Uchaguzi 2020 CHADEMA mna saa 24 kuanzia sasa kuweka pingamizi kwenye Majimbo mliyopoteza

Uchaguzi 2020 CHADEMA mna saa 24 kuanzia sasa kuweka pingamizi kwenye Majimbo mliyopoteza

Kwa wanaojua taratibu za uchaguzi na sheria za nchi. Tumeona wagombea wengi wa CCM wanapita bila kupingwa, je, kuna utaratibu ambao waliokatwa na tume kuappeal au kuweka pingamizi juu ya uwamuzi wa msimamizi wa uchaguzi?
Sheria inawalinda wa tume ya uchaguzi, hawashitakiwi ktk mahakama yoyote!
 
Utaratibu mbaya sana huu. Tume ya uchaguzi inapaswa ikishamtangaza mgombea kuwa amepita, iwe amepita kweli.

Sijui wenye mamlaka ya mapingamizi wanawezaje kuwa na sababu na uthibitisho wa mapingamizi katika muda wa masaa 24!!?![emoji15] Hili linawezekana kwa mgombea mmoja tu wa chama kilicho madarakani kutumia vyombo vya serikali kuandaa mapingamizi yenye mashiko tokea form za wagombea wengine ziliporejeshwa!!

Lissu kwa kupitishwa jioni ya saa 1, anapata wapi ufahamu wa mapingamizi kutoka kwa wenzake au dhidi yao na kujiandaa kwa majibu mujarabu na uthibitisho??

Isiwe tu ukipingwa kwa tuhuma, mzigo wa kujiondoa kwenye shutuma na ukosaji uwe ni kwa aliyewekewa pingamizi bila muda wa kutosha kutafuta majibu au kuomba uthibitisho kutoka kwa mweka pingamizi. Jambo hili linapaswa kufanywa katika mfumo kama wa mahakama!!
 
Na utapanic sana nyumbu we!

Watu mko busy Lisu, Lisu, haya wenzenu walioko field ndio hao sasa wana wabunge 22 mpaka muda huu
Mambo ya hovyo sana...... Hili dikteta la wabunge ambalo kazi yake ni kutetea serikali badala ya wananchi......
Hili lidudumtu Linaenda kupitisha kibabe sheria zaidi za kidikteta
 
Back
Top Bottom