosaidia lazima uchaguzi urudiwe with tume huru kama Malawi....na ICC inawahusu
 
Mungu wa Israeli amesikia kilio cha Watanzania cha miaka mingi.

Mungu wa Israel ameona mateso ya watu wake na sasa ameshuka mwenyewe kuja kutukomboa.

Mungu kampiga upofu wa fikra na ufahamu adui. Nguvu na manlaka yao siyo kitu tena. Havina msaada kwao. Haviwezi kuwaokoa na anguko kuu la kushindwa.

CHADEMA na Tundu Lissu ni zana tu za ukombozi wa nchi hii anazotumia Mungu. Lakini ukweli ni kuwa yeye mwenyewe Kristo simba wa Yuda yuko kazini anaokoa!

Adui ameshaona na amenusa kushindwa kwake. Yuko so desparate.

CCM na Magufuli ni kama simba aungurumae kumtafuta yeyote aliyekaa kihasara na mwenye hofu ili amle.

Lakini kiukweli ni kuwa, CCM na Magufuli wala siyo simba bali wanaigiza usimba.

Kama hujagundua kuwa unachosikia sio sauti ya simba, bali ni ya kumuigiza simba, basi unaweza kuanza kutimua mbio kumkimbia simba - mbuzi.

Sisi tuko serikalini. Ni wazalendo katika kambi ya adui. Tunawahakikishia kuwa adui kwa ndani ameshakwisha habari yake. Mnavyomwona kwa nje ni fabrication tu, MSIOGOPE. Songeni mbele!

Mungu yuko pamoja nanyi. Sisi huku tunawapa habari zote kwa kadiri tunavyozipata na zilivyo. Tu wadogo sana, lakini tunajua kila kitu.

Mna siku zisizozidi 23 kuanzia leo ku - revisit mikakati yenu ya ushindi. Nawahakikishia tena robo tatu (3/4) ya machinery za kidola zinawaunga mkono tukiwemo 99% ya watumishi wa umma.

Tuko upande wenu. Nasi tunahitaji kuwa huru. Tuko tayari kusaidia kumwangusha Farao wa Misri iwe kwa kutaka ama bila kutàka.

Mpango mzima uko kwenye vituo vya kupigia kura. Angazieni uko. Mikakati na nguvu zote zielekezwe huko. Ishu haiko kwenye kampeni na nyomi.

Tundu Lissu hata asipofanya kampeni, anashinda unless mshindwe kuweka mikakati thabiti kwenye vituo vya kupigia kura.

Njooni na mkakati wa kudhibiti kura za kila kituo cha kupigia kura ili kuhakikisha kuwa kura zinakuwa halisi zilezile zilizopigwa.

Hakikisheni mnaweka mawakala kila kituo, wanaapishwa kwa wakati, wanaingia vituoni na wanapata nakala ya matokeo kwa kila kituo cha kupigia kura.

Msifikiri sana kuhusu fedha kwa sababu fedha haiwezi na haijawahi kufanya kila kitu kwa mwanadamu.

Tazameni, wao wana fedha nyingi kuliko maelezo. Lakini mbona haziwapatii upendo na kila kitu wanachokihitaji? Fedha kwao imeleta uhasama na mgawanyiko kuliko kufikia lengo lao.

Wekezeni kwenye kile watu wanachohitaji. Watu wako tayari kwenda kwenye vituo kuwa mawakala wenu hata bila malipo ili mradi waufikie ukombozi wao.

Watu wamechoka. Watu hawako huru. Watu wamefungwa na wako gerezani. Watu wanahitaji kufunguliwa.

Mungu mwenyewe yuko kazini kujibu kilio cha watu.

Pokeeni heshima hii ya pekee aliyowapa Mungu kupitia mja wake Tundu Lissu ili kuwatoa watu wake kwenye utumwa wa Misri wa zaidi ya miaka 57.

Hili ndilo jukumu alilopewa Tundu Lissu.
100° uko sahihi
 
Laiti ungeomba CHADEMA ikiingia madarakani ishughilikie mageuzi ya kiuchumi ili kutokomeza maadui watatu (umaskini, maradhi na ujinga) maombi yako yangesikilizwa.

