CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Lawama kama hizo pia zilikuwa zikitolewa na utawala wa makaburu dhidi ya viongozi wa ANC. Yaani katika lindi la ubaguzi wa rangi halafu unategemea viongozi weusi waweze kusheherekea pamoja nao! Huo utakuwa ni unafiki wa kiwango cha "rover" iliyotua katika sayari ya Mars.

Unatambua kabisa huyu ni mtesi wako, ambaye ni chanzo cha taabu na shida zako, halafu unakwenda katika sherehe alizoziandaa ili akapate kukusanifu na kukudhihaki mbele ya marafiki zake. Huo utakuwa ni ujuha uliopitiliza.
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Chadema ipi unayoizungumzia? Ni ile ambayo kila siku unahubiri kuwa imekufa?
 
Ukiona hata ofisi moja ya 10 million nchi nzimanimewashinda makao makuu yako kwenye pagala ujue MaCHADEMA ni ya hovyooooo
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Mlivyojipitisha bila kupingwa ni uzalendo? Mlivyoagiza Wakurugenzi wakimbie fomu za wapinzani ni uzalendo? Mlivyoagiza uchaguzi wa serikali za mitaa uwe kijani tu ni uzalendo? Mlivyotaka Bunge liwe la kijani tu ni uzalendo? Mlivyoapa "atake asitake" atakuwa Rais wa Maisha ni uzalendo? Kwenu uzalendo ukoje hasa?
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Pengine ACT wameshiriki mmewapa dola?
Maalim Seif mpaka amefariki mzee wa watu pengine alishiriki hizo hafla nyingi zaidi mliwahi kumpa Dola?
 
Back
Top Bottom