Pre GE2025 CHADEMA msiweke Wagombea kwenye haya Majimbo na CCM pia haya Msiweke ili kujenga Bunge lenye nguvu baada ya 2025

Pre GE2025 CHADEMA msiweke Wagombea kwenye haya Majimbo na CCM pia haya Msiweke ili kujenga Bunge lenye nguvu baada ya 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ktk hao wote hakuna kijana (below 35 yrs) hata mmoja. Sasa vijana unataka waingieje kwenye siasa ikiwa unataka wazee waendelee kuwa wabunge?

Tuache uchawa tuige mifano ya vijana wa SA, Senegal, na Niger.
 
Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.

CHADEMA.
====
CHADEMA usiweke wagombea strong kwenye haya majimbo utapoteza rasilimali zako kiduchu unazomiliki nakuhakikishia.

1. Jimbo la Khasim Majaliwa
2. Jimbo Nape Nauye
3. Jimbo la Paul Makonda
4. Jimbo la January Makamba
5. Jimbo la David Kafulila
6. Jimbo la Jerry Silaa
7. Jimbo la Kitila Mkumbo
8. Jimbo la Mwigulu Nchemba
9. Jimbo la George Simbachawene
10. Jimbo la Tulia Ackson
11. Jimbo la Hussein Bashe
12. Jimbo la Jenister Muhagama
13. Jimbo la Ridhiwani Kikwekte
14. Jimbo la Mohamed Mchengerwa
15. Jimbo la Hussein Jaffo
16. Jimbo la Juma Aweso
17. Jimbo la Luhaga Mpina
18. Jimbo la Job Ndugai
19. Jimbo la Hamprey Polepole
20. Jimbo la Jumanne Kishimba
21. Jimbo la Dotto Biteko
22. Jimbo la Innocenti Bashungwa
23. Jimbo la Kasheku Msukuma
24. Jimbo la Iddi Azan Zungu

=>CCM pia msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo kwa sababu uwezekano wa kupoteza ni mkubwa.

1. Jimbo la Freeman Mbowe
2. Jimbo la Godbless Lemma
3. Jimbo la Tundu Lissu
4. Jimbo la John Heche
5. Jimbo la Peter Msigwa
6. Jimbo Joseph Mbilinyi
7. Jimbo la Zitto Kabwe
8. Jimbo la Devotha Minja
9. Jimbo la Marwa Ryoba
10. Jimbo la Aida Kenani
11. Jimbo la John Mnyika
12. Jimbo la James Mbatia
13. Jimbo la Ester Bulaya
14. Jimbo la Ester Matiko
15. Jimbo la Ezekiah Wenje
16. Jimbo la Dkt Wilbroad Slaa
17. Jimbo la Wakili Mwambukusi
18. Jimbo la Mwakajoka
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge


Ongeza Jimbo unalidhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania.
Yani unapangia wananchi wakumchagua. Punguza kuabudu watu. Kwanini wewe usigombee ubunge?. Umebaki kumpigia Kafulilia Kampeni. Acha hizo
 
Sasa unabishana na ukweli wewe? Kuna mtu wa Kumtoa Majaliwa Luangwa?
Luangwa ndio wapi?. Jifunze kuandika vizuri. Halafu usipende kuwatukuza watu kijinga. Eti nani wa kumtoa Majaliwa Ruangwa!. Una tatizo.
 
Esther Matiko, Esther Bulaya, Jesca Kishoa, ni wana Ccm lakini mtoa mada amewaweka upande wa Upinzani.

..Bunge litakalotufaa linapaswa kuwa 55% kwa 45% kati ya kambi ya serikali na kambi rasmi ya upinzani.
 
Esther Matiko, Esther Bulaya, Jesca Kishoa, ni wana Ccm lakini mtoa mada amewaweka upande wa Upinzani.

..Bunge litakalotufaa linapaswa kuwa 55% kwa 45% kati ya kambi ya serikali na kambi rasmi ya upinzani.
Sina hizo taarifa kama wao ni WanaCCM
 
Yani unapangia wananchi wakumchagua. Punguza kuabudu watu. Kwanini wewe usigombee ubunge?. Umebaki kumpigia Kafulilia Kampeni. Acha hizo
Yaani kwenye orodha yote hiyo umemuona Kafulila tu?
Halafu Mimi sina Chama kaaa ukijua, Nasijawahi kumpigia debe mtu wa Chama chochote
 
Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.