Kwakuwa hamjui hao ndio maadui wakubwa wa Watanzania, usingeomba uhuru wakati ni uhuru na haki waliyo nayo wataenda kupiga kura. Uhuru na haki waliyo nayo wagombea ndio wanatumia kufanya kampeni. Uhuru na haki uliyo nayo ndio umetumia kuleta bandiko hilo.

Unajitambua kweli kushabikia CHADEMA chenye viongozi wenye kila sifa ya uovu, ili wakabidhiwe nchi?

Vyema..

Lazima uwe na cha kuanza nacho...

Ndani nyumba yako mna nyoka. Huwezi kuanza kuwaza kuwasha jiko ili upike badala ya kumuua nyoka (adui) kwanza kisha mambo mengine yafuate.....

Huwezi kuanza kushughulika na maadui ujinga, maradhi na umasikini huku mifumo na njia zote za kushughulika na hayo imeshikwa na adui, CCM...

Kwanza fukuza au muue kabisa adui, kisha fikiri namna ya ku - repair kila kitu kilichoharibiwa na adui...!!
 
Laiti ungeomba CHADEMA ikiingia madarakani ishughilikie mageuzi ya kiuchumi ili kutokomeza maadui watatu (umaskini, maradhi na ujinga) maombi yako yangesikilizwa.

Kwakuwa hamjui hao ndio maadui wakubwa wa Watanzania, usingeomba uhuru wakati ni uhuru na haki waliyo nayo wataenda kupiga kura. Uhuru na haki waliyo nayo wagombea ndio wanatumia kufanya kampeni. Uhuru na haki uliyo nayo ndio umetumia kuleta bandiko hilo.

Unajitambua kweli kushabikia CHADEMA chenye viongozi wenye kila sifa ya uovu, ili wakabidhiwe nchi?

Kwa hiyo uhuru na haki waliyonayo ndiyo maana wagombea wao wameenguliwa, uhuru na haki waliyonayo ndiyo maana vyombo vya habari havimtangazi mgombea wao uhuru na haki waliyonayo ndiyo maana watu wanatoa maoni kwakutumia fekelo. Hivi kutoa maoni hapa kwa kutumia fekelo ndo uhuru na haki tunayotakiwa kujivunia. Kumbe wale wajinga kati ya maadui watatu mmoja wapo ni wewe.
 
Nyie mnadhani CCM ni kama chama chenu kile kiongozi anaamka tu anawachangisha wabunge akiwa na kiu ya konyagi, kuitoa CCM madarakani ni vita kuu ambayo uchumi utaporomoka, watu watapoteza maisha, of which ni very un-nesseary, sasahivi CCM is doing a very good job na watu wanaiunga mkono 100 kwa 100

Wewe ni shabiki kipofu wa fikra na akili na ufahamu wako...

Hujui lolote. Hufahamu chochote. Hakuna anayeweza kupenda mzoga ulio - oza na kunuka unless ulazimishwe kwa mtutu wa bunduki...

Labda naweza kukubaliana na wewe kitu kimoja katika haya uliyoandika...

Kwamba, kuitoa CCM madarakani, ili iachie dola ni purukushani, patashika na nguo kuchanika inayoambatana na vurumai na hata umwagaji damu na anguko kuu la kiuchumi....

That's very correct, I agree with you...

Hata ukombozi wa wana wa Israel toka Misri ilikuwa ni vita hatari yenye kila aina ya purukushani, patashika na nguo kuchanika ikiambatana na umwagaji damu....

Lakini mwisho wa siku, pigo moja na la mwisho lilimmaliza adui - Farao for good...!

Hata hawa CCM na Magufuli wao, watarusha mikono na miguu huku na huko na kujitumainisha kuwa bado wanapendwa, na kutumia wachawi na wanajimu wote, lakini mwisho wa siku watanyoosha maneno na kulazimishwa ku - surrender na hali halisi....

Mungu muumba akiwa kazini mwenyewe kuongoza vita kuokoa watu wake, KAMWE HAJAWAHI KUSHINDWA...!!
 
Wewe ni shabiki kipofu wa fikra na akili na ufahamu wako...

