Uchaguzi 2020 CHADEMA mna saa 24 kuanzia sasa kuweka pingamizi kwenye Majimbo mliyopoteza

Uchaguzi 2020 CHADEMA mna saa 24 kuanzia sasa kuweka pingamizi kwenye Majimbo mliyopoteza

CHADEMA nawaasa kuanzia leo saa 10 jioni mna saa 24 tu za kupinga uteuzi kwa maeneo yote ambayo viongozi wenu wamekatwa kwa hila za CCM.

Hakuna muda wa kupoteza shughuli ianze usiku huu huu sasa kama mtalala shauri yenu, wenzenu CCM hawalali.

Mapambano bado yanaendelea.!
Kuna jambo hulielewi kuhusu pingamizi. MTU mwenye mandate ya kuweka pingamizi ni mgombea, au maafisa wa serikali au NEC. Sasa MTU ambaye jina lake halikuteuliwa atawekaje pingamizi wakati siyo mgombea?
 
CHADEMA nawaasa kuanzia leo saa 10 jioni mna saa 24 tu za kupinga uteuzi kwa maeneo yote ambayo viongozi wenu wamekatwa kwa hila za CCM.

Hakuna muda wa kupoteza shughuli ianze usiku huu huu sasa kama mtalala shauri yenu, wenzenu CCM hawalali.

Mapambano bado yanaendelea.!
Hata kipenga hakijalia, mmekong'otwa 9-0.Kazi mnayo mbona.
 
Mbinu ni moja tu, kushambulia sana hadi adui aidha aruhusu kufungwa au ajifunge. Mgombea urais mwenyewe hana uhakika na kesho yake kaomba tuwe wavumilivu hadi kesho saa 10, watapata wapi nguvu ya kuwapigania wengine 19!
 
Mbinu ni moja tu, kushambulia sana hadi adui aidha aruhusu kufungwa au ajifunge. Mgombea urais mwenyewe hana uhakika na kesho yake kaomba tuwe wavumilivu hadi kesho saa 10, watapata wapi nguvu ya kuwapigania wengine 19!
jiandae kujinyonga , hakuna kupita bila kupingwa , hizo njamba za kishamba za wakurugenzi wa Rwangwa , Morogoro na kanda ya ziwa tumezijua mapema sana
 
Leo myika na timu yake hakuna kulala
Haiwasaidii, ndiyo maana tumekuwa tukiwashauri to concentrate na ubunge hiyo nafasi ya rais inakula muda wenu na kusahau kuwasaidia wagombea ubunge wenu. Bado mechi nyingine ya mawakala napo mtachemsha kwa sana tuuuu Maendeleo hayana chama.
 
Kuna jambo hulielewi kuhusu pingamizi. MTU mwenye mandate ya kuweka pingamizi ni mgombea, au maafisa wa serikali au NEC. Sasa MTU ambaye jina lake halikuteuliwa atawekaje pingamizi wakati siyo mgombea?

Anaweza kupinga kuenguliwa kwake kinyume na utaratibu hasa kama atakuwa na nakala ya fomu ambazo anaambiwa amekosea kuzijaza
 
Anaweza kupinga kuenguliwa kwake kinyume na utaratibu hasa kama atakuwa na nakala ya fomu ambazo anaambiwa amekosea kuzijaza
Na kwa wale ambao inasadikika waliporwa fomu au kutekwa? Au wale ambao msimamizi alikimbia ofisi? Utaratibu wao ukoje?
 
CHADEMA nawaasa kuanzia leo saa 10 jioni mna saa 24 tu za kupinga uteuzi kwa maeneo yote ambayo viongozi wenu wamekatwa kwa hila za CCM.

Hakuna muda wa kupoteza shughuli ianze usiku huu huu sasa kama mtalala shauri yenu, wenzenu CCM hawalali.

Mapambano bado yanaendelea.!

Fomu za pigamizi wakurugenzi wamekula kona nazo.
 
Umoja ni nguvu. Facts of the case ni sawa kwa nyote, ACT na CHADEMA shirikianeni kulikabili hili. Msiwaachie wagombea , hawana nguvu ya kuwakabir wasimamizi! Uongozi wa juu wa ACT na Chadema fanyeni kazi hiyo to direct the cause of action!
 
Eti hata Ndugai anapita bila kupingwa?
Mambo ya hovyo sana. Hili dikteta la wabunge ambalo kazi yake ni kutetea serikali badala ya wananchi.
Hili lidudumtu Linaenda kupitisha kibabe sheria zaidi za kidikteta
 
Umoja ni nguvu. Facts of the case ni sawa kwa nyote, ACT na CHADEMA shirikianeni kulikabili hili. Msiwaachie wagombea , hawana nguvu ya kuwakabir wasimamizi! Uongozi wa juu wa ACT na Chadema fanyeni kazi hiyo to direct the cause of action!
Hakuna kitu msidanganyane. Zitto anatetea ubunge na DJ anahangaika na KUB. Kama wana uhakika Lissu atashinda kwa nini wasisubiri nafasi 10 za kuteuliwa. RIP chadema
 
Back
Top Bottom