CHADEMA.
====
CHADEMA usiweke wagombea strong kwenye haya majimbo utapoteza rasilimali zako kiduchu unazomiliki nakuhakikishia.

1. Jimbo la Khasim Majaliwa
2. Jimbo Nape Nauye
3. Jimbo la Paul Makonda
4. Jimbo la January Makamba
5. Jimbo la David Kafulila
6. Jimbo la Jerry Silaa
7. Jimbo la Kitila Mkumbo
8. Jimbo la Mwigulu Nchemba
9. Jimbo la George Simbachawene
10. Jimbo la Tulia Ackson
11. Jimbo la Hussein Bashe
12. Jimbo la Jenister Muhagama
13. Jimbo la Ridhiwani Kikwekte
14. Jimbo la Mohamed Mchengerwa
15. Jimbo la Hussein Jaffo
16. Jimbo la Juma Aweso
17. Jimbo la Luhaga Mpina
18. Jimbo la Job Ndugai
19. Jimbo la Hamprey Polepole
20. Jimbo la Jumanne Kishimba
21. Jimbo la Dotto Biteko
22. Jimbo la Innocenti Bashungwa
23. Jimbo la Kasheku Msukuma
24. Jimbo la Iddi Azan Zungu

=>CCM pia msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo kwa sababu uwezekano wa kupoteza ni mkubwa.

1. Jimbo la Freeman Mbowe
2. Jimbo la Godbless Lemma
3. Jimbo la Tundu Lissu
4. Jimbo la John Heche
5. Jimbo la Peter Msigwa
6. Jimbo Joseph Mbilinyi
7. Jimbo la Zitto Kabwe
8. Jimbo la Devotha Minja
9. Jimbo la Marwa Ryoba
10. Jimbo la Aida Kenani
11. Jimbo la John Mnyika
12. Jimbo la James Mbatia
13. Jimbo la Ester Bulaya
14. Jimbo la Ester Matiko
15. Jimbo la Ezekiah Wenje
16. Jimbo la Dkt Wilbroad Slaa
17. Jimbo la Wakili Mwambukusi
18. Jimbo la Mwakajoka
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge


Ongeza Jimbo unalidhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania.
Majimbo 21 uwaachie chadema ili iweje?,jambo hili haliwezi kujiridia asilani abadani
 
Sina hizo taarifa kama wao ni WanaCCM

..na taarifa kwamba wamefukuzwa Chadema huna?

..kwamba wako ndani ya bunge kwa msaada wa serikali na Ccm kinyume na matakwa ya Chadema hilo pia hufahamu?
 
Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.

CHADEMA.
====
CHADEMA usiweke wagombea strong kwenye haya majimbo utapoteza rasilimali zako kiduchu unazomiliki nakuhakikishia.

1. Jimbo la Khasim Majaliwa
2. Jimbo Nape Nauye
3. Jimbo la Paul Makonda
4. Jimbo la January Makamba
5. Jimbo la David Kafulila
6. Jimbo la Jerry Silaa
7. Jimbo la Kitila Mkumbo
8. Jimbo la Mwigulu Nchemba
9. Jimbo la George Simbachawene
10. Jimbo la Tulia Ackson
11. Jimbo la Hussein Bashe
12. Jimbo la Jenister Muhagama
13. Jimbo la Ridhiwani Kikwekte
14. Jimbo la Mohamed Mchengerwa
15. Jimbo la Hussein Jaffo
16. Jimbo la Juma Aweso
17. Jimbo la Luhaga Mpina
18. Jimbo la Job Ndugai
19. Jimbo la Hamprey Polepole
20. Jimbo la Jumanne Kishimba
21. Jimbo la Dotto Biteko
22. Jimbo la Innocenti Bashungwa
23. Jimbo la Kasheku Msukuma
24. Jimbo la Iddi Azan Zungu

=>CCM pia msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo kwa sababu uwezekano wa kupoteza ni mkubwa.

