Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Sasa huo u KUB ataupataje Kama wanapoteza majimbo kizembe namna hiiHakuna kitu msidanganyane. Zitto anatetea ubunge na DJ anahangaika na KUB. Kama wana uhakika Lissu atashinda kwa nini wasisubiri nafasi 10 za kuteuliwa. RIP chadema