CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

CHADEMA kususia sherehe za Uhuru ni kukosa uzalendo. Hii ni kuthibisha kuwa hamfai kukamata Dola

Mastermind wao sio mzuri kwenye strategies ... wangeenda ingekua advantage sana kwao kisiasa kuliko kutokuwepo
Mbona mnahangaika sana huo umaster mind wapelekeeni tade,nld,chausta,updp n.k

Mbona upendo wenu mkubwa upo kwa chadema ?! Tangu lini?
 
Kulingana na chadema na wananchi walio wengi wanadai nchi haiko huru.Ni sawa Tanganyika ilipotoka mikononi mwa Wajerumani ikachukuliwa na Waingereza.Baada ya kutoka mikononi mwa waingereza Sasa imechukuliwa na mkoloni mweusi CCM.Nchi inatawaliwa Kwa matakwa ya watawala wachache.

Siku zote CCM mkishindwa mbinu zenu chafu za gizani,mnajifanya kuja nuruni kwenye mitandao ya kijamii na media zingine kulalamika.Hakika huu ni unafiki uliopitiliza!
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Sasa kama CCM wamemuweka Mwenyekiti jela, Makamu exile.... Hapo kuna cha kurehekea kweli....!!
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Unaondoka nyumbani kwako kwenda kwenye sherehe za uhuru wakati kila siku wewe unanyimwa uhuru na waandaa sherehe,pia kiongozi wako yuko ndani kwa sababu za kisiasa basi wewe utakuwa mpumbavu na mkoswa uzalendo.
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
kiongozi wa kitaifa si mmempeleka gelezani kwa kosa la kuchonga, shida yenu si mnataka mtawale mtakavyo, msishauliwe, msikumbushwe utawala wa sheria na demokrasia, basi endeleeni na mambo yenu na wao waacheni - yaani tuonavyo sisi hamko tofauti na wakoloni though wakoloni hawakuua na kuumiza watu kwa kiasi hiki.

Sasa katika Taifa lenye watawala kama hawa, CDM wafurahie uhuru upi kwa mfano ndugu mtoa hoja.
 
Kwa tafsiri ya sasa Uzalendo ni kutohoji jambo lolote linalohusu haki yako ya kikatiba ama ya kisheria - kufanya hivyo unaonekana ni mtovu wa nidhamu na unastahili kuadhibiwa na dola.

Unaposifu na kuabudu jambo lolote toka kwa watawala wewe unageuka ni mzalendo anayestahili kuvishwa taji.

Hapa ndipo tulipofikia.
 
Ndiyo maana wanashindwa vibaya kwenye chaguzi. Adui wao ni wao wenyewe. Hawajui maeneo kama hayo ni sehemu ya kuongeza ushawishi kwa umma na ushawishi kimataifa. Chama kimeishiwa akili.
Ushawishi wa kusifia na kuabudu ni ushawishi????? Roho mbaya haijengi.
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Ulitaka kiongozi wa kitaifa yupi aje kwenye sherehe wakati Mkt wao Taifa mmemshikilia gerezani? Ulitaka Lissu asafiri toka Ubelgiji kwa ajili tu ya kuja kwenye sherehe za uhuru? Ulitaka Mnyika aache kuhangaika na kesi ya Mbowe aje kugongesha glass na watu waliomkamata?
Kwanza Uhuru tunaosherekea sasa si uhuru wa wapinzani bali ni Uhuru wa ccm na wanachama wake lakini lakini wapinzani bado wako chini ya mkoloni mweusi!
Siku ya Uhuru mwaka 1961, ilishushwa bendera ya mkoloni ikapandishwa bendera ya taifa, Siku zote CCM imekuwa ikiamuru kushushwa kwa bendera za CHADEMA na kupandishwa zile za ccm hayo matendo yanaashiria wazi kuwa wapinzani uhuru bado hawajaupata, Hivyo hata kushiriki sherehe za uhuru ni sawa na unafiki dhidi ya nafsi zao wenyewe hivyo walichofanya nkutoshiriki sherehe hizo ni sahihi kabisa kwakuwa uhuru wa nchi yetu ccm ilishajimilikisha!
 
Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu

Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Mnawaita magaidi halafu mnawalaumu kutohudhuria ...
 
Back
Top Bottom