Hujui lolote. Hufahamu chochote. Hakuna anayeweza kupenda mzoga ulio - oza na kunuka unless ulazimishwe kwa mtutu wa bunduki...

Labda naweza kukubaliana na wewe kitu kimoja katika haya uliyoandika...

Kwamba, kuitoa CCM madarakani, ili iachie dola ni purukushani, patashika na nguo kuchanika inayoambatana na vurumai na hata umwagaji damu na anguko kuu la kiuchumi....

That's very correct, I agree with you...

Hata ukombozi wa wana wa Israel toka Misri ilikuwa ni vita hatari yenye kila aina ya purukushani, patashika na nguo kuchanika ikiambatana na umwagaji damu....

Lakini mwisho wa siku, pigo moja na la mwisho lilimmaliza adui - Farao for good...!

Hata hawa CCM na Magufuli wao, watarusha mikono na miguu huku na huko na kujitumainisha kuwa bado wanapendwa, na kutumia wachawi na wanajimu wote, lakini mwisho wa siku watanyoosha maneno na kulazimishwa ku - surrender na hali halisi....

Mungu muumba akiwa kazini mwenyewe kuongoza vita kuokoa watu wake, KAMWE HAJAWAHI KUSHINDWA...!!

uache kupoteza mda kuandika utumbo, usilazimishe chadema ionekane inapendwa wakati una uwezi kufanya research private! namjua mtu mmoja tu anaekubaliana na lissu mpaka sasa toka kampeni zmeanza na mtu mwenyewe hapigi kura maaana kahamishwa kikazi, wengine wote nnaowajua mm ni ccm, infact isiwe maneno mengi wacha nkuonyeshe numbers
1601918143168.png

nadhan mpaka apo tumefunga mjadala
 
We madiluu Acha ujinga wako kwa nini upeleke wanyama huko? ?Paruaneni mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza nikirudi nikute hali shwari Jitahidini mparuane vzr

hahha kwan huju mbuga ambayo ni heritage ni serengeti tu, zingine zilitengenezwa! si unajua tanzania ni ya tatu kwa mapato afrika ya watalii, si umeona faida yake sasa
 
Ila magufuli katuibiwa sana,uwanja wa ndege chato.barabara ya ubungo,tazara,reli na mifuko ya kijamii yote kaifilisi,vyama upinzani anaona maadui,ushauri ataki ila kuna watu watampa kura
 
Mungu wa Israeli amesikia kilio cha Watanzania cha miaka mingi.

Mungu wa Israel ameona mateso ya watu wake na sasa ameshuka mwenyewe kuja kutukomboa.

Mungu kampiga upofu wa fikra na ufahamu adui. Nguvu na manlaka yao siyo kitu tena. Havina msaada kwao. Haviwezi kuwaokoa na anguko kuu la kushindwa.

CHADEMA na Tundu Lissu ni zana tu za ukombozi wa nchi hii anazotumia Mungu. Lakini ukweli ni kuwa yeye mwenyewe Kristo simba wa Yuda yuko kazini anaokoa!

Adui ameshaona na amenusa kushindwa kwake. Yuko so desparate.

CCM na Magufuli ni kama simba aungurumae kumtafuta yeyote aliyekaa kihasara na mwenye hofu ili amle.

Lakini kiukweli ni kuwa, CCM na Magufuli wala siyo simba bali wanaigiza usimba.

Kama hujagundua kuwa unachosikia sio sauti ya simba, bali ni ya kumuigiza simba, basi unaweza kuanza kutimua mbio kumkimbia simba - mbuzi.

Sisi tuko serikalini. Ni wazalendo katika kambi ya adui. Tunawahakikishia kuwa adui kwa ndani ameshakwisha habari yake. Mnavyomwona kwa nje ni fabrication tu, MSIOGOPE. Songeni mbele!

Mungu yuko pamoja nanyi. Sisi huku tunawapa habari zote kwa kadiri tunavyozipata na zilivyo. Tu wadogo sana, lakini tunajua kila kitu.

Mna siku zisizozidi 23 kuanzia leo ku - revisit mikakati yenu ya ushindi. Nawahakikishia tena robo tatu (3/4) ya machinery za kidola zinawaunga mkono tukiwemo 99% ya watumishi wa umma.

