- Thread starter
- #61
Mtaibiwa tena 2025. Endeleeni na uzwazwa wenuUnawashwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaibiwa tena 2025. Endeleeni na uzwazwa wenuUnawashwa.
Shetani lazima asemwe akiwa kaburini hadi Jehanam! Kama wasukuma wako ni mashetani basi wasubiri waendelee kuandamwa na laana!Umetema madini matupu!
Kusema kweli nami nilishangazwa sana kwa kitendo cha Lisu kwenda kumnanga Magufuli Usukumani!
Kitendo hicho kimeishushia Chadema credit pakubwa!
Nikawa najiuliza huu uroporopo anadhani anawafurahisha wafiwa!
Kumtukana Magufuli kanda ya ziwa ni sawa na kumtukana mtume!
Hili la Dotto Biteko litainyenyua Ccm ilipokwama iwapo tu atawaondolea kero wananchi kwa matendo ya uongozi wake.
Kama utendaji wake utakuwa ni wa kupiga siasa za kipole na kistaarabu kama vile anahubiri enjili kwa kuwaonea haya mafisadi waliolikwamisha Taifa, ndiyo atazidi kuichimbia kaburi Ccm.
Kosa jingine kubwa wanalolifanya Chadema ni kuendeleza ideology yao ya kususia vikao, kwa mfano wa hiki cha wadau wa siasa, hawakuwa na mantiki ya kufanya hivyo.
Ilitakiwa wakapambanue hoja zao pale, ingelipendeza sana .
Halafu la mwisho kwa Chadema, waondoe udikteta na ukiritimba wao katika uongozi wa chama kitaifa.
Kama wana nia ya kweli ya mabadiliko, ziwekwe sura mpya safu ya juu zitakazokubalika kwa wananchi kuuonesha umma thamani halisi ya demokrasia.
Wakiendelea kuongoza wao tu miaka na miaka kimakame nguvu, kwa kadri siku zinavyokwenda, kitashuka popularity na kubakia chama cha kugawania ruzuku kama vyama vingine vya upinzani vilivyo hivi sasa.
Hebu waambie CCM waaçhe kutumia Polisi na Usalama wa Taifa kupindisha kura tuone kama watatoboa.Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Unadhani wanao umia ni CHADEMA ama nyie wananchi?Umetema madini matupu!
Kusema kweli nami nilishangazwa sana kwa kitendo cha Lisu kwenda kumnanga Magufuli Usukumani!
Kitendo hicho kimeishushia Chadema credit pakubwa!
Nikawa najiuliza huu uroporopo anadhani anawafurahisha wafiwa!
Kumtukana Magufuli kanda ya ziwa ni sawa na kumtukana mtume!
Hili la Dotto Biteko litainyenyua Ccm ilipokwama iwapo tu atawaondolea kero wananchi kwa matendo ya uongozi wake.
Kama utendaji wake utakuwa ni wa kupiga siasa za kipole na kistaarabu kama vile anahubiri enjili kwa kuwaonea haya mafisadi waliolikwamisha Taifa, ndiyo atazidi kuichimbia kaburi Ccm.
Kosa jingine kubwa wanalolifanya Chadema ni kuendeleza ideology yao ya kususia vikao, kwa mfano wa hiki cha wadau wa siasa, hawakuwa na mantiki ya kufanya hivyo.
Ilitakiwa wakapambanue hoja zao pale, ingelipendeza sana .
Halafu la mwisho kwa Chadema, waondoe udikteta na ukiritimba wao katika uongozi wa chama kitaifa.
Kama wana nia ya kweli ya mabadiliko, ziwekwe sura mpya safu ya juu zitakazokubalika kwa wananchi kuuonesha umma thamani halisi ya demokrasia.
Wakiendelea kuongoza wao tu miaka na miaka kimakame nguvu, kwa kadri siku zinavyokwenda, kitashuka popularity na kubakia chama cha kugawania ruzuku kama vyama vingine vya upinzani vilivyo hivi sasa.
Kuna kitu unachotakiwa kukielewa.Shetani lazima asemwe akiwa kaburini hadi Jehanam! Kama wasukuma wako ni mashetani basi wasubiri waendelee kuandamwa na laana!
Lakini kwa taarifa yako Wasukuma tunaowafahamu sisi ni binadamu na watu wema sana!
