CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

Kwa hiyo kama Mama yangu anafanywa hivyo basi Barida tu hata wewe kufanywa hivyo sio ?
Sema vizuri kuwa kama mamayako anafirwa na Mimi ni sawa mbona unaogopa kusema yaani mama yako na baba yako wote mabwabwa umekula hasara
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Majambazi yanafaa kukamata Dola ya kijambazi na sio vinginevyo,Dola halali haiendani na utawala haramu, wakijambazi ,hivyo hivyo Kwa utawala halali, hauendani na dola haramu🤔.
 
Kiongozi wa kitaifa si mmemfunga gerezani mlitaka nani aende?
 
HIVI NANI NI MZALENDO WA KWELI NI WALE WALIOKWENDA KUSHEREHEKEA NCHI AMBAYO HAIKUPATA UHURU AU WALE AMBAO WAMEAMUA KUTOKWENDA.
 
Tunasheherekea uhuru, uhuru ni wa watanzania wote haijalishi CCM,CDM ACT nk watanzania wote tunapaswa kuwa kitu kimoja siku hii..

Wakati uhuru unatafutwa hakukuwa na CDM wala CCM wala CUF wala ACT ...wazee walipambana tuwe huru kutoka makucha ya mkoloni....ukolono ni ukoloni tu, na uhuru ni uhuru tu..... hicho kidogo tulichokipata kinatosha na tushukuru Mungu.....kama enzi za ukoloni kuna maeneo huruhusiwi kukanyaga, kuna kazi marufuku kufanya, kila jambo mnapangiwa na mkoloni leo hii tunakwenda kila mahala kuanzia kidimbwi mpaka Hyatt ni mpunga wako tu...Kuna watu hamkuwahi kuuishi ukoloni, walioushi ukoloni na kuwepo sasa hawatamani kabisa hiyo hali..

Siasa za Tanzania ni za kijinga sana, zimejaa wajinga wengi, zimejaa wajuaji wanaowaza kushika nyadhifa kwa njia yeyote, zimejaa warafi wanaowaza matumbo yao.. 90% ya mataifa yote duniani siku hii watu huwa na furaha, watu huwa pamoja kushangilia uhuru wao...

..polisi wa mkoloni muingereza hawakuwa wakatili kama hawa polisi wa ccm.

..hata wakati wa kupigania uhuru wanachama, na viongozi wa tanu, hawakudhalilishwa kama chadema walivyodhalilishwa na serikali, mahakama, na vyombo vya dola vya ccm.
 
Ukisusa ss twala, huo uhuru tulio pata ni wa mkoloni wa kizungu, ila lile jitu jeusi nene bado sana
 
Mpinzani anayetetea Acacia anasitahili kuawa

..wazo zuri sana.🤣🤣

..Na aliyeileta acacia na kuingia nayo mikataba inayotunyonya afanywe nini?

..wapinzani wangeijulia wapi acacia bila ya serikali ya ccm kuileta hapa Tanzania?
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Wewe ni mzima? Mwenyekiti wa CHADEMA, si mnaye wenyewe? Kwa nini hamkumpeleka uwanja wa Taifa kama mlitaka ahudhurie?
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Nyie nguruwe si mlisema Chadema imekufa, au mumesajili chama chenu mkakipa jina hilo? Tuacheni, hatuna shirika na wauaji.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hata ccm siku kifo Cha mwasisi wataifa mlienda kusalimia kaburi la magufuli na mkamwacha mJane wa baba wataifa pekeake mpweke pweee
 
Tunasheherekea uhuru, uhuru ni wa watanzania wote haijalishi CCM,CDM ACT nk watanzania wote tunapaswa kuwa kitu kimoja siku hii..

Wakati uhuru unatafutwa hakukuwa na CDM wala CCM wala CUF wala ACT ...wazee walipambana tuwe huru kutoka makucha ya mkoloni....ukolono ni ukoloni tu, na uhuru ni uhuru tu..... hicho kidogo tulichokipata kinatosha na tushukuru Mungu.....kama enzi za ukoloni kuna maeneo huruhusiwi kukanyaga, kuna kazi marufuku kufanya, kila jambo mnapangiwa na mkoloni leo hii tunakwenda kila mahala kuanzia kidimbwi mpaka Hyatt ni mpunga wako tu...Kuna watu hamkuwahi kuuishi ukoloni, walioushi ukoloni na kuwepo sasa hawatamani kabisa hiyo hali..

Siasa za Tanzania ni za kijinga sana, zimejaa wajinga wengi, zimejaa wajuaji wanaowaza kushika nyadhifa kwa njia yeyote, zimejaa warafi wanaowaza matumbo yao.. 90% ya mataifa yote duniani siku hii watu huwa na furaha, watu huwa pamoja kushangilia uhuru wao...
Umesema kweli kabisaaaa. Ila
siku hii watu huwa na furaha, watu huwa pamoja kushangilia uhuru wao...
Hio sentensi wakiona wazazi wa wale waliotekwa na wengne kupotea kabisa kisa tu waliikosoa serikali au viongozi waliopo madaraka unahisi hio furaha wataitoa wap?
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Wamekwenda pale saccos kujazana ujinga, eti wataidai katiba mpya kwa jasho na damu. Wataanza mikoani, mpaka vyuoni.Wanadai gaidi hakupaswa afungwe, bali wao ndio waipaswa kuwa segerea na ukonga. Upuuzi mtupu.
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Ndiyo maana wanashindwa vibaya kwenye chaguzi. Adui wao ni wao wenyewe. Hawajui maeneo kama hayo ni sehemu ya kuongeza ushawishi kwa umma na ushawishi kimataifa. Chama kimeishiwa akili.
 
Back
Top Bottom