CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

Nimegundua hujielewi kiasi kwamba sikutakiwa hata kukujibu

Hakuna ninalojifunza kwako na wala hufundishiki.... sasa nimekupuuza rasmi
Endelea kutulipa Kodi na Tozo huku maisha yakiendelea kuwavuluga!!.... CCM oyeee
 
Kura za kuichukia CCM badala ya kura za kuipenda CHADEMA...
 

Endelea kutulipa Kodi na Tozo huku maisha yakiendelea kuwavuluga!!.... CCM oyeee

Huu ulimbukeni hautakuacha salama


CCM HOYEEEEE
KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA
 
Umeumia sana
 
Uchambuzi wako ni duni sana, panua akili sio Masaburi!
 
Kujivunia NDIO, hata sasa! Ila kumwabudu big NO
JPM atabaki kuwa Mwamba Shujaa na rais wa karne. Ameenda ila bado anawapeleka mbio.... KAZI INAENDELEA na ironladyπŸ‘‘πŸ’ͺ
Hutaki kwenda mbio hama nchi🀣🀣🀣🀣
Jitahidini tu hata kumpa vilevile majina mengi ya kumtukuza na kumwabudu, bado nae atapita.
Lakini watanzania tunaoendelea kupigania 'uhuru, haki na maendeleo ya kweli' kwa TAIFA letu, tutaendelea kuwepo.
Dada,hatutakiwi kujivunia nchi yetu kuendeshwa kwa 'kupelekana mbio', bali kwa kufuata KATIBA ambayo pia Viongozi waliapa kuilinda.
 
Kujivunia NDIO, hata sasa! Ila kumwabudu big NO
JPM atabaki kuwa Mwamba Shujaa na rais wa karne. Ameenda ila bado anawapeleka mbio.... KAZI INAENDELEA na ironladyπŸ‘‘πŸ’ͺ
Hutaki kwenda mbio hama nchi🀣🀣🀣🀣
Jitahidini tu hata kumpa vilevile majina mengi ya kumtukuza na kumwabudu, bado nae atapita.
Lakini watanzania tunaoendelea kupigania 'uhuru, haki na maendeleo ya kweli' kwa TAIFA letu, tutaendelea kuwepo.
Dada,hatutakiwi kujivunia nchi yetu kuendeshwa kwa 'kupelekana mbio', bali kwa kufuata KATIBA ambayo kwayo Viongozi waliapishwa.
 
Tanzania hakuna wapinzani kuna waropokaji na wapayukaji tu, lazima uelewe usijifanye kilaza [emoji23][emoji1787]
Sasa kwa nini wakati wa uchaguzi mnafukuza mawakala wa upinzani, mnaweka wasimamizi wa chama lenu, bado mnakuja na mabox feki ya kura? Why??? Hizo ndizo akiri kwa tafsiri yako eh?
 
Upara ninao ila lazima wana CHADEMA wanawa hitaji watu kama wewe ili kuweza kupindua meza. Kushindwa uchaguzi kwa asilimia zaidi ya 80 sio mchezo
Ushauri wa bure waanze kwenye mashina huko ndiko kuna wapiga kura huku mjini tunakuja kila siku kushinda nyuma ya keyboard lakini wapiga kura tunawaacha nyumbani kina mama vijana wasio na kazi na wengine sasa vurugu tunazifanyia jf badala ya kupambana na mashinani
 
Na Utaendelea kuumiss sababu nimegundua nguvu huna wala uwezo huna pia
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
ukuje ARACHUGA mamake missin u sana nimeukumbuka utam wako MAMA D πŸ‘Œ πŸ˜›
 

JPM anakupeleka kasi hata akiwa kaburiniπŸ˜…πŸ˜…
 
Chadema wajitafakari kwanza waweke mipango yao ya muda mrefu kama watakua wakitegemea vigogo kutoka ccm waje wawape nafasi ya ugombea uraisi au mbunge hali yao itakua haina tofauti na kuanza kila mara upya. Ni vzr tukiwa na upinzani wenye kuleta mipango yao mizuri kwa Taifa na kuchallange Serikali kwa mipango inayofikirika na kuonekana katika maono sio kuendana na upepo wa ccm. Waache kucheza ngoma inayopigwa na CCM wacheze wanayoipiga wao wenyewe[emoji1317][emoji1317][emoji1303]
 
huyu kibaka wa kura ni wa kusikiliza kweli? kwenye kura za maoni CCM alipigwa vibaya mno akabebwa na babake mwendazake, kwenye kura za jimbo alipigwa vibaya mno akabebwa na Tume ya uchaguzi. Yaani kwa Shinyanga hakuna asiyejua haya.

Tanzania hii naisikitikia kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…