Wewe au mwingine! Ni kama mizezeta hapo juu iliyokuwa inatamka maneno ya hovyo kwa vile Wenje anataka kugombea kiti cha Mungu wao Lissu. Wewe kama angalisemwa Mbowe nawe yangekuwa yale yale kama ya akina Retired au brazaj au Benjamini Netanyahu au Salary Slip etc
Mkuu kama uko kwenye kutafuta mume miye nimeoa.
Wapi unaponihusisha na lolote uliloandika hapo ndugu?
Kwamba umenituhumu bila ushahidi, kumbe zezeta mbende mbende atakuwa nani zaidi yako?
imhotep hebu kagua huyu. Atakosa angalau kibiongo kweli huyu?