Achana naye huyo njoeni tumukomboe! Tukipatikana hata wachache tukikaza wengine watatuunga mbele kwa mbele!Hayo maisha ya kuamka ndipo ujue utakula nini utakufa nayo.
Mabomu ya machozi na maji ya pilipili tutayakabili kama chachandu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye huyo njoeni tumukomboe! Tukipatikana hata wachache tukikaza wengine watatuunga mbele kwa mbele!Hayo maisha ya kuamka ndipo ujue utakula nini utakufa nayo.
Hapana. Siwalaumu bure.Sidhani kama CDM na ACT wangekua na uwezo wa kuzuia uchaguzi...hapo unawalaumu bure tu.
Pangekuwa na mipango na mikakati kabambe ya awali ndani ya chama, taarifa hiyo ndiyo ingekuwa chachu ya kuzuia uchafuzi mzima huko huko kwenye vituo vya kupigia kura. Huko hakuna polisi wa kutosha kurusha mabomu na risasi.Yajayo yanafurahisha , wakati wa kufunga kampeni Kawe , watu wao walituletea taarifa katikati ya mkutano kwamba Tume imemuandalia Magufuli kura mil 12 , na haraka Lissu akauhabarisha umma , si umeona kura alizopata Magufuli ?
Mfano wa mtu mwenye akili huko ccm ni kipara? Ahahahaha haki nyie ni mazumbukuku. Usichikijua Ni kuwa CDM Kuna wasomi uchwara na CCM wamejaa wenye akili Nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kwnza sababu ya kumzomea Mavunde ni nini na wewe ni ccm?Nilikuwa nasubiri muda ufike tuingie barabarani lakini nashangaa hadi sasa kimya ikumbukwe mimi ni miongoni mwa yule jamaa sauti yangu ilisikika sana jana kwenye ile video ya Mavunde nikiwa na hasira
Watani zangu mnataka kuniambia ni kheri mimi ccm nimejaribu kupaza sauti kuliko nyinyi mmejifinya nyuma ya keyboard
Nawakumbusha tu kuwa sisi sio TANZANIA NI TANGANYIKA
NENO TANGA kwa lugha ya kigogo ni kuwakusanya mifugo ambayo haina ushirikiano imezagaa HAINA UMOJA
Ningeshangaa kama tanganyika kungekuwa na maandamano
WATANI VIPI nikweli nyie waoga,hivi lissu leo ametoka hata nje kwenda Kariakoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]
Nipo Chamwino nasubiri[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]
Mtu mwenye shughuli ya kufanya na anawaza familia itakula nini. Hawezi kupata muda wa kuandamana.Huenda ndio lengo la kuanzia Buguruni na Ubungo (huko kuna Manzese na Tandale ) .
Hasa kukiwa hakuna jambo la kumgusa moja kwa mojaMtu mwenye shughuli ya kufanya na anawaza familia itakula nini. Hawezi kupata muda wa kuandamana.
Hahahaah labda wana toa per dmNdugu yangu posho za ubunge ufaidi na familia yako, baada ya kukosa uniingize mimi barabarani nikale mkong'oto wa Polisi . Chukua familia yako itangulize mbele. Mimi najua uchaguzi umeisha kifuatacho ni kuchapa kazi.
Diaspora wawap awo mana me nipo England sjaskia iyo kitu na tuna umoja ambao hua tuna share info zote kupitia uongozi wetu na kama juzi tumekubaliana tuje home kwenye kuapishwa mh na mm kesho nasafiri kuja ukoTAARIFA MUHIMU SANA!!!
Watanzania tuishio nje ya nchi (TANZANIA DIASPORA) tumeanza kuandamana kupinga UCHAFUZI uliofanyika juzi hapo nyumbani Tanzania!
Hawa ni ndugu zetu kutoka Ulaya ya Kaskazini (Sweden [emoji1236], Norway [emoji1189] na Denmark [emoji1087]) ambao tayari wameanza maandamano yao nje ya Ubalozi wetu uliopo Stockholm, Sweden...
