Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Ni ujumbe mzito Sana.........Naomba niwape hii tip. Kwamba, haya yanatokea siyo kwa sababu mna dhambi ama mmekosea mahali fulani, HAPANA....
Hampaswi kulalamika. Mtukuzeni Mungu kwa sababu kibinadamu ni mabaya, ni uonevu, unyanyasi lakini ndani yake yumo Mungu - Yehova ili kutimiza kusudi lake jema kwenu na taifa hili zuri la Mungu (Tanzania) na watu wake....
Matendo yao mabaya, ndiyo kukosa kwao. Ndiyo kupotea kwao...[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Yani Ole sabaya tume vijana kufanya fujo nyie msingizie ubelgiji??? CCM ni wapumbavu sijawai kuona!!!Project From Belgium At Work...
Zile BARUA walizoandikiwa Serikali Ya Tanzania,iko siku tutajua kilichosukwa nyuma yake.....
John Stielenger,Arvinder Deepel na Yule Mchora Ramani wa kuikwiba Afrika Bwana Johnson McManon Si Watu Wepesi tu kumsapoti Ndg.Yetu Lissu akiwa Belgium......
Something Savage Has Been Orchestrated Exquisitely.....
Mungu Lilinde Taifa Hili Na Kila Mwenye Nia Ovu Ya Kulichoma Moto....Aaaamin.
Mungu Lilinde Taifa Hili na Wawashaji Moto Kutoka NJE,Aaaamin.
Mgombea wa CDM ajikite kutuelezea atatufanyia nini tukimpa kibarua Cha URAIS na sio porojo za kutaka mdahalo mubashara kwa LUGHA yoyote