CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

Kwani dola unayoisema unapewa kama pipi? Ni nani anatoa kisa kuwa na adabu? Acha hoja za kijinga!
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Uzalendo si kuunga mkono hata mambo yasiyo na maana.Ni nonsense!
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Pumbavu kabisa! Una uhakika gani kama walipata mwaliko? Uzalendo ni mpaka uende uwanjani?
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Kiongozi yupi wamtaka, mliyemweka korokoroni au?
 
Magufuli ambaye aliamua kabisa kutokufanya sherehe za kusherehekea uhuru na fedha kusema zitumike kujenga barabara ya mwenge hadi moroko halafu baadae tunaambiwa barabara hiyo ya mwenge moroko imejengwa kwa fedha za msaada kutoka Japan yeye atakuwa msaliti wa kiwango gain? Huyo gaidi aliyepo motoni jiwe

kwa akili hizi mbowe anaamini ana watu nyuma yake[emoji1787].

magufuli alsema barabara itamuliwe,2016 zikatumika 4bln barabara ikatanuliwa,wajapana wametoa zaidi ya 75 bln kuifanya barabara kama unavyoiona.

muongo ni magufuli au kichwa lako limejaa uji wa ulezi!!!!
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
viongozi wa kitaifa wa chama cho chote cha siasa hupewa mwaliko maalum katika sherehe za kitaifa. hawakurupuki tu kama wewe unavyokwendaga kucheza mchiriku.

Thibitisha ikiwa walipewa mwaliko na wamekataa.
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Mnastahili nyie genge la wezi mliotuibia kwa miaka 60 na kutuacha katika umasikini, ujinga na maradhi
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Hiki chama kina watu wajuaji balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Wewe jirani yako akiandaa sherehe halaf amemuweka ndani baba yako utaenda?
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.

Chadema kwa kitendo hichi kimetuwakilisha Kundi la Watanzania tunao ona bado tupo chini ya Utawala wa Mkoloni Mweusi CCM.
 
Kama kweli wamefanya hivyo wamekosea.
Kwan wamevunja kifungu gan cha sheria?? Pia kama chama kikuu cha upinzan wanashirikishwa kwa lipi? Zaid ya kusakamwa kuwindwa kama kwale!!
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Sometimes tumia akili na utashi kdg kushika dola hakushabihiani na kuhudhuria jambo flani, tafuta point yenye mashiko kuthibitisha hawawez shika dola!!!
 
Back
Top Bottom