Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
pesa yako hain kaziWeunaumia ninimimi nachangia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pesa yako hain kaziWeunaumia ninimimi nachangia
unaibiwa na.lissLimekuchoma wapi nyuma ama vipi, bora kuchangisha kuliko kuibia Wananchi.
kingekua kibovu msingekua mnakesha mitandaoni kuanzinsha nyuzi kila dakika.ni Chama kibovu kuwai kutokea kwasasa
lin gvt imekuja kuomba hela kwa wananchi wanunue gari?we huna akili mpumbavu wewe.
kumchangia lisu imekua nongwa ila michango ya kununua m vx ya serikali yenu kila siku unachangia hiyo ndo unaona akili au wehu
tunawasema ili wajirekebishekingekua kibovu msingekua mnakesha mitandaoni kuanzinsha nyuzi kila dakika.
kumkamua mtu ni kumlazimisha.sipo kutetea viongozi tawala ninalo kemea hapa ni michango ambayo wanawakamua masikini kwa kipato chao kidogo iko iko bado wanakitaka lini umeona ccm inatembeza bakuri ?
kama una jeuri wafate ofisini waambie au andika huku uweke jina lako na sii kujificha na id fake nyau wewetunawasema ili wajirekebishe
amewaombaaaaa?dah lissu sio masikini kusema kwamba anashindwa nunua gari hivi ni sawa kabisa kuja kuwanyonya wananch
haya sio mapenzi ila ni kunyonya watu
gari Hain bima?
then wanaitaka nchi waongozechadema hovyo sana..wao kutoa hata robo kilo kwa wahanga wa mafuriko walishindwa kazi kuanzisha michango kiholela na kuzitafuna ruzuku
vitambi vikiwaota wananzisha matembezi ya hiyari(mandamano)kuwapumbaza wafuasi wao na kuvuruga shuhuli za kiuchumi
Uzuri watanzania huwasikiliza bumba zao mjukwani kisha siku ya kupiga kura huwatupilia mbalithen wanaitaka nchi waongoze
gari Hain bima?
Kama hujui mkeo Kisha mchangia MH LISSU vip hapoKwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?
Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.
Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie
CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Actually,Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?
Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.
Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie
CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid