🤣🤣🤣wanahofu kubwa sanaHawa bila shaka walikuwa mikono ya marehemu ya kutekelezea uove. Wanapatwa na maluweluwe ya kukamatwa siku moja. Wanaishi katika woga mkubwa. Wakisikia tu Kalemani jatolewa uwaziri, tayari hofu inapanda kuwa labda mwondoa CCTV za uovu anaandaliwa barabara ya kufikishwa kwenye vyombo vya haki.
Tuliza kichwa chako dogo kesho sio mbali, hebu edit kwanza maandishi yako sababu hata kuanzika hujui.Yuko Mwanza wapi? Unaamini yuko Mwanza? Hawa ni wapumbavu amabo wakisha milij smart phone wamemaliza kila kitu, ila Wazazi wao wana life la choka mbata huko bushi linalo sababishwa na hawa hawa CCM
Chama cha Mambuzi mnaandika uongo kujidanganya wenyewe kisha mnafurahia, nadhani hata sokwe wanaweza kuwa na IQ kubwa kuliko nyieChama hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Ukiitwa mjinga utachukia! Maana unaandika ujinga. Thread umeanzisha wewe na kusema umeenda Mwanza kufuatilia pia mkutano, sasa unaandika upoloto huu tena?Mimi nipo na mishe zangu, siwezi kwenda sababu ya huo ujinga wenu.
Hakuna Bush wala Biden, tulia hivyohivyo uone aibu inayoenda kutokeaUnafurahi ili? Halafy unakuta mtu kama wewe wazazi wako wana life choka mbaya sana huko Bushi, ila uko town una kenua meno tu, ujinga wa watu kama nyie ni mtaji mkubwa sana kwa CCM.Fake ID zinasaidia sana la sivyo
Povu lote la nini hili? Nimekutana na nyoka njiani nimepiga kichwani, kosa langu nn? Kwani nilipanga kukutana na nyoka?Ukiitwa mjinga utachukia! Maana unaandika ujinga. Thread umeanzisha wewe na kusema umeenda Mwanza kufuatilia pia mkutano, sasa unaandika upoloto huu tena?
Wakati mwingine bora kufuga mbuzi utamla supu kuliko kuwa na mifugo aina yako
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Labda wakasombe watu na mafuso kama mizigo!Huku mwanza wamepitisha gari zao Ila watu hakuna
Alafu viongozi niliowaona wanaandaa huo mkutano wamechoka kweli. Unaweza sema hawajalanmepita hapoo watu wanauliza, wanakuja kugawa mahindi ya chakula??
Msaliti ambaye Rais na mwenyekiti wako wa Chama anakwenda ulaya na kuonana naye faragha kujadili ya maana?Maandamano ya kupokea msaliti wa taifa
Unaweweseka tu, hata nyie chawa tunawakaribisha sanaNi Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Kwani mkutano unafanyika lini? Chawa unaweweseka sanaHuku mwanza wamepitisha gari zao Ila watu hakuna
Unawashwa kinyeoMimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.
Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..
Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.
Niko hapa naprint za kutosha
Watu hakuna wapi? Kwenye gari la matangazo? Mkutano bado, wewe unasema watu hakuna! Ukisikia kuchanganyikiwa ndiyo huku.Huku mwanza wamepitisha gari zao Ila watu hakuna