Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe au mwingine! Ni kama mizezeta hapo juu iliyokuwa inatamka maneno ya hovyo kwa vile Wenje anataka kugombea kiti cha Mungu wao Lissu. Wewe kama angalisemwa Mbowe nawe yangekuwa yale yale kama ya akina Retired au brazaj au Benjamini Netanyahu au Salary Slip etc

Mkuu kama uko kwenye kutafuta mume miye nimeoa.

Wapi unaponihusisha na lolote uliloandika hapo ndugu?

Kwamba umenituhumu bila ushahidi, kumbe zezeta mbende mbende atakuwa nani zaidi yako?

imhotep hebu kagua huyu. Atakosa angalau kibiongo kweli huyu?
 
Hawa sio wa kusubiri bari waondoke period, unatangaze vita katikati ya vita wakati wewe ni moja ya ngome kuu ya upande wa vita , hivi kweli kwa sasa malengo ya chadema ni vyeo kuliko makuu yaliyo mbele yetu kama wananchi, chama ,na wana chama?

Ujinga ,natamani hata kesho atangaze hama chama uhuni huu
My concern ni hiyo. Huu ni wakati wa vita, mko kwenye mapambano wewe unazua jambo ambalo litawagawanya. HAPANA huyu hafai katu!
 
Chama chetu ni Chama cha DEMOKRASIA 👈na MAENDELEO
 
Itakuwa pesa za Abdul zimemfikia anataka kumfuata Msigwa wakaimbishwe pambio za mamabdul
Kwanza siju uyu Msigwa wajukuu zake ,amewatengenezea historia gani, uyu bwana kabomoa heshima yake kubwa aliyoitengeneza wenda kwa jasho na dam kwa siku moja tu, !
 
Uko saihi kabisa, lakini za ndani kutoka wanaoipenda chadema wanasema kuna Rupia imepenyezwa aiyumbishe chadem.
Najua siyo kosa kugombea/kutia nia, LAKINI kwa hali ya siasa za nchi yetu zilivyo na wahasimu wa chadema CCM, kiongozi mkubwa kama huyo angeliangalia maslahi mapana ya chama kuliko kutafuta nafasi za madaraka.
Chaguzi za vyama zinavivuruga vyama vya upinzani sana. Mtu mwenye busara angeliachana na hiyo nia kaanglalia kuimarisha chama..
Nakutoa Mashaka, hakuna jambo la gizani litakalofanyika iwe ikulu au Uraiani la kuhujumu Chadema tusilijue
 
Sawa demokrasia ni nguzo ya msimamo wa chadema, lakini uaangalia maadui wenu wamekaaje.. CCM wanawategea kwenye chaguzi kama hizi wawavuruge! Mnaangalia hali zenu zikoje na wenye MADARAKA/nchi. Kwa busara ya kawaida, mnaachana na lolote linalowea kuleta mgawamyiko na kuwapa faida maasimu wenu! CHAGUZI ALWAYS ZINAVIANGUSHA/KUVITWANYA VYAMA VYA UPINZANI MAANA MAASIMU WENU WANATUMI HELA KUWAGAWA KWEYE CHAGUZI.
Acha agombee akipigwa tutajua mwelekeo wake. Na kisaikolojia Sasa hivi tuko vizuri Kwa kuwa tunajua CCM wako bize sana Kwa hili na vikao vyao tunaviona. Wanaitaja Chadema kila uchao. Badala ya kuangalia matatizo waliyonayo.
 
Mbona Lissu ametangaza kugombea Urais na hakuna aliyesema anavuruga chama?
1. Lisu ni ngazi ya taifa, anapambana na Samia/CCM. Huko hakuna kinachoweza kuivuruga chadema.

2. Kwangu mimi, my personal conviction, Lisu ni mfia chadema, risasi zote mwilini ni kwa ajili ya chadema. ana nia thabiti ya kuijenga chadema. Hizi ni chaguzi za Urais hazina nafasi ya usaliti wa mtia nia!!
 
