Hakika Chadema ni mpango wa Mungu.Ajiulize swali kingine vipi wale waasi waliohama chama wameshinda kura za maoni walikokimbilia kuhemea?Alikuwa
Ni mpango wa MUNGU kuiwezesha chama kulipwa ruzuku kubwa na kujiimarisha toka kwrnye tawi. Bahati mbaya hii iligunfulika na kuzuiwa mikutano ya kisiasa kwacvyama vya upinzani. HILI LINAHITAJI UFAHAMU WA JUU KULIONA
Kwa machoWewe unaonaje?
Kichwa cha habari cha uzi huu, kwa kweli hakiendani na habari yenyewe! Mikutano hiyo ni ya kawaida sana hasa kipindi hiki cha uteuzi na utia nia kabla ya uchaguzi mkuu utakao tanguliwa na uteuzi wa wagombea wa Udiwani, Ubunge na Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi yaani NEC hapo tarehe husika itakapofika. Si jiji la Dar-es-Salaam wala Tanzania itakayo zizima wala kutikisika ndugu yangu.Sasa ni Rasmi.
Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.
Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.
Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.
Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.
Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.
Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.
Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.
Wagombea wa CHADEMA ni;
Wakili Simba Neo
Lazaro Nyalandu
Tundu Lissu
Dk.Maryrose Majinge
Wakili Gaspar Mwanalyela
Isaya Mwita
Mchungaji Leonard Manyama
da umeandika kishabiki sana mkuu yaani maandamano ambyo hayajawahi kutokea tanzania? yepi hayo ?huyuhuyu lissu na ni siku hyo akirudi ? unachekesha kama hayo ndiyo maandamano ambayo hayajawahi kutokea utakua siyo mfuatiliaji wewe au akli yako inashida mahala kwenye medula oblangata
Msigwa alijitoa kwenye kinyang'anyiro?Mwenye macho haambiwi Tazama.Chadema ni mpango wa Mungu
Hakuchukua fomu japo alitangaza nia , kuhusu Msigwa na Mbowe ilikuwa misheni maalum ya chamaMsigwa alijitoa kwenye kinyang'anyiro?
Tunashukuru MkuuMolemo Media tunakufuatilia kwa zero distance , tuko pamoja sana
Mwenye macho haambiwi tazama mkuu
Tunafuata taratibu zote kikatiba mkuuHivi hakuna namna ya ku-Skip hiko kikao cha kumtafuta rais? Lissu anatosha, CDM hangaikeni na wabunge tu na viongozi wengine.
Mwenye macho haambiwi tazama.Dunia inajuaKi
Kichwa cha habari cha uzi huu, kwa kweli hakiendani na habari yenyewe! Mikutano hiyo ni ya kawaida sana hasa kipindi hiki cha uteuzi na utia nia kabla ya uchaguzi mkuu utakao tanguliwa na uteuzi wa wagombea wa Udiwani, Ubunge na Urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi yaani NEC hapo tarehe husika itakapofika. Si jiji la Dar-es-Salaam wala Tanzania itakayo zizima wala kutikisika ndugu yangu.
Acha hayo mandondocha yajifariji.Hata lowasa mlisema ni mpango wa mungu wenu.
Labda ni mpango wa shetaniMwenye macho haambiwi Tazama.Chadema ni mpango wa Mungu
Ninawatakia Chadema mkutano mwema, wa heri, na mafanikio katika kudumisha demokrasia.Sasa ni Rasmi.
Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.
Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.
Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.
Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.
Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.
Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.
Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.
Wagombea wa CHADEMA ni;
Wakili Simba Neo
Lazaro Nyalandu
Tundu Lissu
Dk.Maryrose Majinge
Wakili Gaspar Mwanalyela
Isaya Mwita
Mchungaji Leonard Manyama