chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Kwani dola unayoisema unapewa kama pipi? Ni nani anatoa kisa kuwa na adabu? Acha hoja za kijinga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajakosea.Hawajaona cha kusherehekea. Ile hotuba ya Rais usiku haikushawishi walioumizwa na mifumo kwenda kwenye Sherehe za uhuru, maana ilieleza upande mmoja tu wa shilingi.Kama kweli wamefanya hivyo wamekosea.
Uzalendo si kuunga mkono hata mambo yasiyo na maana.Ni nonsense!Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Pumbavu kabisa! Una uhakika gani kama walipata mwaliko? Uzalendo ni mpaka uende uwanjani?Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Kiongozi yupi wamtaka, mliyemweka korokoroni au?Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Kama hawakualikwa?Kama kweli wamefanya hivyo wamekosea.
Magufuli ambaye aliamua kabisa kutokufanya sherehe za kusherehekea uhuru na fedha kusema zitumike kujenga barabara ya mwenge hadi moroko halafu baadae tunaambiwa barabara hiyo ya mwenge moroko imejengwa kwa fedha za msaada kutoka Japan yeye atakuwa msaliti wa kiwango gain? Huyo gaidi aliyepo motoni jiwe
viongozi wa kitaifa wa chama cho chote cha siasa hupewa mwaliko maalum katika sherehe za kitaifa. hawakurupuki tu kama wewe unavyokwendaga kucheza mchiriku.Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Mnastahili nyie genge la wezi mliotuibia kwa miaka 60 na kutuacha katika umasikini, ujinga na maradhiHatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Hiki chama kina watu wajuaji balaaHatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Huyo si mpinzani.Momose Cheyo
Wewe jirani yako akiandaa sherehe halaf amemuweka ndani baba yako utaenda?Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Chama cha wahuni tu hicho
Ukisema Nyumbu unalitukana jeshi letu Mana wanakikosi kinaitwa Nyumbu ,kuwa mzalendo jeshi letu sio Nyumbu.Nyumbu gang hawajielewi wote matendo yao yatawahukumu
Kwan wamevunja kifungu gan cha sheria?? Pia kama chama kikuu cha upinzan wanashirikishwa kwa lipi? Zaid ya kusakamwa kuwindwa kama kwale!!Kama kweli wamefanya hivyo wamekosea.
Sometimes tumia akili na utashi kdg kushika dola hakushabihiani na kuhudhuria jambo flani, tafuta point yenye mashiko kuthibitisha hawawez shika dola!!!Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Tunasubiri Katiba Mpya tuweze kupata Uhuru wetu wa Tanganyika.Chadema kwa kitendo hichi kimetuwakilisha Kundi la Watanzania tunao ona bado tupo chini ya Utawala wa Mkoloni Mweusi CCM.