Ndiyo sababu ni yeye peke yake anaitwa shetani na alipokwenda Jehanam watu walishangilia!Kuna kitu unachotakiwa kukielewa.
Wewe binafsi waweza kuwa muathirika wa utawala wa Magufuli kama alivyofanyiwa Tundu Lisu na ukabakia kumlaani mpaka leo, hilo utabakia nalo na hakuna atakayekulazimisha kumpenda.
Nje ya chuki hizo binafsi, jiulize sasa, waTz walio wengi, waliumizwa na utawala wa Magufuli?
Je waliumizwa kwa mambo gani ama matendo yepi?
Je waTz walio wengi, kweli hawakuridhishwa na utawala wa Magufuli na je walifurahia kifo chake?
Chuki bilafsi haiwezi kubeba mustakabali wa mambo ya ukweli.
Chuki zitabakia kuwa chuki na upendo utabakia kuwa ni upendoni kama maji na mafuta havichangamani.
Na usije kujidanganya hata siku moja kwamba utawala huu unapendwa sana kuliko utawala wa Magufuli hasa kutokana na jinsi watu wengi wa kawaida walivyovurugwa na athari za ufisadi unaoendelea hivi sasa.
Mkuu mbona hayo yanaeleweka kuwa raia ndiyo mtaji wa chama chochote.Unadhani wanao umia ni CHADEMA ama nyie wananchi?
Hakili huna. Hii ni athari ya mazingira unayoishi au elimu duni. Kanda ya ziwa ina mikoa ifuatayo. Kagera, geita, shinyanga, mwanza, simiyu, na mara. Katika mikoa yote 6 ikitokea uchaguzi alafu MUNGU akapewa kazi ya kusimamia na kuhesabu kura, CCM inaweza kubahatisha majimbo machache katika mkoa wa SHYINYANGA na SIMIYU. kwingine kote CCM itagaragazwa saa 3 asubuhi. Na hiyo mikoa ambayo CCM itabahatisha sababu ziko wazi Kwa sisi ambayo tumefanya research tunajuaAsalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Kanda YaZiwa ni wakabila kvp yaan 😅 mm navojua hao watu wa KandaYaZiwa wangekuwa na ukabila nchi hii isingesimama na kutulia hv ,kwahyo acha porojo za kiduwanzi budder.Kanda ya ziwa n wakabila sana ...lkn bwana dotto sio ngosha sema wajnga wanajua n ngosha..... anyway time wl tel
Anaitwa "shetani" na nani?Ndiyo sababu ni yeye peke yake anaitwa shetani na alipokwenda Jehanam watu walishangilia!
Tena hapo kwenye mkoa wa Shinyanga itoe Kahama mjini hyo ni Chadema tupu.Hakili huna. Hii ni athari ya mazingira unayoishi au elimu duni. Kanda ya ziwa ina mikoa ifuatayo. Kagera, geita, shinyanga, mwanza, simiyu, na mara. Katika mikoa yote 6 ikitokea uchaguzi alafu MUNGU akapewa kazi ya kusimamia na kuhesabu kura, CCM inaweza kubahatisha majimbo machache katika mkoa wa SHYINYANGA na SIMIYU. kwingine kote CCM itagaragazwa saa 3 asubuhi. Na hiyo mikoa ambayo CCM itabahatisha sababu ziko wazi Kwa sisi ambayo tumefanya research tunajua
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA[emoji23]Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Shetani Magufuli ndiyo jina lake! Nenda kasome kaburini kwake Chato!Anaitwa "shetani" na nani?
Wasukuma wenyewe hawataki wahutu,huyu arudi kwao gisenyiAsalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Kweli kabisa,Mataga wachache Dana Ndiyo wanajua kuwa ji ngoshaKanda ya ziwa n wakabila sana ...lkn bwana dotto sio ngosha sema wajnga wanajua n ngosha..... anyway time wl tel
Kuna mzee mmoja amefanana sana na mtoto wa Hamorapa allitabiria Chadema kufa 2013CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA[emoji23]
Hizi dua za kuku kumbe bado zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lini na wapi Mbowe kamtukana Magufuli? Umekariri tu kama kasuku.Kwanini Mbowe haachi kumtukana JPM ? Bora kuhadaiwa Dotto kuliko kuhadaiwa na Mbowe
Kamchanganya na TAL.Lini na wapi Mbowe kamtukana Magufuli? Umekariri tu kama kasuku.