Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katiba inasemaje?Na yule mstaafu alie jengewa nyumba na serikali hata miaka 2 hajaishi kwenye hio nyumba na kufariki. Huu nao si ufisadi?.
Mwenye kujiweza hachangiwi.Ukiona unachangiwa basi wewe ni tapeli mbinafsi au hujiwezi.Uzuri michango ni hiari, pia haimaanishi Lisu hawezi nunua, ni sehemu ya walioguswa. Si kila anaechangiwa hajiwezi.
ila ni aibu kila siku Chama kinaomba omba mbona vyama vingine havipo hivyo hawa ni mafisadi wabaya sana na sio wazalendo wa nchiMkuu
swala la mchango sio lazimani hiari ya mtu anaye wiwa Kwa namna Moja ama ingine.
Msamaha siku zote ni mzuri sana lkn Kuna mabo mengine siyo ya kusamehe. Na mengine kawaida kusamehe. (Ni wimbo wa jeshi ukiwa na maana Pana sana )
kijana jitambue unaona ni sawa mmeshawai kupata mchanganuo wa fedha mlizochanga ata siku moja?Usiwe mjinga,Lissu kuchangiwa ni suala la solidarity,siyo suala la kuvuna kwa Marikina wala matajiri,ukiona maskini wamemchangia Lissu ujue wewe na chama chako mpo hatarini.
Huwezi kuelewa umejaa UCCM (ujinga) kichwani.
kweli kabisaMwenye kujiweza hachangiwi.Ukiona unachangiwa basi wewe ni tapeli mbinafsi au hujiwezi.
Mkuu, kelele za Nini? It's simple! Acha kuchanga, okoa fedha Yako. Acha wanaoona umihimu wa kufanya hivyo wachange.Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?
Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.
Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie
CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
mnawaibia wananchi kwa kutimiza matakwa yenuWizi uko wapi hapo?
Ile report ya CAG yenyewe utaiitaje?
Wachange wasichange utapungikiwa nini?
Kama we hupendezwi na hilo jambo ni wewe sio wote na naamini huwezi wapangia watu jambo wakiamua!
Kama huna hoja ni bora unyamaze sio kosa we kuwa kimya!
ila ni aibu kila siku Chama kinaomba omba mbona vyama vingine havipo hivyo hawa ni mafisadi wabaya sana na sio wazalendo wa nch
dah ahahahMadabida Aliwalisha Makopa Wagonjwa Wakati ARV Janja Janja
dahMadabida Aliwalisha Makopa Wagonjwa Wakati ARV Janja Janja
lazima tukemee hili swalMkuu, kelele za Nini? It's simple! Acha kuchanga, okoa fedha Yako. Acha wanaoona umihimu wa kufanya hivyo wachange.
sawa ila hapa nachotaka mm nione Chama kinajisimamia chenyewe bila kuomba michango tena Chama kikongwe kweliMtazamo wako upo sawa. Lkn kwangu Mimi Sioni kama ni ufisadi CAG Kila mara anasema mabilioni yameibwa ni Vyema Na Haki ukaanza na hayo yanayo tajwa na CAG.
Watu wamehoji pia kuhusu walimu na jamii zingine kuchanga fomu za Urais, ni wizi wa CCM au ni mapenzi kwa mama....tuongee ukweli.Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?
Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.
Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie
CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Hana Hoja Pia Hawezi Kukujibu KamweWatu wamehoji pia kuhusu walimu na jamii zingine kuchanga fomu za Urais, ni wizi wa CCM au ni mapenzi kwa mama....tuongee ukweli.
iyo imeusisha serikali na sio ChamaWatu wamehoji pia kuhusu walimu na jamii zingine kuchanga fomu za Urais, ni wizi wa CCM au ni mapenzi kwa mama....tuongee ukweli.
Watanzania ni waelewa na wanatoa kwa moyo kwa kipenzi chao kwanza wanahasira jinsi magu alivyotumia polisi kutimua wananchi waliokuwa tayari kumwombea alipopigwa risasi,wacha watu wachange kwa hiari yao we bahili tuliaKwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?
Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.
Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie
CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Nadhani ulinipa kadi ya CDM.Waache watu wafanye wanavyojisikia bila kuvunja sheria.Hizo unazodhani ni aibu unazomiliki ni vema upeleke kwenye ngoma ya msusumio au mdumange.ni aibu kwa Chama chenu kuja na kuomba mchango kwa wananchi