CHADEMA, Mungu - Yehova anawapenda. Matukio ya Arusha na Hai ni taarifa njema kwenu.!!

CHADEMA, Mungu - Yehova anawapenda. Matukio ya Arusha na Hai ni taarifa njema kwenu.!!

Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo , endeleeni hivyo CCM na mbinu zenu za kishamba na kilimbukeni muone kitakachotokea mwaka huu.
 
Naomba niwape hii tip. Kwamba, haya yanatokea siyo kwa sababu mna dhambi ama mmekosea mahali fulani, HAPANA....

Hampaswi kulalamika. Mtukuzeni Mungu kwa sababu kibinadamu ni mabaya, ni uonevu, unyanyasi lakini ndani yake yumo Mungu - Yehova ili kutimiza kusudi lake jema kwenu na taifa hili zuri la Mungu (Tanzania) na watu wake....

Matendo yao mabaya, ndiyo kukosa kwao. Ndiyo kupotea kwao...[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Ni ujumbe mzito Sana.........

Mwenye kuulewa na auelewe na mwenye kufanywa moyo wake mgumu (kama ambavyo alivyofanywa Mfalme Herode kuwa moyo wake mgumu) na iwe hivyo, ili kusudi la Mungu litimie.
Amen
 
Mgombea wa CDM ajikite kutuelezea atatufanyia nini tukimpa kibarua Cha URAIS na sio porojo za kutaka mdahalo mubashara kwa LUGHA yoyote
 
Project From Belgium At Work...

Zile BARUA walizoandikiwa Serikali Ya Tanzania,iko siku tutajua kilichosukwa nyuma yake.....

John Stielenger,Arvinder Deepel na Yule Mchora Ramani wa kuikwiba Afrika Bwana Johnson McManon Si Watu Wepesi tu kumsapoti Ndg.Yetu Lissu akiwa Belgium......

Something Savage Has Been Orchestrated Exquisitely.....

Mungu Lilinde Taifa Hili Na Kila Mwenye Nia Ovu Ya Kulichoma Moto....Aaaamin.

Mungu Lilinde Taifa Hili na Wawashaji Moto Kutoka NJE,Aaaamin.
Yani Ole sabaya tume vijana kufanya fujo nyie msingizie ubelgiji??? CCM ni wapumbavu sijawai kuona!!!
 
Mgombea wa CDM ajikite kutuelezea atatufanyia nini tukimpa kibarua Cha URAIS na sio porojo za kutaka mdahalo mubashara kwa LUGHA yoyote

Hujui uwazalo wala usemalo....

Uko gizani. Unahitaji nuru/mwanga kukuwezesha kuona....

It's too late kwa sababu itachukua muda sana kuanza kukuelimisha, nikitaka...

Itoshe kusema, watu wa aina yako mabadiliko yajapo ni lazima yawazoe hivyo hivyo mlivyo na macho na ufahamu wenu utafumbuliwa huko huko mbeleni....
 
Back
Top Bottom