Tuko upande wenu. Nasi tunahitaji kuwa huru. Tuko tayari kusaidia kumwangusha Farao wa Misri iwe kwa kutaka ama bila kutàka.

Mpango mzima uko kwenye vituo vya kupigia kura. Angazieni uko. Mikakati na nguvu zote zielekezwe huko. Ishu haiko kwenye kampeni na nyomi.

Tundu Lissu hata asipofanya kampeni, anashinda unless mshindwe kuweka mikakati thabiti kwenye vituo vya kupigia kura.

Njooni na mkakati wa kudhibiti kura za kila kituo cha kupigia kura ili kuhakikisha kuwa kura zinakuwa halisi zilezile zilizopigwa.

Hakikisheni mnaweka mawakala kila kituo, wanaapishwa kwa wakati, wanaingia vituoni na wanapata nakala ya matokeo kwa kila kituo cha kupigia kura.

Msifikiri sana kuhusu fedha kwa sababu fedha haiwezi na haijawahi kufanya kila kitu kwa mwanadamu.

Tazameni, wao wana fedha nyingi kuliko maelezo. Lakini mbona haziwapatii upendo na kila kitu wanachokihitaji? Fedha kwao imeleta uhasama na mgawanyiko kuliko kufikia lengo lao.

Wekezeni kwenye kile watu wanachohitaji. Watu wako tayari kwenda kwenye vituo kuwa mawakala wenu hata bila malipo ili mradi waufikie ukombozi wao.

Watu wamechoka. Watu hawako huru. Watu wamefungwa na wako gerezani. Watu wanahitaji kufunguliwa.

Mungu mwenyewe yuko kazini kujibu kilio cha watu.

Pokeeni heshima hii ya pekee aliyowapa Mungu kupitia mja wake Tundu Lissu ili kuwatoa watu wake kwenye utumwa wa Misri wa zaidi ya miaka 57.

Hili ndilo jukumu alilopewa Tundu Lissu.
Amina
IMG_20201005_094604.jpg
 
Kama wewe ulivo na mafisiem wenzako
Madiluu

ilani ya ccm imenyooka na magu akipanda jukwaani unajua kabisa anaenda kuelezea miundo mbinu hta usiposoma kitabu kizima unajua kabisa walibase kwenye miundo mbinu, na wanafanya ! sasa cdm mpaka leo hatuelewi mara kazi bata, mara uhuru utadhan bado tupo ukoloni mara akipanda jukwaani anashindana na maneno na watu, kwan hamna kitabu cha ilani cha kusoma?
 
Foleni ilikuwa inachosha ndio sasa kama mmejenga fly-over ndo mpige risasi watu na kubambikia makesi??? Ndo muharibu uchumi na kuua biashara??? Mmetengeneza taifa la wachuuzi tu huku mkiharibu walipa kodi genuine???

Kuna umaana gani wa hizo flyover sasa??

kama wewe una mda wa mabishano aisee tafuta njemba zingine, mm i am very happy kupata fly over!!!!!! haswa ukiwa unatoka sam mujoma ukiwa unaenda buguruni kama unapita hii route lazima ujue umuhimu wake, mabishano mengine tafuta njemba zingine
 
kama wewe una mda wa mabishano aisee tafuta njemba zingine, mm i am very happy kupata fly over!!!!!! haswa ukiwa unatoka sam mujoma ukiwa unaenda buguruni kama unapita hii route lazima ujue umuhimu wake, mabishano mengine tafuta njemba zingine
Jibu tu maswali comrade
 
uache kupoteza mda kuandika utumbo, usilazimishe chadema ionekane inapendwa wakati una uwezi kufanya research private! namjua mtu mmoja tu anaekubaliana na lissu mpaka sasa toka kampeni zmeanza na mtu mwenyewe hapigi kura maaana kahamishwa kikazi, wengine wote nnaowajua mm ni ccm, infact isiwe maneno mengi wacha nkuonyeshe numbers
View attachment 1591441
nadhan mpaka apo tumefunga mjadala

Huwezi kufunga mjadala...

