No reforms, no election ni mfupa mgumu sana kwa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa kitaifa October 2025.
Kama serikali ya CCM italazimisha kufanya uchaguzi pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani Tanzania yaani CHADEMA basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa Rais Samia Suluhu Hassan kidiplomasia hasa katika nyanja ya demokrasia kimataifa.
CHADEMA kutoshiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu pia litakuwa pigo kubwa sana kwa 4Rs za Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea katika hadhima yake ya utawala bora.
Ikumbukwe kuwa bajeti ya serikali inategemea misaada kutoka katika mashirika, taasisi za kimataifa na nchi za nje.
Hivyo ikiwa CHADEMA hawatashiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu, litakuwa ni pigo kubwa sana kidiplomasia kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya CCM.
CHADEMA wanatakiwa kusimamia msimamo wao wa no reforms, no election bila kutetereka kabisa, maana bila CHADEMA, ushiriki wa vyama vingine una athari finyu kuelekea mageuzi ya kiutawala na siasa Tanzania.
Kama serikali ya CCM italazimisha kufanya uchaguzi pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani Tanzania yaani CHADEMA basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa Rais Samia Suluhu Hassan kidiplomasia hasa katika nyanja ya demokrasia kimataifa.
CHADEMA kutoshiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu pia litakuwa pigo kubwa sana kwa 4Rs za Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea katika hadhima yake ya utawala bora.
Ikumbukwe kuwa bajeti ya serikali inategemea misaada kutoka katika mashirika, taasisi za kimataifa na nchi za nje.
Hivyo ikiwa CHADEMA hawatashiriki kabisa uchaguzi mkuu mwaka huu, litakuwa ni pigo kubwa sana kidiplomasia kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya CCM.
CHADEMA wanatakiwa kusimamia msimamo wao wa no reforms, no election bila kutetereka kabisa, maana bila CHADEMA, ushiriki wa vyama vingine una athari finyu kuelekea mageuzi ya kiutawala na siasa Tanzania.