Vandetta
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 1,572
- 1,951
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Victorie mama huwa sikuelewi kabisa unasimama upande gani? Ila kwa hili la maandamano tuko pamoja hawa viongozi baada ya kuona hawatopata posho za bunge wanadai haki, binafsi ningependa kesho wawe pamoja na watoto na wake zao barabarani tofouti na hapo waache sinema za ajabu kwa watanzania...
Jana mchana nimekutana na viongozi hawa maeneo ya Rose Garden, sugu a.k.a jongwe kachoka naona haamini kama hatokalia kiti chekundu
Kudadeki andamana kesho prado litakutupa mtaroni mapema sanaaaaMkuu we utaanzia pale buguruni au ubungo?
Nmeupenda tu ushauri wa mzee, kuna maeneo vyama vya upinzani vinafeli. Ni kama mbwa flani mwenye njaa anabweka sana ila akishashiba analala tu asubiri njaa iume tena aanze keleleChadema na ACT wanatakiwa kujua kuwa watanzania sio wapumbavu kiasi hicho kwamba waende barabarani kuandamana kwasababu ya kutetea ulaji wa wanasiasa.
Miaka yote chaguzi zinapo fanyika wapinzani hulalamika kuibiwa Kura lakini kwa kuwa walikuwa wanashinda ubunge na kuwa na uhakika na shibe ya matumbo yao walikuwa hawaoni umuhimu wa kuandamana na kudai haki.
Uchaguzi wa 2020 umekuwa tofauti kwao baada ya watanzania kuwanyima nafasi za kuingia bungeni kunufaika na Kodi zetu huku wakishinda kutwa kutukana na kususia vikao vya bunge na wakiti mwingine wakijifunga midomo ili wasichangie chochote bungeni ama kuanzisha fujo kwa makusudi(mkasahau kuwa wananchi ndio waajiri wenu). Leo ndio mmeona umuhimu wa kuandamana baada ya kukosa ajira ?
Ukweli ni kwamba watanzania hatuta andamana na hatuto tii amri zenu zozote.
Kumbukeni jinsi tulivyo kataa amri yenu ya kukaa kwenye vituo kulinda Kura basi mjue kuwa hata hili la kuandamana halito fanikiwa pia.
Kesho tutakwenda kwenye shughuli zetu za kutafuta ugali kwaajili ya watoto wetu na si kupigania ulaji wenu huku mkijificha kwenye kivuli Cha Demokrasia.
Demokrasia ni pamoja na kuheshimu maamuzi ya wapiga kura, hiyo Demokrasia mnayo itaka nyinyi ya lazima upinzani washinde kamwe haiwezi kukubalika kwetu.
Mwisho niseme tu kuwa tunawapuuza Kama tulivyopuuza agizo la kulinda Kura .
Andamaneni wenyewe na familia zenu zinazonufaika na mishara yenu ya kibunge Ila sisi msituhusishe.
Mwlm Nyerere alikuwa sahihi alipo sema hutuwezi kuwapa nchi CHADEMA
View attachment 1617409
Ubungo kwenye daraja ambalo jiwe anawalaghai kuwa ni flyover. Na nitatumia fursa ya kesho kuvunja taa kadhaa pale.Mkuu we utaanzia pale buguruni au ubungo?
Andamana tukutie pipeUbungo kwenye daraja ambalo jiwe anawalaghai kuwa ni flyover. Na nitatumia fursa ya kesho kuvunja taa kadhaa pale.
Una Mume ?ACT Wazalendo na Chadema.
Vyama vipo 21Ni upuuzi kushabikia raia wasio na hatia wakipigwa kisa kudai haki zao.
Mbona Lissu alipotua Dar watu walifanya maandamano ya amani na hakuna vurugu ilitokea? Kwani mkiacha waandamanaji wakusanyike kwa amani mnakosa nini?
Hili bara kweli lina laana
Nitakuwepo tutaanzia Facebook na kumalizia Instagram
Wacha wale mkong'oto kesho naona wana hamu.
Sidhani kama CDM na ACT wangekua na uwezo wa kuzuia uchaguzi...hapo unawalaumu bure tu.Nafurahi kusikia ushahidi upo, na ni matumaini yangu makubwa kwamba utatumika barabara wakati utakapohitajika.
Kuhusu hili la "... uchaguzi huu ulikuwa tayari na matokeo...", swali ni kwa nini mliruhusu uchafuzi huo uendelee huku mkiwa mnajua ulikuwa umeandaliwa?
Huoni kwamba fursa nzuri ilikuwa ni kuuzuia uchafuzi huo mara moja huko huko kwenye vituo vya kupigia kura? Ingekuwa rahisi zaidi na salama zaidi kama zoezi zima la kupiga kura lingesitishwa wakati mawakala wenu wanazuiwa kufanya kazi mliyowatuma waifanye.
Na hata hiyo mikoba ya kura zilizoingizwa, hapo hapo ndipo zingeonyeshwa kwa wananchi nchi nzima.
Kwa nini mlikubali uchaguzi uendelee? Hilo ndilo swali.
Ajabu Sana.Nmeupenda tu ushauri wa mzee, kuna maeneo vyama vya upinzani vinafeli. Ni kama mbwa flani mwenye njaa anabweka sana ila akishashiba analala tu asubiri njaa iume tena aanze kelele
Mkuu ingia barabarani kesho. Kwangu mimi maandamano ni kupotezeana muda tu. Wacha tukatafute riziki za kula familia zetu..