1. Lisu ni ngazi ya taifa, anapambana na Samia/CCM. Huko hakuna kinachoweza kuivuruga chadema.

2. Kwangu mimi, my personal conviction, Lisu ni mfia chadema, risasi zote mwilini ni kwa ajili ya chadema. ana nia thabiti ya kuijenga chadema. Hizi ni chaguzi za Urais hazina nafasi ya usaliti wa mtia nia!!
Hakika
 
Acha agombee akipigwa tutajua mwelekeo wake. Na kisaikolojia Sasa hivi tuko vizuri Kwa kuwa tunajua CCM wako bize sana Kwa hili na vikao vyao tunaviona. Wanaitaja Chadema kila uchao. Badala ya kuangalia matatizo waliyonayo.
Ni mda anaejijua kwamba amekua Yuda ndani ya chadema kwa sasa kuondoka mapema kabla mkono wa Bwana kushuka juu yao , Chadema kwa sasa ipo mda sahii ,wakati sahii sana , asema Bwana na mwenye hila hovu kwa wakati huu Bwana atasemezana naye kwa sauti kuu bila kutojali umaarufu wake, cheo chake n.k tunzeni hii
 
CHADEMA kama mnashindwa mitihani midogo ya kidemokrasia mtaweza kuongoza nchi? Si mtakuwa mnafunga watu jela hovyo hovyo? Hakika hiki chama bado kina laana ya hawara wa Dr Slaa. Mkamwombe radhi.
Mbona nyie mnawateka ,mnawabambikia kesi,mnawapoteza na wengine mnawapiga risasi kama mlivyofanya kwa Tundu Lissu? Au mnafikiri hatujui kwanini January katumbuliwa tena kwa hisia tu? CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
Sijamwelewa wenje labda ni CHADEMA wenyewe wanapanga

Lakini waliobeba mpunga na hawajahama na ccm inahaha

Wafuatao
Msigwa-kashahama
Wenje-anatafuta pakutokea angalia bodyLangauage yake

HECHE- aliwajibu ccm baada ya kupokea mlinguLa kwamba wakome kumfuata fuata lasivyo patawaka---ccm wamefyata na tayari wanajua wameliwa

LISU --baada ya abduL kumwomba wenje afanikishe kufika kwa LISU tegeta home ,ABDUL alifika alivyojieleza tu TUNDULISU alimfyatukia na kumfukuza ABDUL kama mbwa

NinaList kwaleo iishie hapo
Nisimacho ukipewa pesa na ccm kula tu maana kwanza ni jasho lako ila waonyeshe kwa vitendo kwamba wewe sio nyanya za kununuliwa mafungu
 
Acheni unafiki...

Wenje anatumika? jibu ni ndiyo...

Nani anamtumia? jibu ni Mbowe...

Mbowe amemtuma Wenje kugombea umakamu ili kujaribu kusoma mawazo ya Lissu...

Mbowe anataka ajue, Lissu anautaka uwenyekiti au Lah...

Kimsingi Mbowe ametumia akili za kitoto.
Sio kweli ,acha uchonganishi , lissu kwanza hata nafasi hii aliombwa , Mwamba hana tamaa na ujinga wa vyeo ,yeye haki, hata kwenye Urais amesikika akisema kwamba nia ipo endapo chama chake kitampitisha , lakini pia wananchi wakiridhia, zipo kauli za kutumia hata kama upo na nia flani , ila sikiliza maneno ya Wenje.
 
Sio kweli ,acha uchonganishi , lissu kwanza hata nafasi hii aliombwa , Mwamba hana tamaa na ujinga wa vyeo ,yeye haki, hata kwenye Urais amesikika akisema kwamba nia ipo endapo chama chake kitampitisha , lakini pia wananchi wakiridhia, zipo kauli za kutumia hata kama upo na nia flani , ila sikiliza maneno ya Wenje.
Lissi is Mr Clean. Ukimchafua unachafuka mwenyewe.

Angekuwa na Tamaa angekuwa Waziri Mkuu Ccm
 
Back
Top Bottom