1. Jimbo la Freeman Mbowe
2. Jimbo la Godbless Lemma
3. Jimbo la Tundu Lissu
4. Jimbo la John Heche
5. Jimbo la Peter Msigwa
6. Jimbo Joseph Mbilinyi
7. Jimbo la Zitto Kabwe
8. Jimbo la Devotha Minja
9. Jimbo la Marwa Ryoba
10. Jimbo la Aida Kenani
11. Jimbo la John Mnyika
12. Jimbo la James Mbatia
13. Jimbo la Ester Bulaya
14. Jimbo la Ester Matiko
15. Jimbo la Ezekiah Wenje
16. Jimbo la Dkt Wilbroad Slaa
17. Jimbo la Wakili Mwambukusi
18. Jimbo la Mwakajoka
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge


Ongeza Jimbo unalidhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania.
Ni siasa za kijinga kutokuweka wagombea kwenye demokrasia. Mtu yeyeote ana haki za kushiriki uchaguzi. Kikubwa hapa kama wadau ni kupigania chaguzi huru bila kujali chama. Malalamiko mengi ni wizi wa kura . Tusijadili mambo ya kijinga mengine
 
Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.

CHADEMA.
====
CHADEMA usiweke wagombea strong kwenye haya majimbo utapoteza rasilimali zako kiduchu unazomiliki nakuhakikishia.

1. Jimbo la Khasim Majaliwa
2. Jimbo Nape Nauye
3. Jimbo la Paul Makonda
4. Jimbo la January Makamba
5. Jimbo la David Kafulila
6. Jimbo la Jerry Silaa
7. Jimbo la Kitila Mkumbo
8. Jimbo la Mwigulu Nchemba
9. Jimbo la George Simbachawene
10. Jimbo la Tulia Ackson
11. Jimbo la Hussein Bashe
12. Jimbo la Jenister Muhagama
13. Jimbo la Ridhiwani Kikwekte
14. Jimbo la Mohamed Mchengerwa
15. Jimbo la Hussein Jaffo
16. Jimbo la Juma Aweso
17. Jimbo la Luhaga Mpina
18. Jimbo la Job Ndugai
19. Jimbo la Hamprey Polepole
20. Jimbo la Jumanne Kishimba
21. Jimbo la Dotto Biteko
22. Jimbo la Innocenti Bashungwa
23. Jimbo la Kasheku Msukuma
24. Jimbo la Iddi Azan Zungu

=>CCM pia msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo kwa sababu uwezekano wa kupoteza ni mkubwa.

1. Jimbo la Freeman Mbowe
2. Jimbo la Godbless Lemma
3. Jimbo la Tundu Lissu
4. Jimbo la John Heche
5. Jimbo la Peter Msigwa
6. Jimbo Joseph Mbilinyi
7. Jimbo la Zitto Kabwe
8. Jimbo la Devotha Minja
9. Jimbo la Marwa Ryoba
10. Jimbo la Aida Kenani
11. Jimbo la John Mnyika
12. Jimbo la James Mbatia
13. Jimbo la Ester Bulaya
14. Jimbo la Ester Matiko
15. Jimbo la Ezekiah Wenje
16. Jimbo la Dkt Wilbroad Slaa
17. Jimbo la Wakili Mwambukusi
18. Jimbo la Mwakajoka
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge


Ongeza Jimbo unalidhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania.
NEC na polisi hakikisheni msikae karibu na CCM.

Wakurugenzi wa wilaya hakikisheni ajira zenu sio za raisi wa ccm
 
Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.

CHADEMA.
====
CHADEMA msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo mtapoteza rasilimali zako kiduchu unazomiliki na mwisho hamtashinda Uchaguzi.