Mjadala unaendelea. Wewe ndiye lala maana "mnapendwa" lakini cha ajabu kutwa nzima, mnapiga propaganda ku neutralize mambo ...
 
Mungu wa Israeli amesikia kilio cha Watanzania cha miaka mingi.

Mungu wa Israel ameona mateso ya watu wake na sasa ameshuka mwenyewe kuja kutukomboa.

Mungu kampiga upofu wa fikra na ufahamu adui. Nguvu na manlaka yao siyo kitu tena. Havina msaada kwao. Haviwezi kuwaokoa na anguko kuu la kushindwa.

CHADEMA na Tundu Lissu ni zana tu za ukombozi wa nchi hii anazotumia Mungu. Lakini ukweli ni kuwa yeye mwenyewe Kristo simba wa Yuda yuko kazini anaokoa!

Adui ameshaona na amenusa kushindwa kwake. Yuko so desparate.

CCM na Magufuli ni kama simba aungurumae kumtafuta yeyote aliyekaa kihasara na mwenye hofu ili amle.

Lakini kiukweli ni kuwa, CCM na Magufuli wala siyo simba bali wanaigiza usimba.

Kama hujagundua kuwa unachosikia sio sauti ya simba, bali ni ya kumuigiza simba, basi unaweza kuanza kutimua mbio kumkimbia simba - mbuzi.

Sisi tuko serikalini. Ni wazalendo katika kambi ya adui. Tunawahakikishia kuwa adui kwa ndani ameshakwisha habari yake. Mnavyomwona kwa nje ni fabrication tu, MSIOGOPE. Songeni mbele!

Mungu yuko pamoja nanyi. Sisi huku tunawapa habari zote kwa kadiri tunavyozipata na zilivyo. Tu wadogo sana, lakini tunajua kila kitu.

Mna siku zisizozidi 23 kuanzia leo ku - revisit mikakati yenu ya ushindi. Nawahakikishia tena robo tatu (3/4) ya machinery za kidola zinawaunga mkono tukiwemo 99% ya watumishi wa umma.

Tuko upande wenu. Nasi tunahitaji kuwa huru. Tuko tayari kusaidia kumwangusha Farao wa Misri iwe kwa kutaka ama bila kutàka.

Mpango mzima uko kwenye vituo vya kupigia kura. Angazieni uko. Mikakati na nguvu zote zielekezwe huko. Ishu haiko kwenye kampeni na nyomi.

Tundu Lissu hata asipofanya kampeni, anashinda unless mshindwe kuweka mikakati thabiti kwenye vituo vya kupigia kura.

Njooni na mkakati wa kudhibiti kura za kila kituo cha kupigia kura ili kuhakikisha kuwa kura zinakuwa halisi zilezile zilizopigwa.

Hakikisheni mnaweka mawakala kila kituo, wanaapishwa kwa wakati, wanaingia vituoni na wanapata nakala ya matokeo kwa kila kituo cha kupigia kura.

Msifikiri sana kuhusu fedha kwa sababu fedha haiwezi na haijawahi kufanya kila kitu kwa mwanadamu.

Tazameni, wao wana fedha nyingi kuliko maelezo. Lakini mbona haziwapatii upendo na kila kitu wanachokihitaji? Fedha kwao imeleta uhasama na mgawanyiko kuliko kufikia lengo lao.

Wekezeni kwenye kile watu wanachohitaji. Watu wako tayari kwenda kwenye vituo kuwa mawakala wenu hata bila malipo ili mradi waufikie ukombozi wao.

Watu wamechoka. Watu hawako huru. Watu wamefungwa na wako gerezani. Watu wanahitaji kufunguliwa.

Mungu mwenyewe yuko kazini kujibu kilio cha watu.

Pokeeni heshima hii ya pekee aliyowapa Mungu kupitia mja wake Tundu Lissu ili kuwatoa watu wake kwenye utumwa wa Misri wa zaidi ya miaka 57.

Hili ndilo jukumu alilopewa Tundu Lissu.
Bwana wa Mabwana Mungu wa miungu Alfa na Omega ameshaamua kutukomboa kutoka kwwnye mdomo wa waovu ccm
 
Back
Top Bottom