Watanzania tuishio nchini hapa Ufaransa [emoji632] tunaandaa maandamano hayo kesho Jumatatu, November 2, 2020 nje ya Ubalozi wa Tanzania [emoji1241] nchini Ufaransa [emoji632].
Maandamano yataanza saa 2 asubuhi na kumalizika saa 6 mchana!
Baada ya maandamano, WAZANZIBARI tuishio nchini hapa, kwa kuongozwa na Balozi wetu (BABU MZANZIBARI), tutazindua Ubalozi wetu (Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar nchini Ufaransa)... Ofisi za Ubalozi wetu zipo mitaa ya TROCADÉRO, karibu sana na mnara wa EIFFEL...
Kwa niaba ya Wazanzibari wote waishio nchini hapa Ufaransa, mimi, BABU MZANZIBARI, Balozi wa Zanzibar nchini Ufaransa, natumia fursa hii kuwakaribisha ndugu zetu Watanzania waishio nchini hapa, katika uzinduzi wa Ubalozi wetu!
Usafiri, kula, kunywa ni kwa gharama yangu mwenyewe!...
Kwa kauli moja, tumekubaliana kuwa hatuitambui serikali haramu ya John Pombe Joseph Magufuli! Hatuitambui serikali haramu ya Hussein Ali Hassan Mwinyi!
Rais wa Zanzibar tunayemtambua ni Maalim Seif Sharif Hamad aliyechaguliwa na wananchi wa Zanzibar!... Na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunayemtambua ni Tundu Antipas Lissu, aliyechaguliwa na Watanzania!...
Mungu ibariki Zanzibar yenye mamlaka kamili, Mungu ibariki Tanzania!... [emoji1488]
[emoji1485][emoji1485][emoji1485] Sambaza ujumbe huu umfikie kila Mtanzania mpenda haki!...[emoji1474]
Hahahaha watakao taka wakiwa busy wabaki tuu"Wajumbe wa kamati kuu watakaotaka kushiriki"
Yaani wao wana option ya kushiriki. Kwao ni lazima coz wao ndio wameibiwa na sio wananchi.
CHADEMA na ACT Wazalendo tunautangazia umma na wanaopinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu kushiriki Maandamano ya Amani kesho Jumatatu ya Tarehe 2/11/20. Madhumuni ya Maandamano ni kudai kurudiwa Uchaguzi Mkuu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi.
Maandamano yataanzia sehemu 2, kundi moja litaanzia Buguruni Sheli kuchukua barabara ya Uhuru mpaka Kariakoo, Msimbazi Road mpaka fire, Morogoro road, Bibi Titi mpaka Ofisi za Tume.
Kundi lingine litaanza Ubungo Bus Terminal kuchukua Morogoro road mpaka fire kisha Bibi Titi kuelekea Ofisi ya Tume.
Wajumbe wa Kamati Kuu mnaopenda kushiriki maandamano tafadhali mtachagua kati ya maeneo hayo. Maandamano yanaanza saa mbili kamili asubuhi kuelekea Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Ukumbi wa Mwalimu JK Nyerere Conference Center. Viongozi Wakuu wataongoza Maandamano hayo.
Mimi niko hapa visiwani nitakutia picha ikiwezekana
Mtu mwenye shughuli ya kufanya na anawaza familia itakula nini. Hawezi kupata muda wa kuandamana.
Basi na wewe jitoe leo basiMaisha ya kuwaza utakula nini tushayavuka, hata hivyo... Nyerere asingejitoa ungeendelea kuwa utumwani we kiumbe!
Basi na wewe jitoe leo basi
Mtutumie na picha tuwaoneTayari tushaanza, we jifiche huko tuachie wanaume... it takes a man not a coward!
Sii kila dai ni haki unapaswa kujua hiloBasi na wewe jitoe leo basi