1. Jimbo la Khasim Majaliwa
2. Jimbo Nape Nauye
3. Jimbo la Paul Makonda
4. Jimbo la January Makamba
5. Jimbo la David Kafulila
6. Jimbo la Jerry Silaa
7. Jimbo la Kitila Mkumbo
8. Jimbo la Mwigulu Nchemba
9. Jimbo la George Simbachawene
10. Jimbo la Tulia Ackson
11. Jimbo la Hussein Bashe
12. Jimbo la Jenister Muhagama
13. Jimbo la Ridhiwani Kikwekte
14. Jimbo la Mohamed Mchengerwa
15. Jimbo la Hussein Jaffo
16. Jimbo la Juma Aweso
17. Jimbo la Luhaga Mpina
18. Jimbo la Job Ndugai
19. Jimbo la Hamprey Polepole
20. Jimbo la Jumanne Kishimba
21. Jimbo la Dotto Biteko
22. Jimbo la Innocenti Bashungwa
23. Jimbo la Kasheku Msukuma
24. Jimbo la Iddi Azan Zungu

Nashauri CCM pia msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo kwa sababu uwezekano wa kupoteza ni mkubwa lakini watu hawa ni muhimu kwa ustawi wa demokrasina na ustawi wa hoja kinzani bungeni.

1. Jimbo la Freeman Mbowe
2. Jimbo la Godbless Lemma
3. Jimbo la Tundu Lissu
4. Jimbo la John Heche
5. Jimbo la Peter Msigwa
6. Jimbo Joseph Mbilinyi
7. Jimbo la Zitto Kabwe
8. Jimbo la Devotha Minja
9. Jimbo la Marwa Ryoba
10. Jimbo la Aida Kenani
11. Jimbo la John Mnyika
12. Jimbo la James Mbatia
13. Jimbo la Ester Bulaya
14. Jimbo la Ester Matiko
15. Jimbo la Ezekiah Wenje
16. Jimbo la Dkt Wilbroad Slaa
17. Jimbo la Wakili Mwambukusi
18. Jimbo la Mwakajoka
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge


Sasa nà wewe ongeza Jimbo unalodhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania viachiane ili kuimarisha Bunge la 12.​
Chadema kupata hawa Wabunge ni ndoto hata hivyo.
 
Sasa unabishana na ukweli wewe? Kuna mtu wa Kumtoa Majaliwa Luangwa?

Umeanza kuwa na uelewa lini? Isije ikawa upo sekondari unasoma!!

Majaliwa mwaka 2020 kwenye uchaguzi huru asingeshinda, ndiyo maana aliwatumia majambazi kumteka na kumpiga mpinxani wake ili atangazwe amepita bila kupingwa.

Hao wabunge bandia uliowaorodhesha hapo juu, karibia wote walitumia uovu wa namna hiyo. Wananchi bado wana hasiri dhidi yao. Kwenye uchaguzi huru, kwenye hiyo orodha, wa kuweza kuwa wabunge, hawatazidi nusu.
 
Umeanza kuwa na uelewa lini? Isije ikawa upo sekondari unasoma!!

Majaliwa mwaka 2020 kwenye uchaguzi huru asingeshinda, ndiyo maana aliwatumia majambazi kumteka na kumpiga mpinxani wake ili atangazwe amepita bila kupingwa.

Hao wabunge bandia uliowaorodhesha hapo juu, karibia wote walitumia uovu wa namna hiyo. Wananchi bado wana hasiri dhidi yao. Kwenye uchaguzi huru, kwenye hiyo orodha, wa kuweza kuwa wabunge, hawatazidi nusu.
Ngoja tuone 2025 itakavyokuwa
 
Umeanza kuwa na uelewa lini? Isije ikawa upo sekondari unasoma!!

Majaliwa mwaka 2020 kwenye uchaguzi huru asingeshinda, ndiyo maana aliwatumia majambazi kumteka na kumpiga mpinxani wake ili atangazwe amepita bila kupingwa.

Hao wabunge bandia uliowaorodhesha hapo juu, karibia wote walitumia uovu wa namna hiyo. Wananchi bado wana hasiri dhidi yao. Kwenye uchaguzi huru, kwenye hiyo orodha, wa kuweza kuwa wabunge, hawatazidi nusu.
Mkuu kwani unadhani Kuna mtu wa kumahinda Majaliwa?
 
Chadema nawapeni huu ushauri Bure Kanisa na kama hamtauzingatia msije kusema hatukuwaambia haya,

Lazima Muwe na area of concetration.

Ushauri wa Bure kabisa huu
 
Back
Top Bottom