Uchaguzi 2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

Hapa ndipo ninapoona tofauti kati ya CCM na CHADEMA wakati ccm wakitumia ukumbi wao chadema wanaenda kukodi ukumbi
 

Wanatikisa nani? Au wanajitikisa wenyewe unamaanisha.
 
Hadithi za sungura na fisi et rais wala siyo RAIS
 
Ningekua mpiga kura
kura yangu ningempa Lazaro Nyalandu Anafaa wakati huu KULIKO wakati mwingine wowote ila kwa Zanzibar sidhani Kama CDM wanachao kule unamsimamisha mtu hapati hata kura elfu 50 haina haja
 
Lisu ateuliwe nje ya hapo, kura mtapiga wenyewe
Huo ndio ukweli
Nina uhakika akisimama Lissu hata ACT Watamuunga mkono, sio Nyalandu. Sasa hapa Mbowe alete siasa zake za 2015 kulazimisha Lowassa agombee aone CHADEMA itakavyokuwa kama TLP
 
ishajulikana nani atapita, sema wacha watu wafanye mchakato kutimiza matakwa ya demokrasia.
 
Je lissu atamuunga mkono Membe?
Je Membe atamuunga mkono Lissu?
Kama hawataungana si watagawana kura?
Je itakuwa live?
 
bangi za jioni:

  1. chadema wakimteua tundu lissu itamlazimu zitto na chama chake waunge mkono juhudi (coalition).
  2. chadema wakimteua nyalandu au mgombea mwengine ni furaha kwa zitto na chama chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…